Benefiti za alie na masters katika jeshi la kujenga taifa
Za sahizi ndugu zanguni... Nina rafiki yangu kamaliza masters ya sheria (LLM) na kaisha pita law school in short ni advocate kwa sasa ana miaka 29 Anahitaji kujiunga na jeshi la polisi either magereza,ffu,Traffic,Police etc
Anahitaji kujua kua akifanikiwa kupita mafunzo na kila kitu na akapangiwa atakua either Police,Traffic, Askar magereza etc Swala la kupanda vyeo lipoje au ataanza na cheo gani
Maana kama nae ata kua anaenda lindo or ataanza na kitengo hvyo yani
Kiufupi anataka ajue atapata benefit gan kama akifanikiwa kwa sasa ni Advocate na ana masters ya sheria. Natanguliza shukran?
Huyo atakuwa Askari mtumishi.

Hatopitia kila kitu kama Askari kamili.
 
Hiyo ni instant tu anavyokula ajila..mtu mweny hizo V 3 ana privilege gan?
Inategemea kama ni jeshin au polisi, but kuna kada ukiwa na degree kule direct unakula nyota baada ya msoto kidgo, afya, tech,na kozi fulani nimeisahau anasoma dogo langu la kike alitoka kwa mujibu akashauriwa kusoma iyo dogo yupo vizuri sana now mwaka wa pili
 
Rafiki yako ameanza kuandaa Nepi na Pampas wakati hata mtoto hajazaliwa 🙌

Anyways,

Masters Kazini itamsaidia kupanda vyeo hapo baadaye.

Ila kwasasa ataanza na nyota 1 akifanikiwa kuajiriwa huko


Wishing him all the best
 
Inategemea kama ni jeshin au polisi, but kuna kada ukiwa na degree kule direct unakula nyota baada ya msoto kidgo, afya, tech,na kozi fulani nimeisahau anasoma dogo langu la kike alitoka kwa mujibu akashauriwa kusoma iyo dogo yupo vizuri sana now mwaka wa pili
Ndugu ningeshukuru kama ungeuliza kusudi niwes kujua ni Ipi
 
Za sahizi ndugu zanguni... Nina rafiki yangu kamaliza masters ya sheria (LLM) na kaisha pita law school in short ni advocate kwa sasa ana miaka 29 Anahitaji kujiunga na jeshi la polisi either magereza,ffu,Traffic,Police etc
Anahitaji kujua kua akifanikiwa kupita mafunzo na kila kitu na akapangiwa atakua either Police,Traffic, Askar magereza etc Swala la kupanda vyeo lipoje au ataanza na cheo gani
Maana kama nae ata kua anaenda lindo or ataanza na kitengo hvyo yani
Kiufupi anataka ajue atapata benefit gan kama akifanikiwa kwa sasa ni Advocate na ana masters ya sheria. Natanguliza shukran?
Anaulizia cheo akiwa bado hajapata? Mwambie a slow down. Anapoingia jeshini akubali kuanza chini, aisanze kuzionyesha hizo masters, akisha pata permnent ajira ndio anaweza zitoa, kwa sasa ni mapema mno
 
Lindo muhimu, Kuna dogo ni MD anakula lindo kama kawaida, ila matumaini ya kupanda vyeo chap ni makubwa na mapema tu ataondokana na doria zisizo na mantik.
 
Back
Top Bottom