Ben Paul abadili dini kutoka ukristo na kuwa muislamu

Ben Paul abadili dini kutoka ukristo na kuwa muislamu

Ugaidi na uislamu ni mate na ulimi kwa sababu matendo ya kigaidi yameandikwa kwenye Quran na ni sunah kwa muumini wa kiislamu kutekeleza hayo matendo.

Mfano kuua watu wote wasiokubaliana na mungu wao allah asie na akili.

Huwezi kutenganisha uislamu na ugaidi.
Mbona ata Yehova aliwaambiaaa Waisrael kuwaua, watu wote wanaoabudu miungu mengine, au kunya anye kuku ila akinya Bata kaharishaa, Acha hizo
 
Ukafiri,huko kwenu ndio ukafiri umejaa,Mzee Yusuf yupo wapi?aliacha mziki akasema anakuwa mswahilina,sasa yapo wapi?
You fucking cocksucker!
Sio bure watu hufeli mitihani au Interview kwa vitu vidogo; Kabla ya kuanza matusi ungeuliza kafir maana yake ni nini?
Kafir ni neno la kiarabu lenye maana ya mtu anayefuata taratibu/au msimamo tofauti na wewe; sasa hapo nini cha ajabu???
 
Mbona ata Yehova aliwaambiaaa Waisrael kuwaua, watu wote wanaoabudu miungu mengine, au kunya anye kuku ila akinya Bata kaharishaa, Acha hizo
Ulishawahi kusoma quran yote?

Hizo hadithi zote kwenye biblia zimefanywa kua za kipumbavu zaidi kwenye quran maana mwandishi wa quran ali-copy na ku-edit story zote za kwenye biblia na akaongeza ujinga mwingi zaidi. Kwa kingereza tunasema stupid stories in the bible are made more foolish in the quran.
 
Katika maisha yangu kitu ninachojivunia ni kuna siku nilimsilimisha rafiki yangu nikampeleka Hadi msikitini.
Nikikumbuka uwa nafurahi Sana
Alikuwa anaitwa imanuel akabadili akawa Mohammed
Nasikia hapo thawabu zake unazopata hata ukiwa na dhambi kiasi gani lazima uione pepo
 
Ulishawahi kusoma quran yote?

Hizo hadithi zote kwenye biblia zimefanywa kua za kipumbavu zaidi kwenye quran maana mwandishi wa quran ali-copy na ku-edit story zote za kwenye biblia na akaongeza ujinga mwingi zaidi. Kwa kingereza tunasema stupid stories in the bible are made more foolish in the quran.
Acha kurukaruka kijana, umezungumzia kuua, nimekwambia ata Yehova amewapa sana maagizo wa Israel KUUA watu ambao wanaabudu miungu mingine, kwa hiyo Ni kawaida kwa hizi dini kupataaaa maelezo ya kuua kutoka kwa Mungu wao, over
 
Dini ni utamaduni wa jamii fulani tu......

Hivyo hakuna dini sahihi duniani sababu kila jamii ina tamaduni zao.......

Sisi waafrika ndo wajinga sababu tulipokea tamaduni za watu tukaacha tamaduni zetu.....ujinga....


Uislam ni tamaduni za waarabu.......
Ukristu ni tamaduni za wazungu.......
Africa pia tuna tamaduni zetu .....

Hivyo kuamini juu ya ukristu na uislam ni utumwa .....

Wake up AFRICA
 
kwa hiyo pen pol KITIMOTO tena basi daaa mi hata ikitokea nmebadil dini, KITIMOTO PLUS BALIMI YA BARID SIEZ ACHA ASEE
 
Back
Top Bottom