Bei ya Mafuta: Rais Samia, badili uongozi wa juu ili wananchi tupate ahuweni

Bei ya Mafuta: Rais Samia, badili uongozi wa juu ili wananchi tupate ahuweni

Kusema ukweli huku kwa ground mambo ni magumu sana kipande cha sabuni ni sh 800
 
Kusema ukweli huku kwa ground mambo ni magumu sana kipande cha sabuni ni sh 800
Wamemtafutia kasafar kdg akackilizie upepo.

Tumuulize nani juu ya swali hili:

Bill 100 zinaingia mfuko wa akina Nan?

Tuliambiwa itasaidia Bei za mafuta kushuka kupeleka Bei za bidhaa kushuka pia.

Kwann mlidharau ushauri tuliowapa wa kupitia KODI inayotozwa kwenye kila Lita ya mafuta ipungue Kwa at least 800, Bei ingeshuka na impact ingeonekana.

Kwann mawaziri na wabunge wanaagiza na kufanya biashara ya mafuta?

Watawezaje kuwatetea wananchi?
 
Pakini magari tembeeni kwa mguu
Au pandeni daladala
Hapo ndiyo watawaelewa,sasa watu mnalalamika huku kutwa mnajipeleka
Wenyewe kwenye vituo vya mafuta mnajaza
Barabarani magari kibao +foleni
Hapo mnaonekana mambo byeee

Ova
 
Wamemtafutia kasafar kdg akackilizie upepo.

Tumuulize nani juu ya swali hili:

Bill 100 zinaingia mfuko wa akina Nan?

Tuliambiwa itasaidia Bei za mafuta kushuka kupeleka Bei za bidhaa kushuka pia.

Kwann mlidharau ushauri tuliowapa wa kupitia KODI inayotozwa kwenye kila Lita ya mafuta ipungue Kwa at least 800, Bei ingeshuka na impact ingeonekana.

Kwann mawaziri na wabunge wanaagiza na kufanya biashara ya mafuta?

Watawezaje kuwatetea wananchi?
Biashara nyingi za mafuta zina mkono wa wakubwa..so tutulie tuli tuendele
Kunyolewa....
Tuendele tu kulipia tozo mbalimbali

Ova
 
Mnashabikia vita ya Urusi afu mnamlaumu Rais
 
Serikali yatakiwa ikate matumizi, miradi mingine isimamishwe
 
Hili ni Balaa.
Mkeka Bado uko vzr.

Wale mawaziri 4 vijana kutoboa Dec Bado ni ngumu.

Ngorongoro itaondoa na mtu,

Bei za mafuta pia, fuko kuu na ugumu wa maisha pia pressure Iko juu sana.

Nashauri fukuza mawaziri kupunguza tension nchini, maana mkubwa hakosei. Amen
 
Chonde Rais Samia, utuonee huruma wananchi wako. Tunaonba sana, kwa aina ya uongozi wa Juu kabisa uliouweka kwenye nishati, na kama ukiendelea kuwepo tutaumia na kuishia kukulaumu wewe kila uchao.

Pamoja nar udhuku unayo toa, italiwa na mafuta yatazidi kupaa na bei za Vitu vingine vitapanda kila siku.

Uongozi hauna ubunifu kabisa. Mambo yanawakuta mezani tu na hawana ujanja wowote wa kupambana na mambo makubwa.

Kiufupi ni watu walio zoea dili, dili na wao, wao na dili tangu wazaliwe wako hivyo.

Ukiendelea kutoa rudhuku, italiwa na bei zitapanda vilevile.

Futa uongozi wa Juu na Ondoa hiyo rudhuku ikafanye kazi zingine.
Kweli
 
Mkeka Bado uko vzr.

Wale mawaziri 4 vijana kutoboa Dec Bado ni ngumu.

Ngorongoro itaondoa na mtu,

Bei za mafuta pia, fuko kuu na ugumu wa maisha pia pressure Iko juu sana.

Nashauri fukuza mawaziri kupunguza tension nchini, maana mkubwa hakosei. Amen
Inaonekana hawazi kabisa ugumu wa maisha tulio nao huku kitaa. Akishakila kuku pale jumba jeusi anatosha.

Wanasiasa maalufu wote wanalamba asali, so tunaumia wenyewe.
 
Mama SSH ana nia nzuri sana na nchi hii sema amezungukwa na mbwa mwitu wabaya sana pande zote.
Ni wapigaji wasio na huruma hata kdg, dawa ni kuachana na haya majizi na kuweka wazalendo na wenye hofu ya Mungu.
Mbona kamtoa DG WA TPA kwanini asiwatoe hao wengine

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Inaonekana hawazi kabisa ugumu wa maisha tulio nao huku kitaa. Akishakila kuku pale jumba jeusi anatosha.

Wanasiasa maalufu wote wanalamba asali, so tunaumia wenyewe.
Anatakiwa aone MBALI sio kuona MBELE.

Aone MBALI sana kuliko anavyoweza kuona mwananchi yeyote yule.

Kiongozi sharti awe na MAONO.

Wafukuzwe mawaziri Hawa vijana wasizamishe mtumbwi.
Amen
 
Anatakiwa aone MBALI sio kuona MBELE.

Aone MBALI sana kuliko anavyoweza kuona mwananchi yeyote yule.

Kiongozi sharti awe na MAONO.

Wafukuzwe mawaziri Hawa vijana wasizamishe mtumbwi.
Amen
Hana habari na bei za huku kitaa.
 
Hana habari na bei za huku kitaa.
Joto likipanda anasafiri.

"Watoto wananyeshewa mvua nje, mama amekaa ndani na Hana habari".

Nani aangushiwe jumba bovu term hii?

Ni afukuze baadhi ya mawaziri Hasa Ardhi, fedha na nishati.
 
Wizara ya Nishati pamoja na EWURA hapa ndio wajanja walipo. Mama choma kichaka chatu watatoka wenyewe.
 
Joto likipanda anasafiri.

"Watoto wananyeshewa mvua nje, mama amekaa ndani na Hana habari".

Nani aangushiwe jumba bovu term hii?

Ni afukuze baadhi ya mawaziri Hasa Ardhi, fedha na nishati.
MKUU
Mtoto wa siku TATU SIO!!?
Nahisi ulikuwa ni ujumbe wa dola KWA mama !
Kupitia stori ya Mtoto au Sio!!?
Ngoja TUONE!!
 
Wizara ya Nishati pamoja na EWURA hapa ndio wajanja walipo. Mama choma kichaka chatu watatoka wenyewe.
Bila kusahau fedha. Fukuza mawaziri wa nishati, ardhi Ili safari ya 2025 isiwe ndeeeefu.
 
Back
Top Bottom