Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,082
Kiutu uzima ilikuwa aje hapa ubaoni angalau alisemee hiliNmepitia huu uzi mwazo mpaka mwisho. Baada ya comment ya GENTAMYCINE nilitegemea kuja kuona comment yake ya pili aidha akileta ushahidi wa kumuumbua @bensaanane au akiomba samahani na kurekebisha kauli yake. Mpaka sasa yupo kimya.