Mkuu umeona mbali sana, ukiona India na china hawafanyiwi figisu kwenye kununua mafuta ya bei chee ya urusi basi hapo jua makampuni ya beberu yapo ndani ya biashara hiyo, hapo beberu ataendelea kutengeneza faida kubwa huku urusi akiingia hasara kwa kudhani anamkomoa beberu namba moja marekani.Beberu ni mtu mbaya sana. Usishangae ndiye anayenunua mafuta ya Russia kwa mgongo wa India na wenzake.
Hata hivyo ushauri wako kwa nchi yetu ni muhimu sana. Sijui balozi wetu Moscow anafanya kazi gani.