Si juzi tu Mwigulu ametoka kujigamba kuwa nchi ina ziada ya dola na uchumi umeimarika!!View attachment 2761849
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amewataka watu walioficha Dola kwa malengo ya kusubiri zipande thamani na kujipatia Faida zaidi kubwa, waziachie kwenye mzunguko wa Biashara, ili kuondoa uhaba wa Fedha hiyo Nchini.
Kauli ya BoT inakuja ikiwa ni wiki chache tangu Mkurugenzi Utafiti na Sera wa Benki hiyo, Suleiman Misango, aseme upungufu uliopo sasa wa Fedha za kigeni ni himilivu kwakuwa akiba ipo ya kutosha.
Hii kauli hii ya Benki Kuu inakupa tafsiri gani?
🤣 🤣 🤣 BRICS walikaa vikao miaka 2 kujadili hili ila hawajawahi kufika conclusion, ndio akili za Samia ziwezeNi muda Afrika kuwa na currency yake ili tuepukane na Dola domination.
kuna kiwango cha fedha huwezi kupita nacho airport ya nchi yoyoteHivi, kwa hii hali ilivyo sasa, mtu anaweza kwenda kununua dola nchi jirani let's say Kenya na kuja nazo TZ na akapata faida inayoridhisha...?
Not necessarily.Ubaya ni kwamba Dola ikipanda Tsh inashuka thamani pia. Hivyo ukienda Kenya pesa ya iko juu na hata dola tegamea itakua juu vilevile.
Mtu atafute pesa kwa jasho lake halafu umpangie matumizi? Hii siyo socialist country. Plus ukiona taasisi zinalalamika ujue walioficha hizo $$ ni untouchables.Kila siku USD zinatumwa Japan zitapatikana vip.
Serikal Ibane matumiz ya USD yasiyo ya lazima ikiwemo kununua magar mapya ...
Ngoja ni edit mkuu..Mtu atafute pesa kwa jasho lake halafu umpangie matumizi? Hii siyo socialist country. Plus ukiona taasisi zinalalamika ujue walioficha hizo $$ ni untouchables.
Dhahabu tuichimba na nin au jembe la mkonoi!??maana machinery systems za mining zinauzwa Kwa Dola kuzifanyia service malipo Kwa Dola[emoji1727]Nchi yote hiyo Mkuu inashindwaje kununua dhahabu na kuweka reserve miaka yote hiyo
Ina maana nchi kama nchi pia haijui kujiwekea akiba kama kina sisi, haiwezekani mkuu hela zinapigwa kila siku za miradi na zingine zinatolewa
Angalia ziara ya PM kila mkoa kuna madudu na wizi wa kufa mtu
Siamini nchi haiwezi kuwa na akiba
Algeria nafikiri ndio wanaongoza kwa gold reserve Afrika pamoja na misukosuko yote lakini zimelala mahali
Sio kwamba naenda na pesa cash naweka mzigo kwenye account naenda kutolea kule kwenye ATM hiyo imekaaje kiongozi...?Ubaya ni kwamba Dola ikipanda Tsh inashuka thamani pia. Hivyo ukienda Kenya pesa ya iko juu na hata dola tegamea itakua juu vilevile.
Vipi kama hela inakuwa kwenye account sio kwamba naenda nayo cash kaka...!kuna kiwango cha fedha huwezi kupita nacho airport ya nchi yoyote
Dollar 1 ipo hapa siiachiiView attachment 2761849
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amewataka watu walioficha Dola kwa malengo ya kusubiri zipande thamani na kujipatia Faida zaidi kubwa, waziachie kwenye mzunguko wa Biashara, ili kuondoa uhaba wa Fedha hiyo Nchini.
Kauli ya BoT inakuja ikiwa ni wiki chache tangu Mkurugenzi Utafiti na Sera wa Benki hiyo, Suleiman Misango, aseme upungufu uliopo sasa wa Fedha za kigeni ni himilivu kwakuwa akiba ipo ya kutosha.
Hii kauli hii ya Benki Kuu inakupa tafsiri gani?
Kuficha pesa sio jinai kweli, yaani uhujumu uchumi?Nimeiamini ile kauli aliyoitoa mchumi INSIDER MAN kuwa.......
"Uchumi una kawaida Moja,... uchumi Huwa haudanganyi... kama mwigulu alilihakikishia Bunge kuwa dolar zipo za kutosha!? Muda utaongea...."
Kudos to you .. mkuu insider.... muda umeongea! Kweli penbe la ngo'ombe.... halifichiki!
Ni jinai tu.. pale inapogundulika.Kuficha pesa sio jinai kweli, yaani uhujumu uchumi?
Wamwambie mama abdul alie uza bandariView attachment 2761849
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amewataka watu walioficha Dola kwa malengo ya kusubiri zipande thamani na kujipatia Faida zaidi kubwa, waziachie kwenye mzunguko wa Biashara, ili kuondoa uhaba wa Fedha hiyo Nchini.
Kauli ya BoT inakuja ikiwa ni wiki chache tangu Mkurugenzi Utafiti na Sera wa Benki hiyo, Suleiman Misango, aseme upungufu uliopo sasa wa Fedha za kigeni ni himilivu kwakuwa akiba ipo ya kutosha.
Hii kauli hii ya Benki Kuu inakupa tafsiri gani?
Walidhani kwenda kinyume na JPM kwenye kila kitu ni kumkomoa na kufuta legacy yake! Acha wacheze huo mziki sasa.Magufuli alipokuwa ameamua kufunga Bureau De Change za Binafsi mlimuona mjinga!
Sasa endeleeni kuifungua nchi....
Sisi tumekaa paleee!
Kwenye ukoo na familia yako hakuna "majitu" yaliyokufa!? Nao walinyang'angya fedha za nani!? Kuwa na heshima.Usiturudishe kwenye ule UHAYAWANI wa
MAGUFULI. Kunya g'anya fedha za mtu aliyezitolea jasho lake siyo uungwana. Ndiyo maana JITU lile lilikufa tarrhe 17/ 03/21.
Wsongo tu. Sasa mbona kuna uhaba huku wanajidai zipo dola za kutosha. Waache maneno hayadaidii. Kinachotakiwa ni uamuzi utakaofanya watu watoe dola kwa hiari au kulazimishwa.View attachment 2761849
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amewataka watu walioficha Dola kwa malengo ya kusubiri zipande thamani na kujipatia Faida zaidi kubwa, waziachie kwenye mzunguko wa Biashara, ili kuondoa uhaba wa Fedha hiyo Nchini.
Kauli ya BoT inakuja ikiwa ni wiki chache tangu Mkurugenzi Utafiti na Sera wa Benki hiyo, Suleiman Misango, aseme upungufu uliopo sasa wa Fedha za kigeni ni himilivu kwakuwa akiba ipo ya kutosha.
Hii kauli hii ya Benki Kuu inakupa tafsiri gani?