Believe it or Believe it not: September 11, 2011 Twin tower were hit by Military Plane

Believe it or Believe it not: September 11, 2011 Twin tower were hit by Military Plane

Kaazi kweli kweli...lakini nchi nyingi ulizo zitaja hapo ni matokeo ya ile Arab spring ambayo wananchi wenyewe waliamua kulianzisha...na ilikua inatokea baada ya kuona nchi moja imefanikiwa kung'oa utawala madarakani...hii nayo imekaaje? Marekani kahusika?

ukiangalia kwa juu juu utadhani ni matokeo ya vurugu na hio arab spring lakini ukweli Ghadafi na libya kama sio wao wasingeondoka...ni nchi moja tu ambayo vurugu zilikua za wana nchi lakini nazo hazikuzaa matunda au malengo ya kuwa na democracia hayakupatikana kutoka na jeshi kla nchi hizo kuingilia.....
Tunisia jeshi ambalo lina vibaraka wa CIA limeshika hatamu
Misri pia
Syria ni vurugu kutoka kwa wahhuni wanaolipwa na CIA
NADHANI UNGEREJEA HISTORIA YA KUMWEKA SHAH WA IRAN ...ambaye aliondoshwa kwa mpainduzi ya wa iran na baadae akarejeshwa tena na marekani kwa kushirikiana na CIA. hawa jamaa wana watu wao ndani ya nchi zote...wakiambiwa fanya fujo wanafanya kwani wapo na mishahara minono....so hali ndo hiyo
 
Sifahamu, ila niliwahi ona article moja siku za nyuma sana inaongelea kwamba Muslim Brotherhood ndio watakao tumika katika nchi za kiislam kuimplement the so called New World Order... Unajua lolote juu ya hili mkuu unifahamishe?
muslim brotherhood ni tool tu inayotumika na west katika ku destablise middle east ili hizo nchi ziendelea kuwa weak ili itakapofika mda wa kutakeover iwe rahisi kwao.

Kumbuka Divide and rule technics.
Na si lazima member wote wajue huo ukweli,wanaojua wanakuwa ni wale mabosi wachache.
 
ukiangalia kwa juu juu utadhani ni matokeo ya vurugu na hio arab spring lakini ukweli Ghadafi na libya kama sio wao wasingeondoka...ni nchi moja tu ambayo vurugu zilikua za wana nchi lakini nazo hazikuzaa matunda au malengo ya kuwa na democracia hayakupatikana kutoka na jeshi kla nchi hizo kuingilia.....
Tunisia jeshi ambalo lina vibaraka wa CIA limeshika hatamu
Misri pia
Syria ni vurugu kutoka kwa wahhuni wanaolipwa na CIA
NADHANI UNGEREJEA HISTORIA YA KUMWEKA SHAH WA IRAN ...ambaye aliondoshwa kwa mpainduzi ya wa iran na baadae akarejeshwa tena na marekani kwa kushirikiana na CIA. hawa jamaa wana watu wao ndani ya nchi zote...wakiambiwa fanya fujo wanafanya kwani wapo na mishahara minono....so hali ndo hiyo
Marekani naona wanataka kweli kuitawala dunia kwa njia yoyote ile...na ndio wameshaweza hivyo japo bado China ni tishio kwao
 
Video zilizowekwa kwenye thread hii ni fake.
Angaliaeni jinsi gani mmedanganywa na video za 'kutengenezwa'...
Link hii hapa ya kuwafungua macho jinsi mlivyodanganywa na video za 'kutengenezwa'..

MZIMU umedanganywa..!!!

Flight 175 rare video) - YouTube
 
Last edited by a moderator:
/
Video zilizowekwa kwenye thread hii ni fake.
Angaliaeni jinsi gani mmedanganywa na video za 'kutengenezwa'...
Link hii hapa ya kuwafungua macho jinsi mlivyodanganywa na video za 'kutengenezwa'..

MZIMU umedanganywa..!!!

Flight 175 rare video) - YouTube

Mu-israel, you are right. Na hili jambo ndilo nilotusumbua. Kwenye hii video wanasema, 9/11 was a fake. Sasa kwanini wamedanganya dunia???

 
Last edited by a moderator:
Alashabaab wamekili kuhusika na west gate iweje useme wamarekani wanawashambulia waislamu Kenya?


DSC_0274_3450e.JPG


Hili tukio linanikumbusha OKLOHOMA BOMBING, With TIMOTHY MACVEIGH.
 
Hizo aya (naweka context) ni hizi hapa, mimi si mjuzi wa kufasir (kuchambuwa), nna ziweka kama zilivyo:

Qur'an 9:107 - 113


107. Na wapo walio jenga msikiti kwa ajili ya madhara na ukafiri na kuwafarikisha Waumini, na pa kuvizia kwa walio mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake hapo kabla. Na bila ya shaka wataapa kwamba: Hatukukusudia ila wema tu. Na Mwenyezi Mungu anashuhudia kuwa wao ni waongo.***
9_108.GIF
108. Usisimame kwenye msikiti huo kabisa. Msikiti ulio jengwa juu ya msingi wa uchamngu tangu siku ya mwanzo unastahiki zaidi wewe usimame ndani yake. Humo wamo watu wanao penda kujitakasa. Na Mwenyezi Mungu anawapenda wanao jitakasa.***
9_109.GIF
109. Je! Mwenye kuweka msingi wa jengo lake juu ya kumcha Mwenyezi Mungu na radhi zake ni bora au mwenye kuweka msingi wa jengo lake juu ya ukingo wa shimo linalo burugunyika, na likaburugunyika naye katika Moto wa Jahannamu? Na Mwenyezi Mungu hawaongoi watu madhaalimu.***
9_110.GIF
110. Na jengo lao hilo walilo lijenga litakuwa sababu ya kutia wasiwasi nyoyoni mwao mpaka nyoyo zao hizo zikatike vipande vipande. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua Mwenye hikima.***
9_111.GIF
111. Hakika Mwenyezi Mungu amenunua kwa Waumini nafsi zao na mali zao kwa kuwa wao watapata Pepo. Wanapigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu - wanauwa na wanauwawa. Hii ni ahadi aliyo jilazimisha kwa Haki katika Taurati na Injili na Qur'ani. Na nani atimizae ahadi kuliko Mwenyezi Mungu? Basi furahini kwa biashara yenu mliyo fanya naye. Na huko ndiko kufuzu kukubwa,***
9_112.GIF
112. (Kwa) wanao tubia, wanao abudu, wanao himidi, wanao kimbilia kheri, wanao rukuu, wanao sujudu, wanao amrisha mema na wanao kataza maovu, na wanao linda mipaka ya Mwenyezi Mungu. Na wabashirie Waumini.***
9_113.GIF
113. Haimpasii Nabii na wale walio amini kuwatakia msamaha washirikina, ijapo kuwa ni jamaa zao, baada ya kwisha bainika kuwa hao ni watu wa Motoni.***
JazzakAllah Kheir Dada yetu AL-Sheikha Fify Kwa Heshima na Taadhima na kwa kila la Ukarimu wenye neema za MwenyeEzzi Mungu Moula Al-Raheem ...Ukubalike kwa machache yako ambayo yana utukufu wa " Neema al-Moula wa Neema Al-nasir "... Hakika umetoa 3elmu nduchu tu " Nina amini ungelikuwa na Wasaa ungelituwacha midomo wazi na kuwa Paralyized na wengi wao hawayafahamu ( wakatheeran Laa ya3lamun ) Naomba Tawfiq kwa juhudi zako 24/7 zitufae na kutuongoza kwanye njia iliyonyoka ( SwiRatta al-Mustaqeem).AMIN
Ahsante.
 
JazzakAllah Kheir Dada yetu AL-Sheikha Fify Kwa Heshima na Taadhima na kwa kila la Ukarimu wenye neema za MwenyeEzzi Mungu Moula Al-Raheem ...Ukubalike kwa machache yako ambayo yana utukufu wa " Neema al-Moula wa Neema Al-nasir "... Hakika umetoa 3elmu nduchu tu " Nina amini ungelikuwa na Wasaa ungelituwacha midomo wazi na kuwa Paralyized na wengi wao hawayafahamu ( wakatheeran Laa ya3lamun ) Naomba Tawfiq kwa juhudi zako 24/7 zitufae na kutuongoza kwanye njia iliyonyoka ( SwiRatta al-Mustaqeem).AMIN
Ahsante.

Machozi yamenitiririka niliposoma hizo beti zako adhyim. Amin Ya Raab Amin. InshaAllah kwa sote tuwe katika njia iliyonyooka.
 
Machozi yamenitiririka niliposoma hizo beti zako adhyim. Amin Ya Raab Amin. InshaAllah kwa sote tuwe katika njia iliyonyooka.
Wajua Mpendwa kuwa tone moja la chozi likikutoka kwa Ajili ya kudefend Dini ya Allah ... Jazaa yake ni kufuzu yom alQiyama na kuteuliwa wewe kuchaguwa kupita mlango wowote huko Peponi! In-ShaAllah min-al-Faizina..AMIN
 
Wes penre amejaribu kuweka wazi ukweli wa tukio la 'september 11' na mengine kama hayo,ni bora tuiwe wavivu kupitia tovuti hii....'www.forbiddenknowledge.com'..ina mambo mengi na mazuri pia kuhusu 'new world ordel'
 
Huwa sipendi sana ushabiki usiokuwa na ushaidi wa kutosha, kwanza nawachukia sana wamarekani kwani wana mbinu nyingi za ajabu ajabu kama kusingizia uchumi wa dunia umeporomoka , ati tu kwa sababu za kutaka nchi zingine wafe kwa njaa na ghamara za vitu fulani fulani vipande bei. Wamarekani ni watu wabaya sana wanaweza kukuzulia jambo baya la ugaidi ili mradi tu wakudidimizekwa uchumi wako

..........ukijiingiza 'ushirika na Myahudi'.........basi tegemea kuendekeza vitendo vya dhulma na ukandamizaji !:shocked:
 
Back
Top Bottom