Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiye lofa mkuu, unauliza gunia la Maindi /alizeti, unataka kufungua duka? Mimi nazungumzia maisha ya kawaida ya uswahilini, mchele sasahivi sokoni hapa kawe kilo 1200-1500 chaguo lako, Maharage kilo 2000-2500 chaguo lako, unga kilo 1000 ', sukari kilo 1800, kibarua mtaani sh, 15000-20000,shuleni bure, kodi za nyumba zimeshuka, labda uwe mvivu ndio utashindwa maisha, wewe kaa hapo subiri Mbowe awe Rais akugaiwie pesa bure. Ila sisi huku uswahilini maisha raha tupu. Mungu ibariki Tanzania. Mungu mbariki Rais MagufuliAcha ufala Labda Mungu jiwe ila sio Mungu wa mbinguni.
Niambie gunia la mahindi sokoni ni shilingi ngapi na gunia la alizeti sokoni ni shilingi ngapi.
.
Pia niambie sukari kilo moja ni shilingi ngapi.
Ukimaliza tunahamia taifa jirani tu la Kenya hapo tuone maelfu ina nguvu kiasi gani kulinganisha na maelfu ya utopolo.
Kabisa hawaanalyse mambo. Wanapokea kama yalivyo.Ama kweli mtaji mkubwa JPM ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake! And JPM anafanikiwa haya kwa sababu ile ile niliyowahi kuitaja siku za nyuma: Tanzania is full of people with average mind, and many more below the average!
Nchi ilishafika hapo since 2018, ww baki hapo na ubishi wako
Ubishi wangu kwani mimi ndo naandaa data za WB?! Sasa wakati wewe unadai nchi ilishafika hapo since 2018, wenyewe WB wanasema hivi:-Nchi ilishafika hapo since 2018
Sasa Mheshimiwa huoni maelezo yangu nimeanza kwa kauli "...huu ni ushahidi tosha kwamba JPM anavuruga uchumi!?" Au nikukumbushe kwamba in 2015 nilikuwa namuunga mkono JPM lakini nikaanza kuhitilafiana 2016 baada ya kuona anavyoivuruga sekta binafsi?!Kwa hiyo Upinzani mnapambana CCM au Magufuli? Kwa maana sielewi huku unamsifu Kikwete kwa kuiingiza nchi kwenye kipato cha kati na kumponda Magufuli, kwani Kikwete ni Chama gani?
Pole sana, sina namna nyingine ya kukusaidia!!Pia mnathibitisha kua mlikua wanafki kipind cha kikwete kwa kupinga
Tupo GNI per capita $1,063 ,siyo ya kuringia kutoka tulipokuwa $980 .Kumbuka JK alipandisha mpaka 720 mwaka 2010 kutoka kwenye $500 mwaka 2005.Mpaka hapa Magufuli hana maajabu yeyote.Ubishi wangu kwani mimi ndo naandaa data za WB?! Sasa wakati wewe unadai nchi ilishafika hapo since 2018, wenyewe WB wanasema hivi:-
View attachment 1494677
Sasa mimi na wewe mbishi hapo nani?!
Kwenye ile post nimeandika mengi... unazungumzia hoja ipi dadangu?!Upo kwenye ile post yako;hujauona?
Mkuu Chige kazima ngebe na sherehe yenu, usicheze na watu wenye akili, Viva jfWewe ambaye uko above average mind umetusaidia nn....kwenye hili taifa....ushangae hata Kodi tu unakwepa!!? ......Hawa wajuaji wa mdomoni wanatuchelewesha Sana...
Sasa Mheshimiwa huoni maelezo yangu nimeanza kwa kauli "...huu ni ushahidi tosha kwamba JPM anavuruga uchumi!?" Au nikukumbushe kwamba in 2015 nilikuwa namuunga mkono JPM lakini nikaanza kuhitilafiana 2016 baada ya kuona anavyoivuruga sekta binafsi?!
Dah! Ahsante, unajua nilikuwa kimya nikitafuta exact figure kwamba ni ngapi hasa! Sasa kama ndo kwanza $1063, an increase to less than $100, basi kwa speed hii tutafika 2030 lakini bado high middle income ikawa mbali sana kwetu kuifikia!!!Tupo GNI per capita $1,063 ,siyo ya kuringia kutoka tulipokuwa $980 .Kumbuka JK alipandisha mpaka 720 mwaka 2010 kutoka kwenye $500 mwaka 2005.Mpaka hapa Magufuli hana maajabu yeyote.
Kikwete ni ccm asili Magufuli ni ccm mpyaKwa hiyo Upinzani mnapambana CCM au Magufuli? Kwa maana sielewi huku unamsifu Kikwete kwa kuiingiza nchi kwenye kipato cha kati na kumponda Magufuli, kwani Kikwete ni Chama gani?