Sio siri, hili jamaa linanikera kishenzi lakini wala halijishitukii!!Anakera kishenzi yani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio siri, hili jamaa linanikera kishenzi lakini wala halijishitukii!!Anakera kishenzi yani
Ukiona unakopesheka jua unachakulipa, uwezi pata mkopo mkuu kama hauna kitu, nayo hayo ni maendeleo.Wewe usiwe mjinga, issue hapa ni pesa watu hawana hela na tegemeo kuu lililobakia ni MIKOPO watu wanakopa sana kipindi cha Magu.
.
Huyu mtu anafanya kazi kwa bidii arejeshe mkopo, anafanya kazi ya kupata laki tatu ila anapata laki moja watu wana njaa sana mtaani.
unadhani Trump ni mjinga kuzungumzia ajira ajira ajira kwenye kujinadi kwake stuka wewe
Kwa takwimu hizo, ni ushahidi tosha kwamba JPM amevuruga uchumi, na JK was far better compared to JPM.
Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:- Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'
Ukiangalia WB Secondary Data, unakutana na hii kitu (GNI per capita by Atlas Method).
View attachment 1494559
Kumbe, 2015 GNI Per Capita by Atlas Method ilikuwa $980. Kwa maana nyingine, kwa miaka 5 mzima, JPM alikuwa anahangaika kuivusha GNI per capita from $980 to $1036... a difference of ONLY $54.
Kinyume chake, GNI Per capita in 2010 ilikuwa kama ifuatavyo:-
View attachment 1494564
Utaona hapo, in 2010 GNI per capita ilikuwa $720, na kwa maana nyingine, GNI per capita ilipanda from $720 in 2010 to $980 in 2015! Yaani ilipanda kwa $260, wakati miaka 5 ya JPM imepanda around $54+!
On top of that, mwaka 2005 GNI per capita ilikuwa $500, na kwa maana nyingine, miaka yake 5 ya kwanza, Mzee wa Msoga alipandisha GNI per capita from $500 in 2005 to $720 in 2010... yaani $220 wakati JPM miaka 5 yake ya kwanza inaonesha kapandisha for less than $100.
View attachment 1494576
Ama kweli mtaji mkubwa JPM ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake! And JPM anafanikiwa haya kwa sababu ile ile niliyowahi kuitaja siku za nyuma: Tanzania is full of people with average mind, and many more below the average!
Umewashika pabaya hawana cha kujibu zaidi ya matusi tuNa walivyo mazuzu, wote wanao-quote hiyo post hakuna wanachosema zaidi ya kumwaga matusi!
Hahahahaa, leo leo, leo daaah[emoji23][emoji23][emoji23] DJ wao anatamani kujipiga risasi ili kesho atrendWakiitwa nyumbu wanatoa povu, hoja za hovyo kabisa.
Again, stop pushing harder dadangu! Btw, nani mwenye mdomo kama sio wewe uliyeibuka from nowhere na kuanza matusi?!Halafu nani mdada wewe.Tuliza huo mdomo.
Vipi Jomba, povu la nini?! Kwani kuna mahali umetajwa kwamba nawe ni miongoni mwa hao walio below average?!
Mkuu kama kuna mtu kakujibu hebu nielekeze na mimi ni post namba ngapi na mimi nijisomee nijue hiliUchumi wa kati ndoo nn
Hivi inakuwaje kuwaje
Nchi
Ova
Ameweka data hapo pamoja na kuzitolea ufafanuzi. Sasa anakuchelewesha kivip?!Wewe ambaye uko above average mind umetusaidia nn....kwenye hili taifa....ushangae hata Kodi tu unakwepa!!? ......Hawa wajuaji wa mdomoni wanatuchelewesha Sana...
Nimekutukana wapi?Again, stop pushing harder dadangu! Btw, nani mwenye mdomo kama sio wewe uliyeibuka from nowhere na kuanza matusi?!
Anayetaka kujua anauliza, lakini wewe from nowhere ukaleta uncertainty zako kwamba I'm possibly ni mkwepa kodi!Hili lako ndo povu!!.. we ungejibu tu ....kama unatoa uchambuz chambua lakin ucseme shida wengi n below average!!....Hii nikujiona wewe uko above average!! So nikataka tujue kamchango kako ka Annua GDP
Kufuatia hatua hiyo, Rais Magufuli amepongeza Watanzania wote!
Sijui wapinzani watatokea wapi safari hiiView attachment 1494549
Inawezekana malezi ya kwenu, ni sawa tu kuibuka from nowhere na kuanza kumuita mtu mjinga; lakini kwetu ujinga ni tusi especially kama hujataja huo ujinga wake ni upi!!!Nimekutukana wapi?
Wewe ndiyo bure kabisa umeandika nini sasa!!Kwa takwimu hizo, ni ushahidi tosha kwamba JPM amevuruga uchumi, na JK was far better compared to JPM.
Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:- Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'
Ukiangalia WB Secondary Data, unakutana na hii kitu (GNI per capita by Atlas Method).
View attachment 1494559
Kumbe, 2015 GNI Per Capita by Atlas Method ilikuwa $980. Kwa maana nyingine, kwa miaka 5 mzima, JPM alikuwa anahangaika kuivusha GNI per capita from $980 to $1036... a difference of ONLY $54.
Kinyume chake, GNI Per capita in 2010 ilikuwa kama ifuatavyo:-
View attachment 1494564
Utaona hapo, in 2010 GNI per capita ilikuwa $720, na kwa maana nyingine, GNI per capita ilipanda from $720 in 2010 to $980 in 2015! Yaani ilipanda kwa $260, wakati miaka 5 ya JPM imepanda around $54+!
On top of that, mwaka 2005 GNI per capita ilikuwa $500, na kwa maana nyingine, miaka yake 5 ya kwanza, Mzee wa Msoga alipandisha GNI per capita from $500 in 2005 to $720 in 2010... yaani $220 wakati JPM miaka 5 yake ya kwanza inaonesha kapandisha for less than $100.
View attachment 1494576
Ama kweli mtaji mkubwa JPM ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake! And JPM anafanikiwa haya kwa sababu ile ile niliyowahi kuitaja siku za nyuma: Tanzania is full of people with average mind, and many more below the average!
It makes a difference. Another step ahead
Upo kwenye ile post yako, hujauona?Inawezekana malezi ya kwenu, ni sawa tu kuibuka from nowhere na kuanza kumuita mtu mjinga; lakini kwetu ujinga ni tusi especially kama hujataja huo ujinga wake ni upi!!!