Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Wewe usiwe mjinga, issue hapa ni pesa watu hawana hela na tegemeo kuu lililobakia ni MIKOPO watu wanakopa sana kipindi cha Magu.
.
Huyu mtu anafanya kazi kwa bidii arejeshe mkopo, anafanya kazi ya kupata laki tatu ila anapata laki moja watu wana njaa sana mtaani.
unadhani Trump ni mjinga kuzungumzia ajira ajira ajira kwenye kujinadi kwake stuka wewe
Ukiona unakopesheka jua unachakulipa, uwezi pata mkopo mkuu kama hauna kitu, nayo hayo ni maendeleo.
 
Kwa takwimu hizo, ni ushahidi tosha kwamba JPM amevuruga uchumi, na JK was far better compared to JPM.

Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:- Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'

Ukiangalia WB Secondary Data, unakutana na hii kitu (GNI per capita by Atlas Method).
View attachment 1494559

Kumbe, 2015 GNI Per Capita by Atlas Method ilikuwa $980. Kwa maana nyingine, kwa miaka 5 mzima, JPM alikuwa anahangaika kuivusha GNI per capita from $980 to $1036... a difference of ONLY $54.

Kinyume chake, GNI Per capita in 2010 ilikuwa kama ifuatavyo:-
View attachment 1494564

Utaona hapo, in 2010 GNI per capita ilikuwa $720, na kwa maana nyingine, GNI per capita ilipanda from $720 in 2010 to $980 in 2015! Yaani ilipanda kwa $260, wakati miaka 5 ya JPM imepanda around $54+!

On top of that, mwaka 2005 GNI per capita ilikuwa $500, na kwa maana nyingine, miaka yake 5 ya kwanza, Mzee wa Msoga alipandisha GNI per capita from $500 in 2005 to $720 in 2010... yaani $220 wakati JPM miaka 5 yake ya kwanza inaonesha kapandisha for less than $100.

View attachment 1494576

Ama kweli mtaji mkubwa JPM ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake! And JPM anafanikiwa haya kwa sababu ile ile niliyowahi kuitaja siku za nyuma: Tanzania is full of people with average mind, and many more below the average!

Asiye kuelewa atakuwa na matatizo ya akili...
 
Hili lako ndio povu!!.. wewe ungejibu tu ....kama unatoa uchambuzi chambua lakini usiseme shida wengi ni below average!!....Hii nikujiona wewe uko above average!! So nikataka tujue kamchango kako ka Annua GDP
Vipi Jomba, povu la nini?! Kwani kuna mahali umetajwa kwamba nawe ni miongoni mwa hao walio below average?!
 
Sasa itakuwaje maana Zitto kila siku anatuambia; exports zimeshuka, ohoo hi miradi aina faida, mara atufundishe mambo ya GDP na kwa mujibu wa data zake serikali inaongopa sijui nini na nini ina maana alikuwa anatuvuruga tu siku zote.
 
Nchi ilishafika hapo since 2018
 
Wewe ambaye uko above average mind umetusaidia nn....kwenye hili taifa....ushangae hata Kodi tu unakwepa!!? ......Hawa wajuaji wa mdomoni wanatuchelewesha Sana...
Ameweka data hapo pamoja na kuzitolea ufafanuzi. Sasa anakuchelewesha kivip?!
 
Hili lako ndo povu!!.. we ungejibu tu ....kama unatoa uchambuz chambua lakin ucseme shida wengi n below average!!....Hii nikujiona wewe uko above average!! So nikataka tujue kamchango kako ka Annua GDP
Anayetaka kujua anauliza, lakini wewe from nowhere ukaleta uncertainty zako kwamba I'm possibly ni mkwepa kodi!

Sasa kama sio povu tuite nini hicho?! Yaani post mzima umeona mstari wa mwisho badala ya kujadili mada kuu?! Je, wale wanaozungumza masuala ya nyumbu, umewahi kuhoji u-simba au u-tembo wao?!
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Kwa hiyo mpaka kufikia hapo sisi ndio tunakuwa tunalingana na nchi zipi za wazungu kiuchumi yaani? Ufafanuzi tafadhali
 
Kwa takwimu hizo, ni ushahidi tosha kwamba JPM amevuruga uchumi, na JK was far better compared to JPM.

Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:- Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'

Ukiangalia WB Secondary Data, unakutana na hii kitu (GNI per capita by Atlas Method).
View attachment 1494559

Kumbe, 2015 GNI Per Capita by Atlas Method ilikuwa $980. Kwa maana nyingine, kwa miaka 5 mzima, JPM alikuwa anahangaika kuivusha GNI per capita from $980 to $1036... a difference of ONLY $54.

Kinyume chake, GNI Per capita in 2010 ilikuwa kama ifuatavyo:-
View attachment 1494564

Utaona hapo, in 2010 GNI per capita ilikuwa $720, na kwa maana nyingine, GNI per capita ilipanda from $720 in 2010 to $980 in 2015! Yaani ilipanda kwa $260, wakati miaka 5 ya JPM imepanda around $54+!

On top of that, mwaka 2005 GNI per capita ilikuwa $500, na kwa maana nyingine, miaka yake 5 ya kwanza, Mzee wa Msoga alipandisha GNI per capita from $500 in 2005 to $720 in 2010... yaani $220 wakati JPM miaka 5 yake ya kwanza inaonesha kapandisha for less than $100.

View attachment 1494576

Ama kweli mtaji mkubwa JPM ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake! And JPM anafanikiwa haya kwa sababu ile ile niliyowahi kuitaja siku za nyuma: Tanzania is full of people with average mind, and many more below the average!
Wewe ndiyo bure kabisa umeandika nini sasa!!
 
Back
Top Bottom