Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM na makaburu hawana tofauti yoyote.Wewe jamaa ni mpumbavu kuliko wapumbavu wote chini ya jua. Yaani makaburu walioua watoto 700 wasio na hatia mwaka 1976 ndo walikuwa na ubinadamu kuliko CCM? Kwa vyovyote kama wewe ni mwanaume utakuwa ni wale walioaga uanaume na kuamua kuolewa na wanaume wenzao kwa kifupi shoga. Hadi siku ya mtoto wa Afrika tunaadhimisha kuwakumbuka watoto waliouawa halafu wewe na ushoga wako unasema makaburu walikuwa na ubinadamu.
Alifanyaje??Ben Saanane na methali ya "Asiyesikia la mkuu,....!
[emoji24][emoji24]
Kaa kimyaCCM na makaburu hawana tofauti yoyote.
Hivi una ubongo kweli ww? Au ni kimba lipo kichwani 🤣🤣Wazazi wa Ben Saanane tafuteni kila upenyo ili kumuona Rais Samia na kumuomba suala la mwanenu lifanyiwe uchunguzi na vyombo vya dola ili wahusika walio hai waadhibiwe.
Bila nguvu za wazazi serikali itaendelea kukaa kimya.
ALLAH ni mjuzi wa kila na hao wazazi wamshitakie yeye.Wazazi wa Ben Saanane tafuteni kila upenyo ili kumuona Rais Samia na kumuomba suala la mwanenu lifanyiwe uchunguzi na vyombo vya dola ili wahusika walio hai waadhibiwe.
Bila nguvu za wazazi serikali itaendelea kukaa kimya.
Habari ganiHabar mpya inakaribia kuhusu huu uzi.