Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Wewe jamaa ni mpumbavu kuliko wapumbavu wote chini ya jua. Yaani makaburu walioua watoto 700 wasio na hatia mwaka 1976 ndo walikuwa na ubinadamu kuliko CCM? Kwa vyovyote kama wewe ni mwanaume utakuwa ni wale walioaga uanaume na kuamua kuolewa na wanaume wenzao kwa kifupi shoga. Hadi siku ya mtoto wa Afrika tunaadhimisha kuwakumbuka watoto waliouawa halafu wewe na ushoga wako unasema makaburu walikuwa na ubinadamu.
CCM na makaburu hawana tofauti yoyote.
 
Naamini aliekutanguliza naye kaja Ben, alidhani ataishi milele kwa nguvu alizokuwa nazo. Kumbe Mungu ni wetu sote na sisi ni viumbe wake. Sasa atapata hukumu yake kwa haki...
 
Wazazi wa Ben Saanane tafuteni kila upenyo ili kumuona Rais Samia na kumuomba suala la mwanenu lifanyiwe uchunguzi na vyombo vya dola ili wahusika walio hai waadhibiwe.

Bila nguvu za wazazi serikali itaendelea kukaa kimya.
 
Wazazi wa Ben Saanane tafuteni kila upenyo ili kumuona Rais Samia na kumuomba suala la mwanenu lifanyiwe uchunguzi na vyombo vya dola ili wahusika walio hai waadhibiwe.

Bila nguvu za wazazi serikali itaendelea kukaa kimya.
Hivi una ubongo kweli ww? Au ni kimba lipo kichwani 🤣🤣
 
Wazazi wa Ben Saanane tafuteni kila upenyo ili kumuona Rais Samia na kumuomba suala la mwanenu lifanyiwe uchunguzi na vyombo vya dola ili wahusika walio hai waadhibiwe.

Bila nguvu za wazazi serikali itaendelea kukaa kimya.
ALLAH ni mjuzi wa kila na hao wazazi wamshitakie yeye.
Hatujui Mwenyezimungu amepanga nini na lini kwa waliotenda mauaji ikifika muda yoote yatakuwa dhahir.
SUBRA NI IBADA NGUMU SAANA
 
Kuna watu hata wafanyeje huu uzi tutaurudia miaka na miaka hawawezi kujisafisha kwa namna yoyote.

Wachache waliomuondoa nao waliondolewa na wengine watafuata.
 
Kuna watu hata wafanyeje huu uzi tutaurudia miaka na miaka hawawezi kujisafisha kwa namna yoyote.

Wachache waliomuondoa nao waliondolewa na wengine watafuata.
 
Saivi ungekuwa hai kujifanya una jua kume kuponza .hii nchi usi take kujifanya komandoo kama huna back up
 
Hivi huyu jamaa ndio imeshindikana hata kupatikana mwili wake.

Guys tuwe makini hakuna democracy duniani.

Mtu Kama Putin yule …….. dah
 
Back
Top Bottom