Benki Kuu Tanzania: Mlioficha Dola zirudisheni kwenye mzunguko

Wale wale!!!
 
Akili ya mbayuwayu changanya na zakwako pia soma somo la social inference
 
Halafu hiyo hela ya Afrika utaitumia kufanyia nini wakati hamtengenezi chochote?

Mjapan atakubali kuuza V8 zake kwa pesa ya madafu, ya Afrika?
Afrika ikisimama yenyewe anaweza kuwa mzalishaji mkubwa wa tatu duniani ,baada ya Marekani na china.

Tunaweza kufanya kama ulaya wanavyotumia EURO na hiyo currency ndio itatumika kuleta balance of payments
 


 
"Wakitajwa nchi itatikisika"
 
Unakuta mtu yuko busy kufukunyua history kuthibitisha kwamba waafrika ndio Jamii ya kwanza kustaarabika. Jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…