Believe it or Believe it not: September 11, 2011 Twin tower were hit by Military Plane

Kuna mchambuzi mwingine aliweka mpaka video kwa kujazia ushahidi wake na alisema hivi.....muda mchache kabla ya hilo tukio kufanyika rais wa marekani wakati hule george bush alikua kwenye kikao na gafla kuna mtu alikuja kumnong'oneza kuhusu hilo tukio lakini bush aliamua kuendelea na kikao......na dakika chache tukio liliendelea, hivyo kuna kila dalili kuwa ni wamarekani ndio wamehusika.

Maana haiingii akilini hata kodogo marekani kuna aviation authority ambayo inateknolojia ya hali ya juu kwanini wasingetoa taarifa muda tu kuwa kuna ndege imechukua njia sio yake na inaelekea wapi
 
HAKUNA MU IZRAEL HATA MMOJA ALIYEKUFA KATIKA TUKIO LILE
.
Kabla ya tukio Wa izrael wote waliondoka siku moja kabla, means walijua kitakachotokea, Na mmarekani na mu izrael ndo kama unavyowajua
.
 

asfdgfghfgjhfhj
 
Last edited by a moderator:

Haya hii ilimaanisha kalenda hii ya kidunia au ile kalenda ya kiislamu? Naomba ufafanuzi hapo mkuu
Mana navyojua miezi ya quran ni ile ya mfungo tatu nk sio hii ya sept
 

Hizo aya hazina ushirikiano kabisa na tukio.
 
Sept. 11 inamkanganyiko mwingi sana, inawezekana kabisa ni mchezo ulichezwa na wamarekani wenyewe..ila ukijiuliza wafanye hivyo wenyewe ili iweje ndo majibu hupati

War on terrorism.....invasion to iraq
 

Ndugu yangu Silent lion,hebu ngoja nikusahihishe.Kwanza sura ya tisa SIO Surat Ahzab.Sura ya tisa ni Surat Tawba.Surat Ahzab ni sura ya 33 kwa mujibu wa mpangilio wa msahafu.Pili,Surat Ahzab ina aya 73 tu.Surat Tawba ina aya 129,na hiyo aya ya 110 haijazungumzia hicho unachokusudia,pengine hujaielewa.Anza aya ya 108 mpaka 112 utaelewa kilichokusudiwa hapo.
 
Huo ni mpango uliopangwa kwa ustadi wa hali ya juu na Serikali ya Marekani kupitia taasisi hatari kabisa duniani iitwayo ILLUMINATI au kwa jina lingine FREEMANSORY.Ni genge hatari linaloabudu SHETANI.
Hebu fungua hii; www.forbidden knowledge.com/you will never think the same way again/the revelation.
 
mh,ila uongo ni mwingi zaidi,hasa katika namba zako ambazo unataka tuamini,

ulioyaandika ni kweli kabisa, namba 11 kwa wenzetu illuminant means destruction . kea kifupi saana bila maelezo mengi saana wenzetu walikua wanaaga current order na kukaribisha new world order, sema hii huangaliwa kwa macho mengi hasa ule msemo usemao jiwe moja ndege wawili...hawa ni waisrael billionairs ambao ni akina rockefela ndio eachezaji makubwa wa tuko hili.serikali ya marekani pia iliangalia kua lina athari lakini kina faida, wameleta kisingizio cha ugaidi kupitia hapo,,, wameungiza sheria nyingi zikiwemo kama money loundry na bado kuna mengi ya nakuja mpaka miaka 21 ijayo kupitia tukio hlo
 

Nilojua unaongea kwa ushahidi kumbe unaropokwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…