Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Wakitupiga za uso wanaitwa majina yote, wakitusifia tunakenua mpaka jino la mwisho.
Btw, hivi kuingia uchumi wa kati (whatever it means) inabidi "watutangazie"? Yaani bila kutangaziwa huingii? Lakini si tulianza kujiita nchi tajiri, sasa hili tangazo "lao" kwa nini litupe raha hivi?
Naona Tangazo tumetoa wenyewe na Kadiri ya taratibu za referencing ingetakiwa aweke link ya mtandao wa WB uliotusifia na aweke Ameusoma muda gani ( accessed)