KAJITEKA AU SIO NAONA MANENO YAKO YALIVYOKUA YAKIPIMBAVU SASA BEN KAJITEKA JIBU UNALOHuyu ben saa nane muongo kama viongozi wake wanataka kuanza kama enzi za akina zitto akiwa chadema yeye mwenyewe ben walikuwa wanajiteka halafu wanasema wametekwa.
Uongo wake uko wapi??? Mpuuzo wewe..Huyu ben saa nane muongo kama viongozi wake wanataka kuanza kama enzi za akina zitto akiwa chadema yeye mwenyewe ben walikuwa wanajiteka halafu wanasema wametekwa.
Wewe jamaa unatakiwa kuchunguzwa..!Ben acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
Umesema?!Huyu ben saa nane muongo kama viongozi wake wanataka kuanza kama enzi za akina zitto akiwa chadema yeye mwenyewe ben walikuwa wanajiteka halafu wanasema wametekwa.
Ni chizi tu ndio atakataa jiwe sio dikteta,.. tena muuaji kabisaUtawala huu siutofautishi na ukoloni wa kikaburu
Nani ana muda nayo, ikiwa cctv tukio la Lissu walifichaHivi hii no aliyoiweka Ben saa8 ya 0768797982 huyu MTU hajapatikana hadi Leo?
Ooooh Lord! kwa nini watu ni makatili hivi? why?
Baadae ikawaje
hakuna zaidi ya pombe.. Je nini kifanyike?.. polisi kimya, waziri kimya, jiwe kimya , na sisi watekwa nao kimya kweli tutafika?