Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Mkuu Chige kazima ngebe na sherehe yenu, usicheze na watu wenye akili, Viva jf

Labda mkampe like jiwe huko twiter siyo huku kwa Ma GT
Yaani unaambiwa huyo jiwekuu770 na Barbarosa ndo pekee wamekuja na lugha za kiungwana lakini wengine wote, wanaibuka from nowhere na post yao ya kwanza, ni matusi 😀😂😅

Yaani huyo jiwekuu pamoja na kunishutumu kwamba inawezekana mimi ni mkwepa kodi, but still ndie wa kwanza kuja na lugha ya afadhali mara 100!!!
 
View attachment 1494696
Inategemea hiyo graph unataka uisome vipi, uchumi wa Tanzania unapanda constant 2015; USD 980; 2016 USD 970 NA 2017 USD 970. Data za uchumi 2018, 2019, na 2020 hazipo kwenye graph. Hivyo sio sahihi kusema JMK alifanya zaidi ya JPM wakati data za JPM ni za miaka miwili tu.
Inategemea uisome vipi kwa maana gani?! Kwani kuna usomaji wa aina ngapi?! All in za 2018 hizi hapa...
2018.png
 
Yaani tunalingia $1,063 ,Uchumi wa kati ni kuanzia $4000 na kitu. Kwanza upper lower income ni 1,035. Kenya wao wapo $ 1800 ila wapo kimyaaaa.
Tulipanga kufikia hapa by 2025,

Ila tumefika by 2020, ni mafanikio makubwa.
 
Victoire
Dah! Ahsante, unajua nilikuwa kimya nikitafuta exact figure kwamba ni ngapi hasa! Sasa kama ndo kwanza $1063, an increase to less than $100, basi kwa speed hii tutafika 2030 lakini bado high middle income ikawa mbali sana kwetu kuifikia!!!

Tanzania imeorodheshwa kwenye nchi zenye Kipato cha Kati kwa msingi wa viwango nilivyotaja hapo awali, GNI ikiwa ni moja ya viwango.

Nchi zenye Kipato cha Kati duniani (MICs - Middle Income Countries) zipo kwenye makundi tofauti kwa ukubwa, idadi ya watu, na kiwango cha mapato. Benki ya Dunia (WB) hufafanua nchi zenye Uchumi wa chini wa Kipato cha Kati (LMICs) - ni nchi zenye GNI kwa kila mtu kati ya $1,006 na $3,955; na uchumi wa juu wa Kipato cha Kati (MICs) - wale walio na GNI kwa kila mtu kati ya $3,956 na $12,235 (2018).

Kwa hiyo Tanzania ina GNI per Capita ya kiwango cha $1,006 na $3,955, mafanikio ambayo hayapaswi kupuuzwa. Kipato hicho ni mbali na huduma bora za jamii (Elimu, afya, maji, na nishati)
 
Kwa takwimu hizo, ni ushahidi tosha kwamba JPM amevuruga uchumi, na JK was far better compared to JPM.

Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:- Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'

Ukiangalia WB Secondary Data, unakutana na hii kitu (GNI per capita by Atlas Method).
View attachment 1494559

Kumbe, 2015 GNI Per Capita by Atlas Method ilikuwa $980. Kwa maana nyingine, kwa miaka 5 mzima, JPM alikuwa anahangaika kuivusha GNI per capita from $980 to $1036... a difference of ONLY $54.

Kinyume chake, GNI Per capita in 2010 ilikuwa kama ifuatavyo:-
View attachment 1494564

Utaona hapo, in 2010 GNI per capita ilikuwa $720, na kwa maana nyingine, GNI per capita ilipanda from $720 in 2010 to $980 in 2015! Yaani ilipanda kwa $260, wakati miaka 5 ya JPM imepanda around $54+!

On top of that, mwaka 2005 GNI per capita ilikuwa $500, na kwa maana nyingine, miaka yake 5 ya kwanza, Mzee wa Msoga alipandisha GNI per capita from $500 in 2005 to $720 in 2010... yaani $220 wakati JPM miaka 5 yake ya kwanza inaonesha kapandisha for less than $100.

View attachment 1494576

Ama kweli mtaji mkubwa JPM ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake! And JPM anafanikiwa haya kwa sababu ile ile niliyowahi kuitaja siku za nyuma: Tanzania is full of people with average mind, and many more below the average!
JPM is not presidential material,bahati yake ni kuwa anaongoza wajinga wenzake ambao hata wakisoma wanaishia kupata vyetu tu na si kuelimika
 
Victoire


Tanzania imeorodheshwa kwenye nchi zenye Kipato cha Kati kwa msingi wa viwango nilivyotaja hapo awali, GNI ikiwa ni moja ya viwango.

Nchi zenye Kipato cha Kati duniani (MICs - Middle Income Countries) zipo kwenye makundi tofauti kwa ukubwa, idadi ya watu, na kiwango cha mapato. Benki ya Dunia (WB) hufafanua nchi zenye Uchumi wa chini wa Kipato cha Kati (LMICs) - ni nchi zenye GNI kwa kila mtu kati ya $1,006 na $3,955; na uchumi wa juu wa Kipato cha Kati (MICs) - wale walio na GNI kwa kila mtu kati ya $3,956 na $12,235 (2018).

Kwa hiyo Tanzania ina GNI per Capita ya kiwango cha $1,006 na $3,955, mafanikio ambayo hayapaswi kupuuzwa. Kipato hicho ni mbali na huduma bora za jamii (Elimu, afya, maji, na nishati)
Duh! We jamaa bhana... hayo maelezo yako sijui umeyatoa wapi!

Umeambiwa, low middle income countries ni zile zenye GNI per capita BETWEEN $1,036 and $4,045.

Sasa hayo maelezo yako kwamba Tanzania ina GNI ya kiwango cha 1,006 na $3955 umeyatoa wapi?
 
Uchumi wa kati ni kipato cha wastani wa kuanzia dola 1,036 ambayo ni sawa na shs takribani milioni 2,500,000 kwa mwaka.

Mtanzania wa kawaida mnyonge ni kweli anapata kipato kinachofika takribani shilingi 7,000 kwa siku na kwa mwaka shilingi 2,500,000?

Kufika uchumi wa kati unaotangazwa ni kweli ndio hali halisi au makaratasi yanayopelekwa bemki ya dunia yamedanganya?
 
Figures zilizopo WB za GNI zilizowekwa ni hadi 2018, sasa hizi unazoweka wewe ni za kupikwa.
GNI per capita, Atlas method (current US$) - Tanzania | Data
We jamaa bhana... za kupika wakati nimeweka link ya WB kabisa?! Hebu tumia hiyo source yako halafu niambie ni figure zipi nilizoweka ambazo ni za kupikwa?! Btw, unasema zimewekwa hadi za 2018, kwani mimi nimeweka hadi za mwaka gani?

Halafu umebadili gia angani ujue?!

Mwanzoni ulisema data zilizopo ni za hadi mwaka 2017! Nimekuwekea data za 2018, umebadilika na kusema data zipo hadi 2018, lakini yule yule aliyekuwekea data za hadi 2018 unadai za kwake ni za kupika wakati ni za WB!!
 
Back
Top Bottom