Benki gani yenye makato ya mwezi kidogo kuliko benki nyingine au isiyo na makato kabisa?

Benki gani yenye makato ya mwezi kidogo kuliko benki nyingine au isiyo na makato kabisa?

Zama Equity bank chap acha kupotea na mayowe ya humu
Nmetumia equity bank wako vizuri. Tatizo wamepandisha sana viwango vya kutoa pesa kwa wakala.
Pia kwa waajiriwa wanakata salary processing fee Tsh. 2,000/=.
Walianza na pesa kidogo Siku hizi wameongeza viwango.
Faida ya equity bank kama wewe ni muajiriwa unaweza kukopa kiwango kinachokaribia pesa unayopokea (take home). Ribs ya mkopo ni 10% inareheshwa ndani ya mwezi mmoja.
Nmetumia sana eazzy app kununua airtime, kulipia DSTV na kununua LUKU bila makato yoyote.
Nmeamua kuachana na equity kwa sababu flani binafsi.
 
Ilikuwa 2018. Siyo sasa. Wana makato makubwa tu. Niliwahi kukatwa $300 kwa kutoka cash kwenye $ account!
Standard Chartered Bank! Nina Account uko, Jamaa hawana njaa kabisa sina ninchokatwa zaidi ya malipo ya kutoa hela kwenye ATM tu, Cheque Book bure na hata ukipoteza kadi unatengenezewa bure bila charge zozote.
Hawa jamaa nawakubali sana
 
Huu uzi wenyewe ni window shopping...
Ushauri wangu kwa anaetaka kufungua, afanye window shopping kwanza, maana akiuliuza humu ataambiwa tu jibu jepesi kuwa fungua benki fulani,kumbe huyo mtu yuko na interest na benki hiyo lakini ki uhalisia atakutana na makato ambayo ni hiden.
 
Kuna benki nje ya Tanzania hazina makato. Hata hapa TZ zamani hatukuwa na makato haya ya sasa. Wazee wenzangu watakubaliana nami. Benki zilikuwa zinatoa faida kwa wateja. Siku hizi wateja ndio wanazipa benki faida!
bank yyte duniani inajiendesha kwa mfumo wa ubepari,kila bank ina makato kwa mwezi hata charges zao ni karibu zinalingana zinapishana kidogo sana.wanatofautiana tu kwa njia wanazotumia kukata hayo makato ukikuta makato ya mwezi yapo chini sana jua kuna sehemu wanafidia.
 
Kuna benki nje ya Tanzania hazina makato. Hata hapa TZ zamani hatukuwa na makato haya ya sasa. Wazee wenzanu watakubaliana nami. Benki zilikuwa zinatoa faida kwa wateja. Siku hizi wateja ndio wanazipa benki faida!
Kuna benki ilikua inanikata 1,888/= kwa mwezi.
Mwisho wa mwaka wananikata kama 15,000/= hivi ya card fee.
Nikijumlisha charges inakuja kama 40,000/= kwa mwaka nje ya withdrawal charges.
 
Inaitwa CRDB. Kwa nini unaficha? Bado wanakata hiyo 1888/= kwa mwezi. Hata kuulizia balance kwa ATM wanakata! Huu ni wizi.
Kuna benki ilikua inanikata 1,888/= kwa mwezi.
Mwisho wa mwaka wananikata kama 15,000/= hivi ya card fee.
Nikijumlisha charges inakuja kama 40,000/= kwa mwaka nje ya withdrawal charges.
 
Nimepitia uzi wote lakin Bado sijapata jibu

Mimi Ni mjasiliamali mdogo mwenye ndoto kubwa katika biashara yangu, nahitaji bank rafiki ili nijenge mahusiano nayo ili hata huko mbeleni nikitaka kupanua biashara yangu iwe rahisi kwangu kupata mkopo

Wadau ushauri wenu tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njoo STANBIC mkuu hakuna ile sijui elfu 15 imekatwa ya kutengeneza akaunti!! hela inayokatwa ni unapoenda kutoa salio nayo nikidogo tu
 
Inaitwa CRDB. Kwa nini unaficha? Bado wanakata hiyo 1888/= kwa mwezi. Hata kuulizia balance kwa ATM wanakata! Huu ni wizi.
Yeah! Nmetumia SIM banking app kucheki balance walikua wananikata pesa ndefu wakati equity bank ni free.
All in all nmeamua nibaki na DTB pekee.
Miamala mingine itakua kupitia Mpesa na airtel Money.
 
Naelewa ugumu unaoupata. Na ndio ukweli huo. Hakuna benki rafiki nchi hii. Benki zinapokata hela mteja kwa kuulizia salio kwenye ATM, au internet banking, ni benki hizo tena? Ni genge la wezi tu wenye leseni za BOT. Hebu fikiria makampuni ya simu yaanze kukata muda wa maongezi ama data kila unapoulizia salio!
Nimepitia uzi wote lakin Bado sijapata jibu

Mimi Ni mjasiliamali mdogo mwenye ndoto kubwa katika biashara yangu, nahitaji bank rafiki ili nijenge mahusiano nayo ili hata huko mbeleni nikitaka kupanua biashara yangu iwe rahisi kwangu kupata mkopo

Wadau ushauri wenu tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naelewa ugumu unaoupata. Na ndio ukweli huo. Hakuna benki rafiki nchi hii. Benki zinapokata hela mteja kwa kuulizia salio kwenye ATM, au internet banking, ni benki hizo tena? Ni genge la wezi tu wenye leseni za BOT. Hebu fikiria makampuni ya simu yaanze kukata muda wa maongezi ama data kila unapoulizia salio!
Naunga mkono hoja
 
Kuna benki nje ya Tanzania hazina makato. Hata hapa TZ zamani hatukuwa na makato haya ya sasa. Wazee wenzangu watakubaliana nami. Benki zilikuwa zinatoa faida kwa wateja. Siku hizi wateja ndio wanazipa benki faida!
kweli tupu!!
 
Back
Top Bottom