API Gravity
JF-Expert Member
- Mar 15, 2016
- 658
- 765
Hahahah. Mu.s.u ile ya kumzawadia Zitohi vi Ben ndio yulealiyekuwa anatembea na sumu million?
Tuache ujinga wa kujiombea mabaya.Kitu kimoja tu cha hakika ni kuwa Damu ikimwagika hasa damu ya kimapinduzi hutoa mvuke utakaonyesha na kutiririsha mafuriko katikati ya mito na vijito vya haki. Kama itanyesha mvua ya Radi basi itaambatana na mwanga na cheche zitakazowamulika walaghai,watesaji,wakandamizaji wa haki.Watetezi wa haki watapata mwanga katikati ya giza tororo la Unyanyasaji,unafiki na ubakaji wa taaluma na dhamiri zao kitaaluma na kiimani
Unajisikiaje ukisoma hii post leoBen Sanane aboreshe mbinu za kujitangaza, hii style ya kujidaia anatafutwa ni ya zamani sana na ya kipuuzi.
Huzuni sanadaah wamekuua kweli
Alikuwa mwanachademaAlikuwa ni mwandishi wa gazeti gani?
Watuoneshe hata kaburi lake[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]Huzuni sana
Hawawezi mkuu huyu mtu serikali ina mkono wake.Watuoneshe hata kaburi lake[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]