May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
Watanzania au Watu weusi tuna vichwa vigumu sana, na vilivyojaa hewa...ingawa kuna tofauti kwa Watu hao hao weusi waliokwisha lowea huko nje mfano USA n.k.
Tunaposhauriwa tuwaache Mabinti wenye mimba wasome tuna re act moja kwa moja kwenye ujumbe husika, basi tutatoa mapovu na mwenye sketi ndio ataipandisha juu ali mradi aonekane anajali sana maadili.
Hakuna anayewaambia muendekeze mimba au ushoga shubamiti zenu....wenye akili wanawazuia kuwaadhibu mara ya pili wale waliokwishaathirika...tena wakati mwingine wanaathirika kwa matokeo ya uzembe wenu wenyewe kama Wazazi na Walezi.
Kama mtaweza kuzuia nchi isiwe na mimba mashuleni au nchi isiwe na mashoga kabisa basi mbona hilo ni kheri.
Lakini kinyume chake tumekuwa watu wa kuficha udhaifu wetu wa kuwajibika nyuma ya lawama, na Mtu mwenye tabia ya muda wote kutafuta wa kumlaumu huyo ni sawa na mzigo tu, usimtarajie kwa chochote cha maana kwa jamii yake.
Mamlaka na jamii kwa ujumla tumieni akili na busara mlizopewa na Muumba mabinti zenu wabaki salama muda wote badala ya kukimbilia kazi rahisi, kazi ya Mtu dhaifu, kazi ya kuadhibu tu.
Tunaposhauriwa tuwaache Mabinti wenye mimba wasome tuna re act moja kwa moja kwenye ujumbe husika, basi tutatoa mapovu na mwenye sketi ndio ataipandisha juu ali mradi aonekane anajali sana maadili.
Hakuna anayewaambia muendekeze mimba au ushoga shubamiti zenu....wenye akili wanawazuia kuwaadhibu mara ya pili wale waliokwishaathirika...tena wakati mwingine wanaathirika kwa matokeo ya uzembe wenu wenyewe kama Wazazi na Walezi.
Kama mtaweza kuzuia nchi isiwe na mimba mashuleni au nchi isiwe na mashoga kabisa basi mbona hilo ni kheri.
Lakini kinyume chake tumekuwa watu wa kuficha udhaifu wetu wa kuwajibika nyuma ya lawama, na Mtu mwenye tabia ya muda wote kutafuta wa kumlaumu huyo ni sawa na mzigo tu, usimtarajie kwa chochote cha maana kwa jamii yake.
Mamlaka na jamii kwa ujumla tumieni akili na busara mlizopewa na Muumba mabinti zenu wabaki salama muda wote badala ya kukimbilia kazi rahisi, kazi ya Mtu dhaifu, kazi ya kuadhibu tu.