Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Wakitupiga za uso wanaitwa majina yote, wakitusifia tunakenua mpaka jino la mwisho.
Btw, hivi kuingia uchumi wa kati (whatever it means) inabidi "watutangazie"? Yaani bila kutangaziwa huingii? Lakini si tulianza kujiita nchi tajiri, sasa hili tangazo "lao" kwa nini litupe raha hivi?
Hivi ukienda kwenye kampeni ukawaeleza watu kuwa nchi yetu imefikia uchumi huo watakulewa wakati hawana maji,umeme,madawa hospitalini,mishahara duni,madeni ya ndani hayalipwi,n.k?
Naona Tangazo tumetoa wenyewe na Kadiri ya taratibu za referencing ingetakiwa aweke link ya mtandao wa WB uliotusifia na aweke Ameusoma muda gani ( accessed)
Ukweli uko hivi:
Tanzania imeingia kwenye list ya LOWER MIDDLE INCOME COUNTRY
Na sio MIDDLE INCOME COUNTRY kama wanavyodanganya.
NENO LOWER linaharamisha hizo shamrashamra zao.
Anyway ni mwaka wa uchaguzi lazima wadanganyika wasioelewa wapigwe tu.
Yaani nchi imejaa mazuzu mpaka aibu.
Tungekuwa tumeingia middle Income ingetupasa kuanzia sasa hatuombi tena nje na mara nyingi manunuzi yetu nje ni CASH.
Budget yetu ingepaswa kuwa haina utegemezi 100% na tungekuwa tunalipa madeni sana tunayodaiwa nje.
Ngoja niishie hapa....nivae na barakoa yangu.😷😷😷
Dah! Umemwaga upupu mpaka aibu! Hivyo, huko shule mnajifunza ujinga?
Category ni Middle income country ila tuko kwenye borderline.Link ya WB inasema LOWER MIDDLE INCOME COUNTRY
Wao wanatwambia MIDDLE INCOME COUNTRY.
World Bank Country and Lending Groups – World Bank Data Help Desk
Kwahiyo unataka kusemaje hapo mkuu.Unajua mtaji wa CCM ni waTz ambao hatupendi kusoma. Sijaona uzi mzima watu wakiomba methodology, au classification basis ya hizo takwimu. No wonder hamshangai Zimbabwe ni middle income!!
View attachment 1494836
Nadhani hiyo footnote kutoka kwenye hiyo ripoti inajieleza yenyewe.
Tupende kusoma wanaJF
Hiki ni choo cha walimu wa masasi , ndani ya nchi yenye uchumi wa kati .Magu amesha-tweet kwa 'kidhungu' kushukuru!!
Tusubiri magazeti ya kesho na heading watazokuja nazo.
Wakiona watu wanafanya uchambuzi kwa kutumia data mitandaoni,wanatamani wawamalize maana wanaharibu uhundo!!
Patna wako Zitto Ruyagwa Kabwe mbona kimya?Uchumi wa kati ni kipato cha wastani wa kuanzia dola 1,036 ambayo ni sawa na shs takribani milioni 2,500,000 kwa mwaka.
Mtanzania wa kawaida mnyonge ni kweli anapata kipato kinachofika takribani shilingi 7,000 kwa siku na kwa mwaka shilingi 2,500,000?
Kufika uchumi wa kati unaotangazwa ni kweli ndio hali halisi au makaratasi yanayopelekwa bemki ya dunia yamedanganya?
Tuko sawa na DRC kwenye list!😀🤦🏾♂️Link ya WB inasema LOWER MIDDLE INCOME COUNTRY
Wao wanatwambia MIDDLE INCOME COUNTRY.
World Bank Country and Lending Groups – World Bank Data Help Desk
Hawa Chadema kwanini wanapinga kila kitu? Kwanini serkali inawaangalia tu
Kwahiyo unataka kusemaje hapo mkuu.
Chadema wana roho ya kutu.
Duh! Hata Lesotho wamo mkuu?, Alaf mh Kabudi si alituambia inaitwa United Republic of Tanzania mkuu?
Nitaendelea kusema siku zote Rais Magufuli anaweka historia ambayo itachukua vizazi vingi hadi kuja kufikiwa na viongozi wajao wa taifa hili.
Ukiona unakopesheka jua unachakulipa, uwezi pata mkopo mkuu kama hauna kitu, nayo hayo ni maendeleo.