mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Mzee wetu Mkapa kwani hii Tume ya Uchaguzi unayotamani iwe huru siingewezekana wakati wa Utawala wako?Kama nakosea Mungu anisamehe. Nachoamini huyu Mkapa ndio alimpora Maalim Seif urais wa Zanzibar.
Pili huyu ndio mwasisi wa ubavu ubavu na ubabe inakuwaje leo katoka madarakani na anaonekana kachoka ndio anatubu.
Kwanini asiwambie aliowaweka madarakani watende haki? Kwanini alazimishe kupendwa?
Kuna kitu kitaandikwa kwenye hicho kitabu kitakuwa kigeni masikioni mwa Wanatanzani labla iwe mambo ya Familia yake ila sio siasa ya Tanzania.
Umenikumbusha mchekeshaji wa Kenya mzee Ojwang' alitimua watu wote ndani akajikuta ,amebaki mwenyewe mwisho akasema na Mimi mwenyewe out nae akatoka nyumba ikanaki empty
Mkapa anadhihirisha kwamba maisha ya kiafrika hata ukiwa kiongozi mkubwa wa nchi yamejaa unafki mtupu. Kwani kipindi ana force king ile mwaka 2000 hakuyajua hayo ya ulingo sawa wa kisiasa kati ya maccm na wapinzani au umri wa kuwa na busara haukuwa umefika.Kama nakosea Mungu anisamehe. Nachoamini huyu Mkapa ndio alimpora Maalim Seif urais wa Zanzibar.
Pili huyu ndio mwasisi wa ubavu ubavu na ubabe inakuwaje leo katoka madarakani na anaonekana kachoka ndio anatubu.
Kwanini asiwambie aliowaweka madarakani watende haki? Kwanini alazimishe kupendwa?
Huku ni kukumbuka shuka mawio wakati jua limeshachomoza!Kama nakosea Mungu anisamehe. Nachoamini huyu Mkapa ndio alimpora Maalim Seif urais wa Zanzibar.
Pili huyu ndio mwasisi wa ubavu ubavu na ubabe inakuwaje leo katoka madarakani na anaonekana kachoka ndio anatubu.
Kwanini asiwambie aliowaweka madarakani watende haki? Kwanini alazimishe kupendwa?
Behind bars haitoshi. He was post to be $odiwized everyday that goes byHe should be behind bars.
Ila yupo mtaani anatuuzia vitabu.
NEC ni wakala wa maccmKwani chama gani kinahesabu kura kwa sasa na chama gani kinatangaza mshindi?
NEC ni nini?
Zile damu za Wapemba zinaanza kumlilia
Mahita alimpiga mabomu Mrema pale Moshi wakati wa kampeni. Wakati huo akiwa RPC Kilimanjaro. Mkapa alipoupata Urais, akamzawadia Mahita u-IGP kwa kumpiga mabomu pale Moshi! Nyerere hakupenda kitendo cha Mrema kupigwa mabomu na wafuasi wake eti kwa vile walikuwa wanasukuma gari lake. Sasa hivi Mkapa anajifanya mlokole eti!
Huwezi kula ng'ombe mzima kwa mara moja
Ni utaratibu wa kawaida kula kipande kimoja baada ya changine, hatimae ng'ombe mzima kuisha.
Tutajadili kitu kimoja baada ya chengine hatimaye kitabu chote kitaisha.
Issue ni quoting ya mstari then ukatoa maana yako. Sura nzima au ni katika muktadha upi ameongelea hilo?. Hiyo ndio italeta maana iliyokusudiwa.
Shetani hawezi kusema ukweli kamwe kama unaona ni ukweli basi ujue ni mtegoHapana shetani kamwe hawezi kugeuka kuwa malaika bali ana uwezo wa kujifanya kama malaika ili kuhadaa watu. La muhimu hapa ni kwamba tusimpuuze shetani anaposema kweli, tuangalie tu ukweli wake na tumwache na ushetani wake.
Jinsi umri unavyoongezeka " he is changing for better".Naunga mkono hoja. Now Mkapa the wise one.
P
Hata mimi najua kuwa shetani ni mwongo na baba wa uwongo. Nisome vizuri utaelewa ninamaanisha nini.Shetani hawezi kusema ukweli kamwe kama unaona ni ukweli basi ujue ni mtego
Kama nakosea Mungu anisamehe. Nachoamini huyu Mkapa ndio alimpora Maalim Seif urais wa Zanzibar.
Pili huyu ndio mwasisi wa ubavu ubavu na ubabe inakuwaje leo katoka madarakani na anaonekana kachoka ndio anatubu.
Kwanini asiwambie aliowaweka madarakani watende haki? Kwanini alazimishe kupendwa?