Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Tindo=Chige, wanatafutana sasa, khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee wamekalia kuleta data za kupika kama samaki. Kwa bahati nzuri hawanisumbui tena wako kwenye list yangu ya ku-ignore.
 
Wekeni chanzo cha hiyo ripoti kutoka world Bank hapa tusilishane matango poli maana yake hamuaminiki nyie hata kidogo.
 
Uchumi wa kwenye makaratasi. Uliokosa kabisa uhalisia kwenye maisha ya kila siku ya Watanzania walio wengi.
 
Hongera Mheshimiwa Rais John Pombe Joseph Magufuli kwa uongozi wako madhubuti.
 
Kizuri cha jiuza kibaya cha jitembeze inasikitisha sana kiongozi kujisifia vile Twitter mbona enzi za kikwete hatukuona ayo?
 
Kagemro

Anyamaze watu wazidi kulishwa ujinga? Boss, Karne hii bado unajivunia watu kuongozwa kama vipofu kwa kulishwa propaganda? Halafu unaandika kiswahili na kuchanganya na kiingereza ili uonekane ni msomi, huku ukitetea watu waongozwe bila kujua ukweli!
tindo , watu wanaojitambua ni wachache na kama wanajitambua basi wanafanya makusudi ili waende chooni! Akina Kabudi wanajitambua sana, ila ni njaa za kwenda kunya chooni zinawasumbua! Akina Mandela wangeliendekeza njaa SA isingelikuwa ilivyo
 
Low middle income sasa mzazi kaona wote ngo'mbe wa kisukuma katuambia uchumi wa kati
 
Mabeberu leo wameeleweka juu ya hili suala,sijasikia zile kauli zao tuwe makini na mabeberu hawaitakii mema nchi hii.
Au CCM wataichukua hii taarifa ya mabeberu ajili ya Kampeni katika uchaguzi mkuu.
 
Tindo=Chige, wanatafutana sasa, khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee wamekalia kuleta data za kupika kama samaki. Kwa bahati nzuri hawanisumbui tena wako kwenye list yangu ya ku-ignore.
Huyu chige jana kaja na data nyiiingi kuhusu uchumi hadi unajiuliza kama anajua mambo yote haya mbona hatusikii ni muhadhiri mwandamizi wa uchumi Harvard University 😀😆😀
 
Ila Watz tuna shida kubwa baadhi yetu,badala ya kujivunia nchi yetu wanaanza siasa.
Huko kenya government inapea watu wake food?
Je hakuna maskini?
Kupinga kila kitu ni ujinga
Tofauti yetu na Wakenya ni kuwa Wakenya wanajivunia nchi yao,yakija mazuri wanaungana wote,watz baadhi yetu chuki tu.
Maendeleo hayana chama.
 
Lkn mbowe kudanganya kapigwa mkatii kama nyumbu mlivyo.
Kumbe alilewa.

Boss kiwango changu cha kujitambua kiko juu kupita maelezo. Sakata la Mbowe nimesema zaidi ya moja, kuwa maelezo ya Mbowe yanaonyesha kuna kitu anaficha, na polisi, bunge nk hawasemi kweli. Nikawa nataka CCTV footage ili nijiridhishe, maana siamini pande zote 2. Na hizo post zangu ziko humu humu jukwaani. Lakini ww umeamini kinachotamaniwa kiaminike toka upande wa serikali. Lakini hadi tunaingia mitamboni, hakuna CCTV footage ili nijiridhishe na maelezo ya Mbowe au polisi.
 
Back
Top Bottom