Hasa kiakili. Aliwazidi sana hata wenye miaka 61 kwa mbali mno.Naam Mkuu pamoja na umri wake alionekana yuko vizuri kabisa.
80+ years. Haistui apumzike mzee wa watu. Mzee wa watu hakujiongezeaga miaka ya kikatiba amekufa kwa heshima.
Hhshsa mzee wa deal ushaona fursa boss😋😋😋! Mie nipeni tenda niwaletee samaki..sio wote wstakula nyama😀😀!hii ni sherehe atiWee Lofa naomba deal ya kuprint fulana za msiba na kofia. Upande wa usafiri atashughulikia Sky Eclat
Kipindi chake kimefika tamati, chako na changu ki mbele wakati wowote kuanzia sekunde ijayo.
Tulia basi utaelezwa chanzo cha kifo chake lkn usitake kulazimisha ugonjwa ambao ww unao kichwani mwako...Chanzo cha kifo chake kiwekwe wazi tusipende kuficha ficha ukweli. Yule Boris Johnson aliugua corona dunia yote iljua. Mkapa ni ex president na anajulikana sana duniani na hilo swali litaulizwa na wengi tu duniani Watanzania na wasio na Watanzania Mkuu.
Kha!Hhshsa mzee wa deal ushaona fursa boss😋😋😋! Mie nipeni tenda niwaletee samaki..sio wote wstakula nyama😀😀!hii ni sherehe ati
Mimi naandaa accommodation, nitalala Muller's au Farm Cottage ndio jirani na kwa msiba wa Mzee, just a walking distance. Nikufanyie booking utaenda??Au nakosea sheikh wangu😀! Si natatua changamoto sheikh
Mimi naandaa accommodation, nitalala Muller's au Farm Cottage ndio jirani na kwa msiba wa Mzee, just a walking distance. Nikufanyie booking utaenda??
Ndo nawaomba wanakamati Kama wamo humu wanipe tenda nilete Sato mieGeuza changamoto kubwa fursa
Msiba ulonikamata hisia ni wa mahiga na mama rwakatare..dah[emoji24][emoji24][emoji24]