Ivi izi akili mnazitoa wapi jmn basi naye marekani aishukuru ulaya kwa kuwafikisha pale walipo maana kuanzia teknolojia,elimu, mifumo ya kiutawala , mitaji vyote alivitoa ulaya? Hawakusoma bure walilipia ada ndyo wakasomaChina inatakiwa iwashukuru sana Wamarekani kwa jinsi vyuo vyao vya MIT, Stanford, Havard n.k walivyowasomeshea wanasayansi wa Taiwan waliounda makampuni makubwa ya semiconductors kama TSMC. Pia na wizi wa teknolojia za West umewasaidia sana.
Umesahau Kuna India, Japan, Vietnam n.k
Decoupling ni decoupling tu for the benefit of security interests. Hauwezi ukasema eti kwakuwa China wanazalisha products nyingi zaidi basi soko lataendelea kuwa stable.
Stability ya soko inategemeana pia na political atmosphere iliyopo, kama upepo wa kisiasa ni mchafu hakuna mtu atanunua bidhaa zako hata kama utengeneze tonnes na matonnes
Soko kubwa la China lipò USA na Europe, usitegemee kumuona mtu yyte wa ulaya akanunua bidhaa za China ikiwa kama China ataendelea na policy zake za kuinyanyasa Taiwan.
Policies za west is all about humanity, kujali utu kwanza kabla ya vitu.
Wrong. Soko kubwa la China ni ASEAN ndio inafuata EU inakuja U.S.A yanafuata pia mataifa mengine ya Asia.
Policies gani za China zinainyanyasa Taiwan ?
Mfumuko wa bei Marekani na Ulaya huwa unasabaishwa na bei za mafuta na sera za kifedha/benki sio hizo bidhaa za mchina.
Mara zote, USA imekuwa ikisisitiza free trade, diversity economy, respect of human rights n.k
Since ilipoundwa United Nations Nia ilikuwa kuyaleta mataifa pamoja na kuweka sheria za kimataifa ambazo pia mojawapo ni kulinda haki za binadamu ambazo China imekuwa pia ikizivunja
Mara zote China imekuwa ikihojiwa kuhusu waisilamu wa Urygur, mauaji ya Tienanman square na sasa mnataka kuivuruga Taiwan,,,,, hell no, hakuna mtu atakubaliana na hili,!! vyote hivi ni ukiukwaji wa haki za binadamu
Ivi izi akili mnazitoa wapi jmn basi naye marekani aishukuru ulaya kwa kuwafikisha pale walipo maana kuanzia teknolojia,elimu, mifumo ya kiutawala , mitaji vyote alivitoa ulaya? Hawakusoma bure walilipia ada ndyo wakasoma
Sawa! Ila bado sijaona sababu ya haya mataifa mengine kushindwa kumiliki hiyo technology labda kuna term and condition au copywrite au vyovyote ila kwa sababu hizi nyepesi bado hawashindwi kununua hiyo yechnologyChip zipo nyingi, na Zinatengenezwa maeneo mengi tu, kitu ambacho China wameshindwa ama atleast itawachukua miaka 20 kuweza kutengeneza ni issue za Semiconductor na kuna mambo mawili
1. EUV za ASML ya Mholanzi
2. Silicon za Mjapan
Hizo EUV ni machine complicated sana zinazotumika kutengeneza processor, Gpu na vitu vingine, ukisikia TSMC, sijui intel ama Samsung wanatengeneza Processor za kisasa ujue EUV inahusika. Ipo kama hivi
View attachment 2632839
Hako kadude kanauzwa kama trilioni 1 hivi. Sasa hivi mchina anawekeza matrilioni ya Hela kuja na Alternative yake.
2. Mjapan ndio anasuply most purified Silicon ambazo zinatumika kwenye semiconductor. Ni crucial kutengeneza chip kwa manufacturing process ndogo mfano hizi 3nm ama 4nm etc.
Kifupi mkuu hata Marekani mwenyewe hii tech hana na hata hao Waholanzi wanamsaidia tu Marekani sababu hawana jinsi (Marekani ana wa Blackmail) ila Waholanzi kesho wakijitoa Mhanga na kuside na China kibao kinageuka.
Tech nyingi ngumu ngumu zinatoka Japan na Ulaya hasa Maeneo ya Nordic, Ujerumani, Uholanzi etc.
View attachment 2632456
The Chinese government has told operators of important infrastructure in the country to stop buying products from the US chipmaker Micron Technology.
Its products carry “serious network security risks” that pose hazards to China’s information infrastructure and affect national security, the Cyberspace Administration of China said in a statement on its website.
The move is the latest example of tensions between the US and China over technology, after a US ban on using the social video app TikTok on government phones and restrictions imposed by Washington on the export of some sophisticated computer chips to China.
“Operators of critical information infrastructure in China should stop purchasing products from Micron,” the Chinese agency said on Sunday. A US Department of Commerce spokesperson said the move had “no basis in fact”. The China and Hong Kong market accounts for about 15% of revenues at Micron, and the company’s shares dropped 3.7% in early trading in New York.
It generated $5.2bn (£4.2bn) of revenue from China, including $1.7bn from Hong Kong last year, about 16% of its total revenue, according to Jefferies.
Last year the U.S. government banned the export of cutting-edge chips, including artificial intelligence chips and specific GPUs from companies like AMD and Nvidia, to China also U.S blacklisted top Chinese memory chip maker YTMC.
Ahaa! Kwa sura hii naweza nikaelewa mkuu! Hapa ndipo nilikua na missNi mataifa mangapi yana miliki teknolojia ya utengenezaji wa makombora ya kinyuklia bila usaidizi au wizi kwa mataifa ya nje ?
Teknolojia ya Chips ni mfano wa bomu la kinyuklia katika teknolojia dunia kwa sasa kwa hiyo inalindwa.
China anayo teknolojia ya kutengeneza Chips lakini sio za ubora wa juu zaidi kama U.S, Netherlands na Taiwan.
Simu ipi ya China isiyokuwa na android ni nzuri kuliko simu zenye android ?Wewe ni mhanga wa propaganda za marekani. Unafikiri china hawawezi kutengeneza chips za aina yoyote wamarekani wanatengebeza? Ulikua wapi wakati ule marekani walitishia kuweka vikwazo kwa app ya adroid kwa simu za huawei kisha wachina wakatoa app yao kwa simu zao tena bora kuliko adroid. Kama wachina wako kwenye technology ya space sawa au kuwazidi wamarekani kwa leo unafikiri nini kitawashinda. Tatizo mnafikiri kama wanavyodhania wamarekani kabila kama sio wazungu au kufundishwa na wazungu hawawezi technology za juu.
Mkuu kiasi nilianza kukuamini unachokiangea hadi nilipofika kwenye sentence hapa.Policies za west is all about humanity, kujali utu kwanza kabla ya vitu.
Moja ya Hatua zilizochukuliwa na Marekani katka kulinda haki za binadamu ni pamoja na kuban bidhaa zote zinazotokea China kuingia US zinazohisiwa kuzalishwa kwa forced labour haswa kwa waislamu wa Urygur wanaosmeekana wamewekwa kwenye makempu Xinjiang na kufanyishwa kazi kwa lazima.Mkuu kiasi nilianza kukuamini unachokiangea hadi nilipofika kwenye sentence hapa.
Anachokifanya USA pamoja na mashoga zake Europe kwenye mankind ni porojo tu ila anakusudia kulinda mustakabali wake zaidi kuliko huo utu. Tuache kusikiliza BBC na CNN maana zinatu brainwash.
Mzee fatilia, mbona data zao zipo waziKaongo sana wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
LGBTQ sijui mnatumia nini kufikiria.Acha porojo na hadithi za vijiweni,
Marekani na Canada wanayo gesi na mafuta yao ya kutosha.
Japan inachukua gas yake kutoka Australia.
China inachukua gas nyingi zaidi kutoka Australia.
We mzee tofauti ya Semiconductor na chips ni nini? Umepitia walau physics ya Form VI?Chip zipo nyingi, na Zinatengenezwa maeneo mengi tu, kitu ambacho China wameshindwa ama atleast itawachukua miaka 20 kuweza kutengeneza ni issue za Semiconductor na kuna mambo mawili
1. EUV za ASML ya Mholanzi
2. Silicon za Mjapan
Hizo EUV ni machine complicated sana zinazotumika kutengeneza processor, Gpu na vitu vingine, ukisikia TSMC, sijui intel ama Samsung wanatengeneza Processor za kisasa ujue EUV inahusika. Ipo kama hivi
View attachment 2632839
Hako kadude kanauzwa kama trilioni 1 hivi. Sasa hivi mchina anawekeza matrilioni ya Hela kuja na Alternative yake.
2. Mjapan ndio anasuply most purified Silicon ambazo zinatumika kwenye semiconductor. Ni crucial kutengeneza chip kwa manufacturing process ndogo mfano hizi 3nm ama 4nm etc.
Kifupi mkuu hata Marekani mwenyewe hii tech hana na hata hao Waholanzi wanamsaidia tu Marekani sababu hawana jinsi (Marekani ana wa Blackmail) ila Waholanzi kesho wakijitoa Mhanga na kuside na China kibao kinageuka.
Tech nyingi ngumu ngumu zinatoka Japan na Ulaya hasa Maeneo ya Nordic, Ujerumani, Uholanzi etc.
Ubora wa hizo chips unapimwa na nani?Ni mataifa mangapi yana miliki teknolojia ya utengenezaji wa makombora ya kinyuklia bila usaidizi au wizi kwa mataifa ya nje ?
Teknolojia ya Chips ni mfano wa bomu la kinyuklia katika teknolojia dunia kwa sasa kwa hiyo inalindwa.
China anayo teknolojia ya kutengeneza Chips lakini sio za ubora wa juu zaidi kama U.S, Netherlands na Taiwan.
Mbona Kizzy Wizzy amekujibu na kujenga hoja zake vizuri na kwa utaratibu! Kulikua na ulazima gani kum attack? Na bado ameendelea kukujibu wisely, unajisikiaje?Wewe unaandika upumbavu gani? Unajua kampuni zilizochina zinamake profit kias gani? Unafikiri anayeumia ni China au west??. Nasubir apple watoke China afu tuone kama iphone zitazagaa bongo. Apple wenyewe wanakwambia wamepiga faida kutoka China unafikir easy sana.
China na Russia production cost ziko low sana ndomana unaona makampuni yao yanakimbilia huko. Wameshindwa Russia wataweza China??
Marekani anawaingiza chaka wenzie, yeye mwenyewe anataka kuapproval Debt ceiling hali ni mbaya huko, dollar ishakua shida kila kona.
Wewe ni mshamba kutoka Lituhi hebu ondoa ushamba wakk hapa.Simu ipi ya China isiyokuwa na android ni nzuri kuliko simu zenye android ?
Vichwa vyeny vimejaa kamasi. Hebu Taja hiyo simu.
Huawei tangu apigwe ban hata hatujui kaishia wapi
Wanahamisha production kutoka China to whereelse and this time in their backyardMakampuni mengi ya electronics yanayomilikwia na wachina wenyewe na mataifa mengine saivi yanahamia mexico, India na Vietnam
Mizozo na vita vya kiuchumia havina faida kwa China hata kidogo, Hasara ni kubwa mno. Soko Kubwa la China lipo Europe na USA ambako anazidi kupavuruga kila siku kwa sera mbovu na kuvunja international laws.
Kwasasahivi migogoro ya kubana pesa za watu benki, watu kukatwa pensheni zao, unemployment China ni mingi na inazidi kukuwa siku baada ya siku. Migomo na reaction za watu zipo ila ni za chinichini
Decoupling ikichanganya utaona migomo na maandamano itakavyoshamiri. Taifa lenye watu zaidi ya Bilion 1 halafu kuwe na changamoto tu za ajira mkuu sio jambo dogo.