Get rich or die try
Member
- May 22, 2021
- 45
- 50
- Thread starter
- #21
Amna hawez fanya hvyo wale hawez kua anazungumza Kwakua kazin watu wanaishi kwa strategy....Anauliza tu kusudi awez jua Michakato inaendajunamwambia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amna hawez fanya hvyo wale hawez kua anazungumza Kwakua kazin watu wanaishi kwa strategy....Anauliza tu kusudi awez jua Michakato inaendajunamwambia
Amna ndugu anafany research kwanza kabla ya kuchukua maamuzi..Si unajua mda haurudi nyuma anaewe akaenda then aka waste time yakeanajiunga
Huyo atakuwa Askari mtumishi.Za sahizi ndugu zanguni... Nina rafiki yangu kamaliza masters ya sheria (LLM) na kaisha pita law school in short ni advocate kwa sasa ana miaka 29 Anahitaji kujiunga na jeshi la polisi either magereza,ffu,Traffic,Police etc
Anahitaji kujua kua akifanikiwa kupita mafunzo na kila kitu na akapangiwa atakua either Police,Traffic, Askar magereza etc Swala la kupanda vyeo lipoje au ataanza na cheo gani
Maana kama nae ata kua anaenda lindo or ataanza na kitengo hvyo yani
Kiufupi anataka ajue atapata benefit gan kama akifanikiwa kwa sasa ni Advocate na ana masters ya sheria. Natanguliza shukran?
Inategemea kama ni jeshin au polisi, but kuna kada ukiwa na degree kule direct unakula nyota baada ya msoto kidgo, afya, tech,na kozi fulani nimeisahau anasoma dogo langu la kike alitoka kwa mujibu akashauriwa kusoma iyo dogo yupo vizuri sana now mwaka wa piliHiyo ni instant tu anavyokula ajila..mtu mweny hizo V 3 ana privilege gan?
Atasota kwanza bila cheo, V3 lazima aende kozi tena.Ataanza na v 3 kwanza then nyota moko
Ndugu ningeshukuru kama ungeuliza kusudi niwes kujua ni IpiInategemea kama ni jeshin au polisi, but kuna kada ukiwa na degree kule direct unakula nyota baada ya msoto kidgo, afya, tech,na kozi fulani nimeisahau anasoma dogo langu la kike alitoka kwa mujibu akashauriwa kusoma iyo dogo yupo vizuri sana now mwaka wa pili
😂 Ilivyokubwa vileTutakubakiza
Shukran sanaRafiki yako ameanza kuandaa Nepi na Pampas wakati hata mtoto hajazaliwa 🙌
Anyways,
Masters Kazini itamsaidia kupanda vyeo hapo baadaye.
Ila kwasasa ataanza na nyota 1 akifanikiwa kuajiriwa huko
Wishing him all the best
Atasota kwanza bila cheo, V3 lazima aende kozi ten
DuuuAtasota kwanza bila cheo, V3 lazima aende kozi tena.
Ndugu mm siwez kuingia pia nashundwa yan..kama unawezekana naomba tuongee PM unipe muongozo kidogoTutakubakiza CCP uwe unafundisha PGO🤣
Anaulizia cheo akiwa bado hajapata? Mwambie a slow down. Anapoingia jeshini akubali kuanza chini, aisanze kuzionyesha hizo masters, akisha pata permnent ajira ndio anaweza zitoa, kwa sasa ni mapema mnoZa sahizi ndugu zanguni... Nina rafiki yangu kamaliza masters ya sheria (LLM) na kaisha pita law school in short ni advocate kwa sasa ana miaka 29 Anahitaji kujiunga na jeshi la polisi either magereza,ffu,Traffic,Police etc
Anahitaji kujua kua akifanikiwa kupita mafunzo na kila kitu na akapangiwa atakua either Police,Traffic, Askar magereza etc Swala la kupanda vyeo lipoje au ataanza na cheo gani
Maana kama nae ata kua anaenda lindo or ataanza na kitengo hvyo yani
Kiufupi anataka ajue atapata benefit gan kama akifanikiwa kwa sasa ni Advocate na ana masters ya sheria. Natanguliza shukran?
Duuu..so haina issueHizo masters polisi zipo nyingi sana.
Walioko Kwa rpc nusu wanamastaz. Hata rushwa hawalambi. Bora F4 wanaingia LINDO na kamatakamata wanajikipa huko huko