Benefiti za alie na masters katika jeshi la kujenga taifa
Joined
May 22, 2021
Posts
45
Reaction score
50
Za sahizi ndugu zanguni... Nina rafiki yangu kamaliza masters ya sheria (LLM) na kaisha pita law school in short ni advocate kwa sasa ana miaka 29 Anahitaji kujiunga na jeshi la polisi either magereza,ffu,Traffic,Police etc
Anahitaji kujua kua akifanikiwa kupita mafunzo na kila kitu na akapangiwa atakua either Police,Traffic, Askar magereza etc Swala la kupanda vyeo lipoje au ataanza na cheo gani
Maana kama nae ata kua anaenda lindo or ataanza na kitengo hvyo yani
Kiufupi anataka ajue atapata benefit gan kama akifanikiwa kwa sasa ni Advocate na ana masters ya sheria. Natanguliza shukran?
 
Aje kwanza tumlambishe vumbi ,hizo habari za elimu yake atatusimulia tukishamvisha gwanda .
Ni huyu huyu mleta uzi usidhani kuwa kuna mwingine.
Mpigishe jaramba mapema maana anavyoonekana akishakaa ofisini atawaendesha vilivyo. Kiufupi hataki kukaa lindo anataka akivishwa gwanda tu apigiwe saluti.
 
Aje kwanza tumlambishe vumbi ,hizo habari za elimu yake atatusimulia tukishamvisha gwanda .
Hafai kuwa mwanajeshi huyu yaan anaanza kufikiria issue ya vyeo kabla hajapita hata kwenye msoto tena kwa taarifa yake kama ataingia huko JKT asije kujitambulisha mapema kama yeye ni advocate maana hakuna rangi ataacha kuiona
 
Wabongo kutishana sasa, mtu hatoi jibu kazi kutoa vitisho na kupotea.

Mwambie mshkaji wako ajiunge, atapata marafiki huko huko atawauliza. Logically inamaanisha muda anajiunga kuna watu kawakuta ambao wana elimu kama yake wanasubiri pia.

Mimi sijui kitu kuhusu ajira, ningekujibu
 
Back
Top Bottom