Benki Kuu Tanzania: Mlioficha Dola zirudisheni kwenye mzunguko

Ona huyu, anaambiwa dola yeye anasema kadi za ccm,
Tukiwaambia ccm itatawala miaka elf mbili mnapinga
Bwashee sio kila mahali ni siasa, kuwa siriasi wakati mwingine
Usijitoe akili, CCM inahusika kwa kila kitu kwenye hili la kupungua kwa dola na mengineyo.
 
Dolla zipo huko nje wajanja wamezikwapua halafu mnaimb eti wazirudishe ebo nchi haiendeshwi hivyo ,beral zilivyozuiliwa wanafiki si walipga kelele sasa kikowapi
 
Wacha wafiche zote ili tushindwe kuagiza toka nje, halafu akili za kuzalisha vya ndani ndio zitatujia...
 
Bi tozo wala halimhusu ueye amedondokewa na embe dodo full kula bats hata nchi ikidondoka yey ataridi zake kizimkaze
 
Usiturudishe kwenye ule UHAYAWANI wa
MAGUFULI. Kunya g'anya fedha za mtu aliyezitolea jasho lake siyo uungwana. Ndiyo maana JITU lile lilikufa tarrhe 17/ 03/21.
Wewe ni mnufaika na dorra kupande ,achieni dorra mlizo zificha
 
Jamani kama walioficha hizo dolali si mchukue hatua !! Ya nini kulalamika while you have authority to handle all issues concerning fedha. Mnaliabisha taifa kwenye uso wa dunia.
 
Magufuli alivyopora watu sukari, sukari ilishuka bei?

Magufuli alivyopora watu hela zao, hukuona baadhi ya benki zilivyofilisika?

Magufuli alivyokuwa anaimba kila siku tunajenga nchi kwa hela za ndani, deni la taifa lilipungua?

Usifiche uchafu wa ngozi kwa kupaka mafuta!
 
Tutuba, sarafu ya BRICS vipi?
 
Kwenye ukoo na familia yako hakuna "majitu" yaliyokufa!? Nao walinyang'angya fedha za nani!? Kuwa na heshima.
Walikufa natural death, ila huyu Magufuli alikufa kwa madhambi aliyojibebesha!
 
Benki kuu inaongozwa na vilaza hawajui wanachofanya!! Kupatikana kwa dollar katika mzunguko huja kwa sera mahiri za fedha na sio kuomba watu waachie dollar zao!!
Hayo ndio matokeo ya kuchagua watu kuongoza taasisi nyeti kwa kujuana na sio weledi!
 
Tumezificha mahala salama.
 
Unategemea mama Abdul awachukulie hatua wafadhiri wake wa Royal Tour? She is in bed with the Tanzanian Mafia!
 
Yule mwamba alikuwa na maono ya mbali sana...upuuzi wa hivi haukuwahi kutokea... RIP Jiwe.
 
Wameficha au wamejitunzia?
 
Halafu hiyo hela ya Afrika utaitumia kufanyia nini wakati hamtengenezi chochote?

Mjapan atakubali kuuza V8 zake kwa pesa ya madafu, ya Afrika?
Unanunua kwa pesa ya Japan sio lazma Dollar
 
walioficha Dola kwa malengo ya kusubiri zipande thamani na kujipatia Faida zaidi kubwa, waziachie kwenye mzunguko
Katoa mchongo kwa umma, kwa wale wenye dola ukificha dola sasa hivi utatengeneza faida kubwa baadae.

Sasa kwa nn nizitoe ???

Kama kuweka dollar ndani kuna faida kubwa kuliko kuiweka kwenye mizunguko ya miradi ya daladala za Mbagala na Kimbiji kwa mpika uji, why the eff niitoe chimbo dollar yangu you brain dead duschebag central bank governor ???
 
Halafu hiyo hela ya Afrika utaitumia kufanyia nini wakati hamtengenezi chochote?

Mjapan atakubali kuuza V8 zake kwa pesa ya madafu, ya Afrika?
Maana yake, siyo vizuri kutegemea Currency moja kwa uchumi wa Dunia. Wenye nazo wakiamua, uchumi wa Dunia unayuba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…