Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Yani Jiwe limeandika tena kwa herufi kubwa kule Twitter kuwa "TANZANIA IMEINGIA UCHUMI WA KATI" na watu wana like na kupongeza! Level ya ujinga kwa watanzania ni ya juu sana!
Yaani tunalingia $1,063 ,Uchumi wa kati ni kuanzia $4000 na kitu. Kwanza upper lower income ni 1,035. Kenya wao wapo $ 1800 ila wapo kimyaaaa.
 
Hilo limagu mbona linatukana kishamba hapa mzee
Halafu huyu Kima kila akini-quote lazima aanze na matusi, and it's a matter of time kabla hajanisababishia ban huyu; manake mtu huwa unajiuliza how come mtu ambae hujamfanya chochote aanze tu kukumwagia matusi! Sijui ni kimada wa Jiwe na kwahiyo huwa anaumia sana akiona Jiwe anakosolewa, sipati jibu!
 
Kwa takwimu hizo, ni ushahidi tosha kwamba JPM amevuruga uchumi, na JK was far better compared to JPM.

Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:- Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'

Ukiangalia WB Secondary Data, unakutana na hii kitu (GNI per capita by Atlas Method).
View attachment 1494559

Kumbe, 2015 GNI Per Capita by Atlas Method ilikuwa $980. Kwa maana nyingine, kwa miaka 5 mzima, JPM alikuwa anahangaika kuivusha GNI per capita from $980 to $1036... a difference of ONLY $54.

Kinyume chake, GNI Per capita in 2010 ilikuwa kama ifuatavyo:-
View attachment 1494564

Utaona hapo, in 2010 GNI per capita ilikuwa $720, na kwa maana nyingine, GNI per capita ilipanda from $720 in 2010 to $980 in 2015! Yaani ilipanda kwa $260, wakati miaka 5 ya JPM imepanda around $54+!

On top of that, mwaka 2005 GNI per capita ilikuwa $500, na kwa maana nyingine, miaka yake 5 ya kwanza, Mzee wa Msoga alipandisha GNI per capita from $500 in 2005 to $720 in 2010... yaani $220 wakati JPM miaka 5 yake ya kwanza inaonesha kapandisha for less than $100.

View attachment 1494576

Ama kweli mtaji mkubwa JPM ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake! And JPM anafanikiwa haya kwa sababu ile ile niliyowahi kuitaja siku za nyuma: Tanzania is full of people with average mind, and many more below the average!
Wewe ambaye uko above average mind umetusaidia nini....kwenye hili taifa....ushangae hata Kodi tu unakwepa!!? ......Hawa wajuaji wa mdomoni wanatuchelewesha Sana...
 
Ama kweli mtaji mkubwa JPM ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake! And JPM anafanikiwa haya kwa sababu ile ile niliyowahi kuitaja siku za nyuma: Tanzania is full of people with average mind, and many more below the average!
 
Uchumi wa makaratasi leo hii ukiwa na elfu 10 ni kama una buku tu ujinga ujinga tu.

Faida ya huo uchumi ni ipi kwa mtanzania wa kawaida?
Akiwa na 10k hata hali chakula cha siku ashibe linchi gani hilo.

Tafsiri ya hali ya uchumi kwa vigezo vya Benki ya Dunia (WB) ni shughuli zinazohusiana na uzalishaji, usambazaji na matumizi ya bidhaa na huduma, au ni:

Viwango katika usawa wa kijinsia, viwango vya chini vya uzazi na ukuaji wa idadi ya watu, viwango vya juu vya ajira, viwango vya juu vya elimu, maendeleo ya mifumo ya usalama wa jamii, maendeleo ya mifumo ya afya, upatikanaji wa teknolojia, maendeleo ya mifumo ya kisheria.

Kwa hiyo nchi huwekwa katika makundi matatu: Chini (Least), Kati (Middle) na Juu (High). Katika makundi hayo pia huwekwa katika makundi matatu (Lower, Middle, High).

Kwamba Tanzania imewekwa kwenye Uchumi wa Kati, kiwango cha chini (Lower Middle Income Economy) ina maana kiwango cha uchumi kimepanda katika maeneo yaliyotajwa hapo juu, kwa vigezo vya WB. Ushahidi huduma za jamii, miundo mbinu, utawala bora, nk zimeboreshwa kwa kiasi cha kiwango hicho.

Return Of Undertaker
Mmawia
 
Tunataka hela tukanunue unga wa kula na wanetu. Huo uchumi mkaongelee kwenye kamati zenu za siasa baada ya kupeana posho.
Mkulima ateseke mwaka mzima alime we uje tu jf useme unataka hela ukale na wanao....[emoji2][emoji2]kwaiyo wakulimie buree
 
Wewe ambaye uko above average mind umetusaidia nn....kwenye hili taifa....ushangae hata Kodi tu unakwepa!!? ......Hawa wajuaji wa mdomoni wanatuchelewesha Sana...
Vipi Jomba, povu la nini?! Kwani kuna mahali umetajwa kwamba nawe ni miongoni mwa hao walio below average?!
 
Yani Jiwe limeandika tena kwa herufi kubwa kule Twitter kuwa "TANZANIA IMEINGIA UCHUMI WA KATI" na watu wana like na kupongeza! Level ya ujinga kwa watanzania ni ya juu sana!
Kwa hiyo ulitaka wamlake Mbowe mzee wa bapa. Mungu ibariki Tanzania. Mungu mbariki Rais Magufuli
 
Wewe sio mzima.
nieleze faida ya huo uchumi ambao Tanzania imeingia hii 2020.
.
wakati watu mtaani hawana ajira toka 2015, watu wanafanya tough works wanaambulia 20k ambayo hanunui chochote zaidi ya kula.
hivi wewe mzima kweli?
Sasa wewe unataka watu wawekewe pesa mfukoni? Kufanga kazi ngumu ni adhabu au?. Ni aibu kwa mtu mwenye afya na utimamu wa akili kulalamika tu kwa kila jambo.
 
Yani Jiwe limeandika tena kwa herufi kubwa kule Twitter kuwa "TANZANIA IMEINGIA UCHUMI WA KATI" na watu wana like na kupongeza! Level ya ujinga kwa watanzania ni ya juu sana!
Wewe Mwenzetu kwani umechukizwa na hili?
 
Kama wewe unajiita great thinker na unategemea serikali ikuajiri pole sana, serikali inaboresha mazingira, wewe unayatumia kuchapa kazi unapiga pesa. Over
Wakiitwa nyumbu wanatoa povu, hoja za hovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom