The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kwa sababu mwezi walionunua yalikuwa yamepanda tena.Y yasibaki na b ya long
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu mwezi walionunua yalikuwa yamepanda tena.Y yasibaki na b ya long
Kwani kuwa landlocked ndio nini? Unajua Bei ya mafuta Nigeria?Nchi zote ni landlocked
Sijui. Ni kiasi gani?Kwani kuwa landlocked ndio nini? Unajua Bei ya mafuta Nigeria?
Wanatuumiza sana hawa wana CCM,ni waroho kupitiliza wanatunyonya sana kwa kweliUkiangalia kwa sehemu kubwa wamiliki wa vituo vya mafuta ni viongozi wengi serikali,na sehemu nyingine wana share na wafanyabiashara. Ndio maana wakitoka mbele wanakuwa waongo waongo kutembea matumbo Yao
Kwao ni bora sisi tuumie wao wanufaike,sisi ni takataka mbele yao.
Wanalipwa bure,wanakula bure,wanapata huduma zote za msingi kwa kuudumiwa na kodi zetu,ila ndio wanaendelea kutukandamiza.
Ipo siku isiyo na jina haya yatabaki historia,na hawa wanafanya na kujitapa watabaki historia. MUNGU yupo,tujipe muda.
mafuta ni biashara za watu,na hao watu ndo watawala wa nchi,na wanaroho mbaya sana shetani awafikii.watakuuwa au akiwa na bahati wakupe kesi ya uhujumu uchumi iwe fundisho kwa wengine watakao thubutu kufanya huo ubunifu.Jinsi ya kutengeneza diesel, unaweza tumia taka za plastic ngumu HDPE, mipira ya tyre za magari, mpira wowote. Oil chafu iliyokwisha tumika, mafuta ya kupikia yaliyotumika, mafuta ya mimea yote inayoliwa, mafuta ya mbegu za mimea isiyoliwa mfano muarobaini, nyonyo, mbono jatrophas, nk. Ukajipatia diesel yako safi kabisa kwa ubora na standard sawa na diesel tuliyoizoea.
Kwa personal use sidhani kama unaweza athiri biashara zao.mafuta ni biashara za watu,na hao watu ndo watawala wa nchi,na wanaroho mbaya sana shetani awafikii.watakuuwa au akiwa na bahati wakupe kesi ya uhujumu uchumi iwe fundisho kwa wengine watakao thubutu kufanya huo ubunifu.
Kweli ulimsikiaa vzr mnoKwani hukumsikia mkurugenzi anasema bei ya mafuta ya sasa imetokea baada ya kununua mafuta ya mwezi June ambayo ndio yanayouzwa mwezi huu wa 7 hivyo bei ya mafuta itashuka baada ya wao kununua mafuta ya mwezi wa 8 yatakayouzwa September
Halafu mkutano walifanya Serena [emoji38][emoji38][emoji38][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Bongo nyoso
Maajabu ya Tanzania ni kwamba Bei imeshuka kwenye soko la dunia tokea June Ila huku ewura wanatuambia imepanda
View attachment 2315145
Alafu nani mwenye hakika kuwa hiyo ruzuku ni kweli inatolewa???Unafikiri makapuni hayataki hiyo ruzuku ya Billioni 100?
Kwani hao watu wako wakishasema wao ndiyo na wewe akili yako inajifunga haifikirii tena Wala kuulizia maeneo mengine Hali ikoje???Inabidi tuwe na sehemu ya watu slow kwenye mtandao huu. Walishasema bei ya Iko miezi miwili mpaka mitatu nyuma lakini bado kuna jamaa wazito kama huyu.
Huyo anaelewa hata maana ya "landlocked countries"!!???Nchi zote ni landlocked
Kwani hao watu wako wakishasema wao ndiyo na wewe akili yako inajifunga haifikirii tena Wala kuulizia maeneo mengine Hali ikoje???
Mbona utakuwa mtu wa ajabu Sana,unakuwa hauna tofauti na speaker ya radio inatoa ilichopewa tu
Nyie ndiyo ambao mtu wa Serikalini akisema Jambo,wengine wakijaribu kuhoji mnasema "ina maana wewe una akiri kuliko flani!!!??"
Nchi ya wapigaji !! Wamejaa kila sekta !!EWURA wao ikipanda huko hata kama walinunua miezi 3 iliyopita watapandisha tu¡ lakini ikichuka uwii huwaoni kamwe.[emoji24][emoji24][emoji24]