Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lilisikika chawa la makurunge likinenaMachadomo na Wafuasi wa Mwendazake lazima wachukie mafanikio ya Samia 😂😂
Kiufupi hawana hoja Kila kitu kuanzia bei za misosi Hadi Mafuta mambo yamenyooka
Ndio hivyo amewaonesha kwamba hamna akili na Dua la kuku halijampata mwewe 😂😂👇👇Lilisikika chawa la makurunge likinena
Soma hapa:-
View attachment 3174398
Serikali iliwaeleza sababu na ikaeleza mikakati yake ila hamkutaka kuelewa ndio maana saizi mnadhani mambo Huwa yanajileta yenyeweThe bubble has busted. Nani aliyekuwa anazichukua hizo dola na alikuwa anafanyia nini? Very very strange kwa yale tuliyopitia
Machadomo na Wafuasi wa Mwendazake lazima wachukie mafanikio ya Samia 😂😂
Kiufupi hawana hoja Kila kitu kuanzia bei za misosi Hadi Mafuta mambo yamenyooka
Kwa hiyo mtu akificha hela ndio Dola inapanda? Hujui kitu kwenye uchumi wewe nyumbu Kaa kimyaShilingi imehadimika,watu wameficha hela zao hazipo kwenye mzunguko
JPM angekuwepo hali ya vyuma kukaza na maisha kuwa ya kama ya Zimbabwe ndio ingekuwa stahiki ya Tanzania Kwa sababu ya sera zake mbovu za watu kuishi kama mashetani zilizokimbiza wawekezaji,za kupora watu hela,kupora Dola ,kutoajiri huku akisingizia Sgr na bwawa na hela hana bila kusahau kujifungia ndani.Unakosea. Samia hakufika hapo kwa kumshinda JPM. Amefika hapo sababu JPM alifariki. Msianze kumletea mikosi kwa haya maneno yenu yanayokosa utu na kusahau mlikotoka.
Kumbukeni bado hamjafika. Safari inaendelea. Na waswahili wanasema hujafa hujaumbika. Muacheni JPM apumzike kwa amani
JPM angekuwepo hali ya vyuma kukaza na maisha kuwa ya kama ya Zimbabwe ndio ingekuwa stahiki ya Tanzania Kwa sababu ya sera zake mbovu zilizokimbiza wawekezaji,za kupora watu hela,kupora Dola ,kutoajiri huku akiwaza Sgr na bwawa na hela hana bila kusahau kujifungia ndani.
Ndio Mungu akaona tusifike huko akamleta wa kututoa huko na Kwa vile Wafuasi wa Mwendazake na Machadema wakidai huwezi na hakuna alichofanya Sasa hivi ni mda mzuri Sasa wa kuwaumbua na kulinganisha.
Mpende au msipende tutalinganisha ligacy 😆 😆 👇 👇
View: https://x.com/TheCitizenTz/status/1856649634879295949?t=LcX5SRTceBMeDc3utMBmqg&s=19
Anapumzikaje kwa ule ushetani wake??Unakosea. Samia hakufika hapo kwa kumshinda JPM. Amefika hapo sababu JPM alifariki. Msianze kumletea mikosi kwa haya maneno yenu yanayokosa utu na kusahau mlikotoka.
Kumbukeni bado hamjafika. Safari inaendelea. Na waswahili wanasema hujafa hujaumbika. Muacheni JPM apumzike kwa amani
Hujui misingi ya uchumi unavyofanaya kazi kaa kimya.Unaongea upuuzi mtupu. Ndio shida wenye akili wamekaa kimya na wajinga wamechukua siti za mbele. Dola imepotea wakati gani?
Na shilingi imepotea wakati gani? Akili zako ndogo. kariri mambo madogo madogo halafu danganyana na wenzako.
Hii safarfi bado na sio rahisi kama unavyofikiria. Kaa kimya ona na tazama. Hakuna kitu kibaya kama kuidangana nafsi
Akili zako kubwa ziko wapi? Weka hapa thzione wewe kiazi.Unaongea upuuzi mtupu. Ndio shida wenye akili wamekaa kimya na wajinga wamechukua siti za mbele. Dola imepotea wakati gani?
Na shilingi imepotea wakati gani? Akili zako ndogo. kariri mambo madogo madogo halafu danganyana na wenzako.
Hii safarfi bado na sio rahisi kama unavyofikiria. Kaa kimya ona na tazama. Hakuna kitu kibaya kama kuidangana nafsi
Sasa wewe unamlimisha mashamba huko chini aliko? 😂 😂 😂 😂 . Mwizi wa mali ya umma anatesa watu wasio na hatia. Muongo. Mvivu. Mla rushwa kwa kutumia rasilimali za umma.Anapumzikaje kwa ule ushetani wake??
Hujui misingi ya uchumi unavyofanaya kazi kaa kimya.
Akili zako kubwa ziko wapi? Weka hapa thzione wewe kiazi.
Dola ilianza kupoteza awamu ya 5 na ndio maana Mwendazake alipora watu wa Bearea de Change(Mama amewarudishia hela zao).
Shilingi pia ilianza kupoteana awamu ya 5 na ndio maana Mwendazake alitishia kubadili maana watu waliacha kuweka hela Benki kuogopa kuporwa na Mwendazake,usijitoe ufahamu.
Kiufupi Kila sekta ilianguka kipindi hicho kuanzia biashara,Kilimo ,Ardhi Hadi Huduma za jamii.
Mwisho wewe ndio mpuuzi
Huna hoja Wala facts.Mnalishana ujinga tuu,nyie Wafuasi wa Jiwe ni ma loosers.Ndio maana nasema wajinga wamekaa siti za mbele kama kawaida. Kila swali gumu wanalijibu kirahisi tu na kumuhukumu JPM ili waendelee kula wasipopanda. As if inatusaidia watanzania wote
Kuachiana lazima ila wakiachiwa wale wenye akili za kijamaa kama Jiwe ni hasara Kwa Nchisafari bado ndefu.....muda utaongea😂😂😂😂. Mbio hizi ni za vijiti. lazima kuachiana
Kuachiana lazima ila wakiachiwa wale wenye akili za kijamaa kama Jiwe ni hasara Kwa Nchi
KabisaMtaota sana ila SSH atazidi kuwaaibisha
Usitutoe kwenye reli,hoja hapa ni mambo Mazuri ,ya faida na ya maana amefanya Samia na sio hizo za Kisiasa.Naona watu wanaongea kama vile wamemaliza. nawazoom tu. CCM ni chama, tena kina wenyewe 😂 😂 😂 😂