Borat69
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,522
- 1,757
Lahaula..eeeeh Mola weee.ikitokea hali ya namha hiyo kitu ambacho huwa kinafanywa ni kupiga bomu la machoki ndani au bomu lenye kuchosha wote waliomu kwa muda na hapo askari hutumia nafas hiyo kuokoa au kuna watu wa CRT wanaweza wakaingia au kumua jambazi bila yeye kujua..snapers ndo kazi yao hapo sasa..jambazi anackncetrate kuangalia askari huku snaper akiwa anamtafutia target na huwa hakosi
Machoki = machozi
Snapers/snaper = Sniper