Tetesi: Benki ya CRDB yanusurika kuporwa

Lahaula..eeeeh Mola weee.
Machoki = machozi
Snapers/snaper = Sniper
 
Benki ya CRDB tawi la Mbagala imevamiwa na majambazi,Mbagala hakuendeki mpaka muda huu polisi imeizingira benki majambazi yapo ndani ya benki, kujisalimisha hayataki.
Babaeee, hizo hela wanapelekaga wap jamani? Uwiiiii, yeuwuiiii, kelewiiiiiieee
 
Hizo habari sio za kweli nmefika sas ivi kuna askari wawili walinz wa bank wapo nje wanapga stor raia wanaingia na kutok km kawaida
 
Majuzi polisi walitoa video wakiwa mazoezini kukimbizana na majambazi wa benki hivi mpaka sasa wameshatumia zile mbinu zao katika matukio mangapi.
 
mwambie magu aendelee kufukuza watu kazi, kama wale vijana zaidi ya 200 wa NIDA na wale 1000
 
Hizo habari sio za kweli nmefika sas ivi kuna askari wawili walinz wa bank wapo nje wanapga stor raia wanaingia na kutok km kawaida

Sasa wanao leta taarifa ambazo si za uhakika wanakua na lengo gani? Kama wangeleta matani ya arusi au sherehe tungewaelewa lakini kuleta utani wa ujambazi/ugaidi! Hapo mnakosea sana.
 
Kwa mjibu wa utaratibu, hairuhusiwi kulanda landa ukiwa na mtutu ndani ya bank wakati wa kuhudumia wateja. Iwe ni polisi au raia wa kawaida.
 
Kuna watu wanataka kushusha hadhi ya JF...
 
Ila majambazi yanafanya dhambi kubwa sana kuua watu, bank zote zina insurance, wakiiba fedha bank zinarudishiwa fedha sasa kwa nini watoe uhai wa mtu wakati uhai auna insurance????????????? Aaaaahhhh mikaka jambazi akili haina kabisa
Utaratibu uliopo ni kutii amri. Umeambiwa toa hela... u better submit tena immediately
Lala chini... we lala fasta sio upandishe mlege au kutengeneza nywele!
Kinyume na hapo, basi risasi ni halali yako joh.
 
Niko eneo la tukio...ngoja nichukue picha.
Ila huu uwingi wa watu utawafanya majambazi yajichanganye na raia wa ndani ya bank.
Siondoki mpaka nipige picha
The Olympus has Fallen,
Magaid walitoroka kijanja toka white house
 
dah hv kama wasipotoka hao majambazi polisi watachukua hatua gn, mana kwenye muv huwa naona askari mmoja anajisalimisha nakuacha silaha zote nje then anachoma ndani.

Watamuomba Jackie Chen au Sylvester Stallone aje kuwasaidia kwa kuingia na kupambana na hao majambazi single handed..🙂🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…