Get rich or die try
Member
- May 22, 2021
- 45
- 50
Ni huyu huyu mleta uzi usidhani kuwa kuna mwingine.Aje kwanza tumlambishe vumbi ,hizo habari za elimu yake atatusimulia tukishamvisha gwanda .
Hafai kuwa mwanajeshi huyu yaan anaanza kufikiria issue ya vyeo kabla hajapita hata kwenye msoto tena kwa taarifa yake kama ataingia huko JKT asije kujitambulisha mapema kama yeye ni advocate maana hakuna rangi ataacha kuionaAje kwanza tumlambishe vumbi ,hizo habari za elimu yake atatusimulia tukishamvisha gwanda .
Hahaha ndugu yangu umenifurahishaHafai kuwa mwanajeshi huyu yaan anaanza kufikiria issue ya vyeo kabla hajapita hata kwenye msoto tena kwa taarifa yake kama ataingia huko JKT asije kujitambulisha mapema kama yeye ni advocate maana hakuna rangi ataacha kuiona
Hana anataka afany usaili kama watu wa kawaidaAna connection?
Hapana anahangaika si unajua atleast kule atakua kajihakikishia AjiliNi huyu huyu mleta uzi usidhani kuwa kuna mwingine.
Mpigishe jaramba mapema maana anavyoonekana akishakaa ofisini atawaendesha vilivyo. Kiufupi hataki kukaa lindo anataka akivishwa gwanda tu apigiwe saluti.
Kweli nduguAtaanza na v 3 kwanza then nyota moko
Hiyo ni instant tu anavyokula ajila..mtu mweny hizo V 3 ana privilege gan?Ataanza na v 3 kwanza then nyota moko
Wewe wape vyeti Kisha upige zako kimya kama sio wewe ndio mwenye vyeti ila ukijidai Kila unayekutana naye unamwambia "Mimi advocate" "Mimi advocate " my friend!!Hahaha ndugu yangu umenifurahisha
Kwaiy sasa wakat wa Usaili si watajua