Bei ya kubadilisha dola leo ni Tsh 2418 kununua na Tsh 2442 kuuza. Je, hii ni dalili ya nini?

Bei ya kubadilisha dola leo ni Tsh 2418 kununua na Tsh 2442 kuuza. Je, hii ni dalili ya nini?

Export ya nini? wajinga nyie, Taja vitu tunavyo export, kwani ilivyo panda nani alikuwa kiongozi? Mnashangilia ujinga tupu.
Kunywa maji baridi uteremshe hasira. Utakufa wakati si wako
 
Rebasing hiyo, maana yake Gdp inaenda kufika dola bill 100 na by next year kenya bye bye
William Rutto mwenyewe kakillk hapa halafu mjinga mmmoja anaitwa BLACK MOVEMENT anaharisha maneno mdomoni
Screenshot_20241212_091844_X.jpg

Rais wa Kenya, William Ruto amesema Tanzania imeipita Nchi ya Kenya katika huduma za biashara za uagizaji na uingizaji bidhaa katika Nchi za Afrika Mashariki.

Akiongea katika Maadhimisho ya Miaka 25 ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Jijini Arusha, Ruto amesema “Kenya ilikuwa inaongoza kwenye masuala ya mwingiliano wa biashara katika Nchi za EAC kwa upande wa biashara za bidhaa na huduma, leo Tanzania imeipita Kenya na naipongeza Tanzania kwa hatua wanayopiga”

“Rais Museveni amesema hatupo kwenye Jumuiya hii kwasababu tunapendana, ni vizuri kupendana lakini tupo kwenye Jumuiya kwasababu tuna malengo yanayofanana , ili tupige hatua zaidi tunahitaji soko kubwa kwa Wazalishaji wetu na Wafanyabiashara wetu kuuza bidhaa zao na kuwekeza”
#MillardAyoUPDATES
(📹 Citezen)
 
Mbona shilingi yetu imeimarika dhidi ya shilingi za Kenya, Uganda na faranga za Rwanda na Burundi pia?
Mjinga hubishana bila takwimu/facts,ila akielekezwa huelewa,hana takwimu hataki kuelewa hugeuka ni mpumbavu
Shilingi ipo strong dhidi ya hizo ulizozitaja toka mwaka huu umeanza.
Kipindi hiko USDTZS IPO very strong,.......Dola imeanza kushuka kuanzia mwezi WA Tisa mwaka huu sababu ya kushusha interest rate,31 August,then 31 October,........mwezi huu U.S CPI imekua kubwa then feds imeplan kushusha interest rate,so currencies ni speculative business thus why $ IPO weak against others currencies all over the world.
Yaani mauzo ya nje ya $7 billion........utajiri wa Jay-Z,Kanye na Benyonce tu......uifanye $ iwe weak?😃😃
Sasa tujiulize,mimi na wewe ni wajinga ama wapumbavu?
 

Attachments

  • Screenshot_20241212-110527.png
    Screenshot_20241212-110527.png
    127.2 KB · Views: 4
Mjinga hubishana bila takwimu/facts,ila akielekezwa huelewa,hana takwimu hataki kuelewa hugeuka ni mpumbavu
Shilingi ipo strong dhidi ya hizo ulizozitaja toka mwaka huu umeanza.
Kipindi hiko USDTZS IPO very strong,.......Dola imeanza kushuka kuanzia mwezi WA Tisa mwaka huu sababu ya kushusha interest rate,31 August,then 31 October,........mwezi huu U.S CPI imekua kubwa then feds imeplan kushusha interest rate,so currencies ni speculative business thus why $ IPO weak against others currencies all over the world.
Yaani mauzo ya nje ya $7 billion........utajiri wa Jay-Z,Kanye na Benyonce tu......uifanye $ iwe weak?😃😃
Sasa tujiulize,mimi na wewe ni wajinga ama wapumbavu?
Wewe ndio mpumbavu wa mwisho, una simu unashindwa hata ku google hapo trend ya Tshs vs Kshs au Ugsh, ndani ya mwezi huu ikoje kabla ya kuanza kuandika pumba? Unanza kuleta ukuaji kumbe mbubumbu
 
Back
Top Bottom