huyo atakua na nyota ya ulinzi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Yaan mtu ni Practising Advocate alafu anataka kushikashika bunduki what for?? au hajui kupractice au ndo walioenda Law School wakapita kwa maelekezo??
Then hiyo Masters kasoma ya nini kama hawez kua Assistant Lecturer maana vyuo vingi sana vinataka LLM holders both Public na Private au alipata ufaulu mdogo(below 3.5 undergraduate level) au napo alipita kwa Maelekezo ๐Ÿ˜‚ au Masters yuko below 4.0GPA kama ni hvyo atakua kapoteza Ada tu ya masters angelimia nyanya.
Anyway huyu jamaa angepractise law tu aachane na taasisi za ulinzi hzo kwa ma form 2 huko .......AU ANAOGOPA KUPRACTICE๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Ndugu ushaona lecturer mwenye pesa....Ukiwa katika Majeshi ya ulinzi unawez endesha Vitu vyako smooth na kuheshimika huliko ata huyo Lecturer...Unakua na access ya vitu vingi
 
Ndugu ushaona lecturer mwenye pesa....Ukiwa katika Majeshi ya ulinzi unawez endesha Vitu vyako smooth na kuheshimika huliko ata huyo Lecturer...Unakua na access ya vitu vingi
Ushaona lecturer na police yupi anaheshimika .....Police anawez kua anajipatia pesa daily lakin sio lecturer We are after money na sio Fame au watu wakuone nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ