emmadeclassic
JF-Expert Member
- Sep 28, 2015
- 304
- 131
Anhaa tumewafikia kenya kwenye kundi lao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tindo , watu wanaojitambua ni wachache na kama wanajitambua basi wanafanya makusudi ili waende chooni! Akina Kabudi wanajitambua sana, ila ni njaa za kwenda kunya chooni zinawasumbua! Akina Mandela wangeliendekeza njaa SA isingelikuwa ilivyoKagemro
Anyamaze watu wazidi kulishwa ujinga? Boss, Karne hii bado unajivunia watu kuongozwa kama vipofu kwa kulishwa propaganda? Halafu unaandika kiswahili na kuchanganya na kiingereza ili uonekane ni msomi, huku ukitetea watu waongozwe bila kujua ukweli!
Huyu chige jana kaja na data nyiiingi kuhusu uchumi hadi unajiuliza kama anajua mambo yote haya mbona hatusikii ni muhadhiri mwandamizi wa uchumi Harvard University 😀😆😀Tindo=Chige, wanatafutana sasa, khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee wamekalia kuleta data za kupika kama samaki. Kwa bahati nzuri hawanisumbui tena wako kwenye list yangu ya ku-ignore.
Lkn mbowe kudanganya kapigwa mkatii kama nyumbu mlivyo.
Kumbe alilewa.