Kuweka vikwazo kwa chips za Marekani is good for nothing sana sana watakaoumia ni wao wenyenyew china kukosa huduma kwa watu wao tokea vile wao wanashindwa kuzalisha, Taiwan ndo washakukoroga kwisha habari yao wataendelea kutengeneza baiskeli na vyerahani vya kushonea nguo
Huyu hana capability ya ku handle stress, mazungumzo na mitazamo tofauti, pia anatia wasiwasi hata elmu na ufahamu wake.Mbona Kizzy Wizzy amekujibu na kujenga hoja zake vizuri na kwa utaratibu! Kulikua na ulazima gani kum attack? Na bado ameendelea kukujibu wisely, unajisikiaje?
Wajasiliamali wengi wanaitazama sana India, Mexico, Vietnam na pia Thailand, mbona hadi wafanyabiashara hapaa bongo wengi wanafata nguo na mizigo mingine thailand....Wanahamisha production kutoka China to whereelse and this time in their backyard
Inakopi na kupesti,Top 5 Countries That Produce the Most Semiconductors:
- Taiwan
- South Korea
- Japan
- United States
- China
Wajasiliamali wengi wanaitazama sana India, Mexico, Vietnam na pia Thailand, mbona hadi wafanyabiashara hapaa bongo wengi wanafata nguo na mizigo mingine thailand....
Law of physics ni zile zile tu. Au mwenzetu upo na new Laws.Inakopi na kupesti,
Hahha ndugu mimi najua mpaka kuziprogram microcontrollers, achiliambali diodes unazozisoma ukiwa form oneLaw of physics ni zile zile tu. Au mwenzetu upo na new Laws.
Unajua electromagnetic?
Unajua Diodes?
hizo factors ulizo mention kama zitawaumiza kiuchumi ndio siri ya mafanikio hapo ilipofikaMkutano wa G7 uliweka bayana agenda ya kupunguza kuitegemea China kiuchumi haswa kwenye upande wa uwekezaji wa viwandani hii inatokana na China kuzidi kuwa mkorofi kwakuwa anaona uchumi wake unakuwa zaidi.
Haya ndio majibu ya Beijin baada ya ule mkutano wa G7, matokeo ya ule mkutano yataleta maumivu makubwa sana China.
Nchi zote zilizoshiriki ule mkutano pamoja na washirika wengine watapunguza kama sio kuondoa uwekezaji wao China.
Xi anazidi kuwaponza wachina, mvutano wa kichumi mikwaruzano na mataifa jirani, sera mbaya za mambo ya nje zitawaumiza sana wachina wengi.
Kuna mtu niliwahi kumwambia humu kwamba China wanajisahau kuwa watu walim boost kwa kuhamishia production nchini mwake na hata sasa wanaweza kuihamishia kwingine na wakamuacha anahangaika. Jamaa alinijua juu kwa kunikashifu kuwa nnatia aibu, sina nijualoWajasiliamali wengi wanaitazama sana India, Mexico, Vietnam na pia Thailand, mbona hadi wafanyabiashara hapaa bongo wengi wanafata nguo na mizigo mingine thailand....
Unapokuwa unataja hizo top whatever, be remunded that kote huko kyna uwekezaji mkubwa sana wa US, pia wanapata support kubwa sana kutoka kwake including China.Top 5 Countries That Produce the Most Semiconductors:
- Taiwan
- South Korea
- Japan
- United States
- China
Kwa nini walienda kuwekeza China na sio kwao au mataifa mengine? Ukipata jibu njoo tudiscuss sasa kwa factKuna mtu niliwahi kumwambia humu kwamba China wanajisahau kuwa watu walim boost kwa kuhamishia production nchini mwake na hata sasa wanaweza kuihamishia kwingine na wakamuacha anahangaika. Jamaa alinijua juu kwa kunikashifu kuwa nnatia aibu, sina nijualo
SI KWELIUnapokuwa unataja hizo top whatever, be remunded that kote huko kyna uwekezaji mkubwa sana wa US, pia wanapata support kubwa sana kutoka kwake including China.
Kuna wakati unatakiwa kuwa makini sana unaposhindanisha US Vs China.
Kwani pasipokujua unaweza ukajikuta unashindanisha US Vs US
SawaSI KWELI
Kama upo serious basi mimi sipo tayari kwenda kwenye hiyo level unayotaka nijeKwa nini walienda kuwekeza China na sio kwao au mataifa mengine? Ukipata jibu njoo tudiscuss sasa kwa fact
Bingwa wa kutengeneza hizo chips na micro ni Taiwan ndio walio na technologia yaa maana sio China, na kwa sababu hiyo ndio maana China wanawaonea wivu, yeye kupiga marufuku haina impact yoyote kwa US as long as zipo nchi bingwa duniani kama Taiwan zinazalisha na ndio DNA yao., ni vile China hajielewi tuHivi unafikiri mpaka China wapige marufuku wao hawana uwezo wa kutengeneza chips?
Wewe uijuae endelea kuwaabudu, mpaka leo china wameshindwa kuwa na mfumo wa technologia wa kwao uliofanana na Android au OS ambao dunia wanauhitajiHij
Huijui China wewe
US ana uwezo wa kutohitaji kitu chochote kutoka Asia ama kuwaekea vikwazo nchi zote za Asia na akapeta kwenye uchumi wake na maisha yake sio hao china waliopewa technologia na hao hao US., China kujaribu kueka kikwazo kwa US ni kama kujitekenya mwenyeo tuInamaana wanapiga ban bila ya kujua mbadala wa hiyo ban?
Basi watakuwa wana akili kama za Kiafrika.
Unaona semiconductors ndilo jambo ambalo China wana tafuta huko Taiwan? Una safari ndefu kuelewa suala la China na Taiwan.China bingwa wa intellectual property theft.... hahahaha
Semiconductors zimamtoa udende Xi kuivamia Taiwan. Sasa tumejua
Ila decoupling inaiathiri sana China kiuchumi na makampuni kibao makubwa yanasogea Cambodia, Vietnam, Thailand na India
Huawei bado ni mtengenezaji wa simu asilimia kubwa kwa soko la ndani na sasa amekuja na toleo jipya pia ameweza kutengeneza vifaa vyake ambayo mwanzo alikuwa akiagiza nje vilivyo wekewa zuio kutumika katika matoleo yake ya simu janjaSimu ipi ya China isiyokuwa na android ni nzuri kuliko simu zenye android ?
Vichwa vyeny vimejaa kamasi. Hebu Taja hiyo simu.
Huawei tangu apigwe ban hata hatujui kaishia wapi