Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ambacho nimewahi kujifunza ktk umri wangu ni kwamba, UKATILI huwa watu wanafundishwa. Hakuna ambaye anazaliwa nao. Watu hujifunza kupitia kuona, kushiriki, au kufanyiwa mabaya kwa wapendwa wao au wao wenyewe ndipo watu huanza kuwa wakatili au waasi.

Matukio kama haya yanaweza kuleta mambo mabaya sana na kuvuruga amani ya Nchi husika.

Mungu tusaidie
 
sikuwa namfuatilia huyu jamaa Ben Saanane lakini nilishangaa kila nikipita kununua gazeti naona kupotea kwa Ben saanane.Nimeamini kuna watu wakiamua kukuwinda huwezi vuka hata umbali wa kiwanja,,ukifuatilia uzi huu na wachangiaji unaweza pata picha kuwa kuna waliokuwa wanaelewa ambacho kingempata Ben Saanane na walianza kumuonya mapema,,achilia mbali waliokuwa wanamwona mpuuzi;Kama kuna sehemu watu wenye ajenda kama za Ben wanafichwa,basi huyu Mtanzania atakuwa hai lakini kwenye mateso yasiyoelezeka,lakini kama alishazimisha jumla apumzike kwa amani,hata watesi wake watamkuta huko ahera.

Watesi watapukutika mmoja baada ya mwingine kuanzia distance relatives mpaka wao wenyewe, kizazi na kizazi, generation kama tano zijazo!Mungu hana haraka, hutenda kwa wakati wake! amini usiamini, pepo ni hapahapa duniani! Hata ukihamia Antarctic yatakufika tuuuu!ukipata pesa utakuwa huna amani, huli kwa amani, huna raha, kizazi na kizazi! Wakati mwingine ukiona binadamu anakufa kwa kisukari, cancer, figo, kifua kikuu, sleep apnea, Arthritis siyo kuwa ni magonywa ILA NI LAANA(GENERAL CURSE/FAMILY CURSE), fahamu kuwa madaktari hutibu kila aina ya ugonjwa na kama siyo kutokana na LAANA mgonjwa hupona kwani madaktari hutibu, mponyaji ni Mungu(laana Mungu huondoa mkono wake)!!
 
Back
Top Bottom