KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Hakuna MTU atayekuja kuwaokoaCCM CCM CCM, ipo siku Mungu atasikia vilio vyetu. Kupandisha kwa gharama za umeme inamaana na gharama za bidhaa zitaongezeka. Uwekezaji utapungua nchi itazidi kuwa maskini.
Kama ndio hivyo huyu mama ovyo sanaKuna tetesi nimepewa na mtu wangu wa huko wizarani kuwa kuna bei mpya ya units kuanzia january
Bei itapanda kutoka Tsh 357 kwa unit bei ya sasa hadi kufika 511 kulingana na nilivyoambiwa
Halafu nimeambiwa pia tarrif 4 ile ya kununua umeme wa 5000 unapewa units 40 kwa vijijini inaondolewa hakutakua na tarrif 4 tena
Nimedokezwa sababu ya kupandishwa ni ili kuifanya Tanesco iweze kuijendesha kwa ufanisi, kupunguza utegemezi kutoka Serikalini na pia kuweza kulipa madeni yake
My take:Zile habari za umeme siku moja kushuka zilizikwa Chato, lengo la bwawa la Nyerere lilikua ni likikamilika units zishuke zaidi ya sasa wenzetu Ethiopia bei ya unit ni Tsh 16 ambapo inaifanya Ethiopia kuwa miongoni mwa mataifa yenye umeme wa bei chee Africa na duniani
We jamaa unaongea nini?Umeme hauwezi panda bei bila EWURA kutangaza kwenye magazeti ili wananchi wajadili.
Wakishajadili ndio maamuzi hufanyika
Na pia bei haiwezi kuwa hiyo milele
Serikali ipi sasa mzee? Wanaokopa ni kina nani?Hujui ulichoandika hizi ni hisia tu, alafu madeni ya Tanesco na tpdc yamehamishiwa serikalini
Mbona Mama Amenuna hivyo?Nchi inamshinda nini?
Mkome washenzi wakubwa mkiambiwa kuchagua viongozi mnachagua kolonaHiyo ndiyo furaha ya Lisu
Kabisa ndugu yangu.Halishikwi linatiwa kidole kbs
Sio bure, unapumuliwa kichogoniHiyo ndiyo furaha ya Lisu
Mkuu ulipoteaga wapi?Nasubiri taarifa rasmi kabla sijasema chochote.
Huwa napumzika maana thread kama hizi zinaweza kutuweka matatizoni. Nchi imekuwa ya kipuuzi mpaka nawaza nirudi kubeba box.Mkuu ulipoteaga wapi?
Tutamkumbuka tu jamaa.
Ulaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]chadema wamefurahi sana sukuma gang kukomolewa kwa kupandishiwa umeme[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna tetesi nimepewa na mtu wangu wa huko wizarani kuwa kuna bei mpya ya units kuanzia january
Bei itapanda kutoka Tsh 357 kwa unit bei ya sasa hadi kufika 511 kulingana na nilivyoambiwa
Halafu nimeambiwa pia tarrif 4 ile ya kununua umeme wa 5000 unapewa units 40 kwa vijijini inaondolewa hakutakua na tarrif 4 tena
Nimedokezwa sababu ya kupandishwa ni ili kuifanya Tanesco iweze kuijendesha kwa ufanisi, kupunguza utegemezi kutoka Serikalini na pia kuweza kulipa madeni yake
My take:Zile habari za umeme siku moja kushuka zilizikwa Chato, lengo la bwawa la Nyerere lilikua ni likikamilika units zishuke zaidi ya sasa wenzetu Ethiopia bei ya unit ni Tsh 16 ambapo inaifanya Ethiopia kuwa miongoni mwa mataifa yenye umeme wa bei chee Africa na duniani
EWURA sio ipo chini ya wizara ya nishati?EWURA pamoja na Wadau ndo mhusika wa kupanga bei ya Maji, Nishati
We ni mjinga sana na kama watawala wanapitia humu na kusoma.coment za aina hii basi wanafarijika sana na kuona ni jinsi gani wabongo walivyo mazezeta
Kwa hiyo hapa unataka tujadili tetesi?Kuna tetesi nimepewa na mtu wangu wa huko wizarani kuwa kuna bei mpya ya units kuanzia january
Bei itapanda kutoka Tsh 357 kwa unit bei ya sasa hadi kufika 511 kulingana na nilivyoambiwa
Halafu nimeambiwa pia tarrif 4 ile ya kununua umeme wa 5000 unapewa units 40 kwa vijijini inaondolewa hakutakua na tarrif 4 tena
Nimedokezwa sababu ya kupandishwa ni ili kuifanya Tanesco iweze kuijendesha kwa ufanisi, kupunguza utegemezi kutoka Serikalini na pia kuweza kulipa madeni yake
My take: Zile habari za umeme siku moja kushuka zilizikwa Chato, lengo la bwawa la Nyerere lilikua ni likikamilika units zishuke zaidi ya sasa wenzetu Ethiopia bei ya unit ni Tsh 16 ambapo inaifanya Ethiopia kuwa miongoni mwa mataifa yenye umeme wa bei chee Africa na duniani