Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KuchaaganyikiwaSoma hapa:-
View attachment 3174398
Shilingi imehadimika,watu wameficha hela zao hazipo kwenye mzungukoTsh imepanda hii ni dalili tunauza sana nje ya nchi.
Machadomo na Wafuasi wa Mwendazake lazima wachukie mafanikio ya Samia 😂😂Soma hapa:-
View attachment 3174398
Dollar zipo au ni ile kauli ya matangazo ni biasharaMachadomo na Wafuasi wa Mwendazake lazima wachukie mafanikio ya Samia 😂😂
Kiufupi hawana hoja Kila kitu kuanzia bei za misosi Hadi Mafuta mambo yamenyooka
HazipoDollar zipo au ni ile kauli ya matangazo ni biashara
Ninakupendaga siku hizi umepunguza uchawaHazipo
Delila!Baada ya wiki Moja tu Dola itafika sawa na shilingi 4000 za kitanzania.Maana tunajuta wote kuwa hii serikali haina kiongozi wa maono.
Sawa kabisa hazipoNinakupendaga siku hizi umepunguza uchawa
Mtaota sana ila SSH atazidi kuwaaibishaBaada ya wiki Moja tu Dola itafika sawa na shilingi 4000 za kitanzania.Maana tunajuta wote kuwa hii serikali haina kiongozi wa maono.
Soma #14Sawa kabisa hazipo
Sijakuelewa hapa kiongoziBaada ya wiki Moja tu Dola itafika sawa na shilingi 4000 za kitanzania.Maana tunajuta wote kuwa hii serikali haina kiongozi wa maono.
2030 utafuta kauli hii!Mtaota sana ila SSH atazidi kuwaaibisha
Jibu ni FDI imeongeza ,Exports zimeongezeka,Utalii umeongezeka yaani Kila kitu Sasa ni 🔥🔥Mahitaji ya dola yamepungua. Au pengine katika balansi ya biashara ya kuagiza bidhaa nje na kuuza, mauzo ya nje yamekuwa makubwa kushinda uagizaji wa nje.
Vinginevyo kuna wahuni wanaingiza dola nchini kinyemela na kuziingiza kwenye mzunguko. 😂
Ukipata msaada wa kujenga miundo mbinu na mtoa msaada akakuwekea hizo Hela kwenye nchi Yako, mambo yatakuwa kama ilivyotokeaTsh imepanda hii ni dalili tunauza sana nje ya nchi.