Ben Paul abadili dini kutoka ukristo na kuwa muislamu

Ben Paul abadili dini kutoka ukristo na kuwa muislamu

Waislamu hua wananiacha hoi, yaani dini yao ni kama bidhaa, kutumia watu maarufu na wasanii kuitangaza.

Waislamu hutumia nguvu kubwa sana na pesa nyingi kumshawishi mtu maarufu asilimu ili iwape mileage ya kidini, utafikiri wanatangaza bidhaa.

Hua najiuliza kwani kwenye dini yao moyo wa msanii una thamani kubwa sana kwa allah wao kuliko mtu asie maarufu ama msanii, mbona wanatumia nguvu nyingi sana kushawishi watu maarufu kuslimu?

By the way Mungu au kitu kinaitwa Mungu hakipo.
Hayo yanakutoka baada Ben kuingia uislam au? Islam hapotezi pesa yake kumbadilisha mtu dini kinachofanyika ni mtu anaelezwa ukweli dini inasema hivi na yeye akikubaliana na maelezo anabadili basi.
 
Taja jina lake na msikiti anauongoza. Mjadala uanzie hapa kwanza
Mwingine ni Imam Shoga aitwaye Nur Warsame wa Canada, naye ana waumin wengi tu.

Google umfahamu zaidi nikuletee maimam wengine
 
Vipi hamida ushajipatia bwana wa kukupakata?

Mana papa keshawaruhusu mkitaka kupasuliwa mipalange yenu ruhusa.
Hahaha, tawadha kisha upunguze jazba

Muhammad (S.A.W) alianza kufanya ukafiri wa kumbaka mtoto aysha (9) kisha akamuoa.

Unataka kujua ukafiri wake mwingine?
 
Kuingia uislamu sio kosa, kosa na ushamba ni matangazo mnayowapa wanaokua waislamu, kwani sisi tuna haja gani kujua kama kawa muislamu, lakini waislamu hua mnawatumia watu kama hao kutafta au kuhalalisha dini yenu ionekane ni ya maana kisa flani kasilimu. Kwamba msipotangaza haitaonekana kama ni dini ya maana?

Huwezi kutofautisha uislamu na bidhaa kama condom ama maziwa ya Tanga fresh.
Una uhakika gani kama kashawishiwa kurusha hizo picha?
 
Sio bure watu hufeli mitihani au Interview kwa vitu vidogo; Kabla ya kuanza matusi ungeuliza kafir maana yake ni nini?
Kafir ni neno la kiarabu lenye maana ya mtu anayefuata taratibu/au msimamo tofauti na wewe; sasa hapo nini cha ajabu???
Tatizo wengi hawajui maana yake ndio maana ukimwita hivyo anakasirika, haina kasoro na mchagga anavyomwita ambaye si mchaga 'chasaka' (samahani kama nimekosea kuandika) haina maana kamtukana ila ni kweli si mchaga sasa amwitaje? Je mbona hatulazimishi kuitwa wachaga?
 
Sasa Kama alikufa kwa ajili ya dhambi zenu kwanini mnakwenda kanisani?
siyo "dhambi zenu" bali "dhambi zangu mimi na wewe".


Yehova anastahili pia utii wetu. Ametuamuru tusiache kukusanyika pamoja, hasa katika nyakati hizi za mwisho. Yehova anafurahi tunapotii kwa hiari amri hiyo. (1 Yoh. 3:22) Anatambua na anathamini jitihada tunazofanya ili tuhudhurie kila mkutano.—Ebr. 6:10.

"msiache kukusanyika kama ilivyo desturi
 
Back
Top Bottom