The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,275
Dah pole mkuu,inaonekana unatafakari deep Sana yaani unawaza kifo Hadi unakosa usingizi?kwanini?hicho kipo tu huna hata haja ya kuwaza hivyo saa ikifika hamna namna...Kilichoniamsha saa sita kuwasha TV Ni baada ya kuwaza Mambo ya kifo na Mwili Uliokufa (Maiti).. nikakosa usingizi nikasema ngoja niwashe TV nicheki Muvi.. ikaibukia kwenye TBC na Sura ya Mkuu akitoka taarifa.
Salamu Maria Umejaa Neema , Bwana yu Nawe. Umebarikiwa Kuliko wanawake wotena Yesu Mzao wa Tumbo lako Amebarikiwa. Maria Mtakatifu Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu Sasa na saa ya kufa Kwetu. Amina.
ATUKUZWE BABA na Mwana na Roho Mtakatifu Kama mwanzo na Sasa na siku zote na Milele. Amina.
Kweli....R.I.P.Aiseee msiba mkubwa daah. Rest In Peace
Hakuna aijuae siku wala saa
Kwani litakuwa Jambo baya?tatizo lilikuwa nini maana wazushi hawatasita kutuambia kafa kwa tatizo letu pendwa la changamoto ya upumuji
Ila sijui kwa nini kifo cha rais Nkrunzinza hakikutupatia funzo kuwa mzee corona hataki masihara hata kidogo.Kama tusipokuwa makini kuna uwezekano wa corona kumuangusha hata huyu alietutangazia kifo cha mkapa