Benki Kuu Tanzania: Mlioficha Dola zirudisheni kwenye mzunguko

Benki Kuu Tanzania: Mlioficha Dola zirudisheni kwenye mzunguko

View attachment 2761849
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amewataka watu walioficha Dola kwa malengo ya kusubiri zipande thamani na kujipatia Faida zaidi kubwa, waziachie kwenye mzunguko wa Biashara, ili kuondoa uhaba wa Fedha hiyo Nchini.

Kauli ya BoT inakuja ikiwa ni wiki chache tangu Mkurugenzi Utafiti na Sera wa Benki hiyo, Suleiman Misango, aseme upungufu uliopo sasa wa Fedha za kigeni ni himilivu kwakuwa akiba ipo ya kutosha.

Hii kauli hii ya Benki Kuu inakupa tafsiri gani?
Si juzi tu Mwigulu ametoka kujigamba kuwa nchi ina ziada ya dola na uchumi umeimarika!!
 
Ubaya ni kwamba Dola ikipanda Tsh inashuka thamani pia. Hivyo ukienda Kenya pesa ya iko juu na hata dola tegamea itakua juu vilevile.
Not necessarily.
Dollar dunia nzima imeadimika kwa sababu The Fed wamepandisha interest rate. Inamaanisha more savings, the more the money is saved, the more expensive it gets.
Globally, not local.
Sasa hivi TZS to KES ni 16.9. when TZS was stable a couple of years back, it was 21 TZS for a KES.
 
Kila siku USD zinatumwa Japan zitapatikana vip.
Serikal Ibane matumiz ya USD yasiyo ya lazima ikiwemo kununua magar mapya ...
Mtu atafute pesa kwa jasho lake halafu umpangie matumizi? Hii siyo socialist country. Plus ukiona taasisi zinalalamika ujue walioficha hizo $$ ni untouchables.
 
Nchi yote hiyo Mkuu inashindwaje kununua dhahabu na kuweka reserve miaka yote hiyo
Ina maana nchi kama nchi pia haijui kujiwekea akiba kama kina sisi, haiwezekani mkuu hela zinapigwa kila siku za miradi na zingine zinatolewa

Angalia ziara ya PM kila mkoa kuna madudu na wizi wa kufa mtu

Siamini nchi haiwezi kuwa na akiba
Algeria nafikiri ndio wanaongoza kwa gold reserve Afrika pamoja na misukosuko yote lakini zimelala mahali
Dhahabu tuichimba na nin au jembe la mkonoi!??maana machinery systems za mining zinauzwa Kwa Dola kuzifanyia service malipo Kwa Dola[emoji1727]
 
Nimeiamini ile kauli aliyoitoa mchumi INSIDER MAN kuwa.......

"Uchumi una kawaida Moja,... uchumi Huwa haudanganyi... kama mwigulu alilihakikishia Bunge kuwa dolar zipo za kutosha!? Muda utaongea...."

Kudos to you .. mkuu insider.... muda umeongea! Kweli penbe la ngo'ombe.... halifichiki!
 
Ubaya ni kwamba Dola ikipanda Tsh inashuka thamani pia. Hivyo ukienda Kenya pesa ya iko juu na hata dola tegamea itakua juu vilevile.
Sio kwamba naenda na pesa cash naweka mzigo kwenye account naenda kutolea kule kwenye ATM hiyo imekaaje kiongozi...?
 
View attachment 2761849
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amewataka watu walioficha Dola kwa malengo ya kusubiri zipande thamani na kujipatia Faida zaidi kubwa, waziachie kwenye mzunguko wa Biashara, ili kuondoa uhaba wa Fedha hiyo Nchini.

Kauli ya BoT inakuja ikiwa ni wiki chache tangu Mkurugenzi Utafiti na Sera wa Benki hiyo, Suleiman Misango, aseme upungufu uliopo sasa wa Fedha za kigeni ni himilivu kwakuwa akiba ipo ya kutosha.

Hii kauli hii ya Benki Kuu inakupa tafsiri gani?
Dollar 1 ipo hapa siiachii
IMG_20230918_115807.jpg
 
Nimeiamini ile kauli aliyoitoa mchumi INSIDER MAN kuwa.......

"Uchumi una kawaida Moja,... uchumi Huwa haudanganyi... kama mwigulu alilihakikishia Bunge kuwa dolar zipo za kutosha!? Muda utaongea...."

Kudos to you .. mkuu insider.... muda umeongea! Kweli penbe la ngo'ombe.... halifichiki!
Kuficha pesa sio jinai kweli, yaani uhujumu uchumi?
 
Anzeni tena kuvamia biashara za watu mkitafuta Dollars zilizofichwa!😁.
 
Njia ni rahisi, ni kufuatilia vituo/taasisi zote zinazobadilisha fedha, na kuainisha wale wote waliobadili fedha za ndani na kupewa dola/fedha za kigeni kiasi kikubwa, waeleze wamezipeleka wapi na zinafanya nini.​
 
View attachment 2761849
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amewataka watu walioficha Dola kwa malengo ya kusubiri zipande thamani na kujipatia Faida zaidi kubwa, waziachie kwenye mzunguko wa Biashara, ili kuondoa uhaba wa Fedha hiyo Nchini.

Kauli ya BoT inakuja ikiwa ni wiki chache tangu Mkurugenzi Utafiti na Sera wa Benki hiyo, Suleiman Misango, aseme upungufu uliopo sasa wa Fedha za kigeni ni himilivu kwakuwa akiba ipo ya kutosha.

Hii kauli hii ya Benki Kuu inakupa tafsiri gani?
Wamwambie mama abdul alie uza bandari
 
Magufuli alipokuwa ameamua kufunga Bureau De Change za Binafsi mlimuona mjinga!
Sasa endeleeni kuifungua nchi....
Sisi tumekaa paleee!
Walidhani kwenda kinyume na JPM kwenye kila kitu ni kumkomoa na kufuta legacy yake! Acha wacheze huo mziki sasa.
 
Usiturudishe kwenye ule UHAYAWANI wa
MAGUFULI. Kunya g'anya fedha za mtu aliyezitolea jasho lake siyo uungwana. Ndiyo maana JITU lile lilikufa tarrhe 17/ 03/21.
Kwenye ukoo na familia yako hakuna "majitu" yaliyokufa!? Nao walinyang'angya fedha za nani!? Kuwa na heshima.
 
View attachment 2761849
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amewataka watu walioficha Dola kwa malengo ya kusubiri zipande thamani na kujipatia Faida zaidi kubwa, waziachie kwenye mzunguko wa Biashara, ili kuondoa uhaba wa Fedha hiyo Nchini.

Kauli ya BoT inakuja ikiwa ni wiki chache tangu Mkurugenzi Utafiti na Sera wa Benki hiyo, Suleiman Misango, aseme upungufu uliopo sasa wa Fedha za kigeni ni himilivu kwakuwa akiba ipo ya kutosha.

Hii kauli hii ya Benki Kuu inakupa tafsiri gani?
Wsongo tu. Sasa mbona kuna uhaba huku wanajidai zipo dola za kutosha. Waache maneno hayadaidii. Kinachotakiwa ni uamuzi utakaofanya watu watoe dola kwa hiari au kulazimishwa.
 
Back
Top Bottom