Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Hawa Chadema kwanini wanapinga kila kitu? Kwanini serikali inawaangalia tu
Uchumi wa kati si tunatakiwa tuufil kwenye maisha boss,maisha magumu mikaratasi ituaminishe kwamba tumetoka tulipo na tumepanda huku hatuoni mabadiliko, ni uhayawani.
 
Chizi wewe....

Uchumi wa tz hauko kama unavyotaka kuonesha... i know what is GDP.... nina degree...

Jifunze sababu ambazo GDP sio kipimo kizuri cha uchumi Tanzania...... nikupe moja? Unrecorded productions hasa vijijini ni kikwazo nk..


Tunajua kuliko wewe ila hatupendi show off za kijinga kama zako..[emoji3][emoji3]
Hatimae umethibitisha ulivyo mweupe na kwamba hakuna unachojua! Kwani hizo pesa zinazotumika kujengea miuondombinu haziwi accounted? Seems hujui even what's GDP!!
 
Chizi wewe....

Uchumi wa tz hauko kama unavyotaka kuonesha... i know what is GDP.... nina degree...

Jifunze sababu ambazo GDP sio kipimo kizuri cha uchumi Tanzania...... nikupe moja? Unrecorded productions hasa vijijini ni kikwazo nk..


Tunajua kuliko wewe ila hatupendi show off za kijinga kama zako..[emoji3][emoji3]
Angalia unavyoendelea kudhihirisha ujinga wako pamoja na kujigamba kwamba una degree as if kuna mtu amekuuliza!!

Sasa hiyo degree ina maana gani kwako wakati unadai uchumi uli-slow kwa sababu ya infrastructure development as if hizo pesa zinazotumika haziwi accounted?!

Hiyo degree ina maana gani kwako unaposema GDP sio kipimo kizuri cha uchumi wakati hapa tunajadili masuala ya GNI? Btw, infrastructure development inaathiri vipi ukuaji wa GNI?

Kwamba unrecorded productions ya vijijini ni kikwazo... ina maana hiyo unrecorded productions ya vijijini imeanza baada ya JPM kuingia madarakani?

Ingawaje umejigamba eti unajua ila hupendi show off ulichofanya ni kudhihirisha ujinga wako na kuonesha hata hiyo degree yenyewe ni zile za matunda ya kukariri!
 
Kwahivyo wivu wako wa kike ni kwa ajili ya Magufuli?[emoji3][emoji3][emoji3]... ana 5 more to go..
Mtayamba mafi[emoji3][emoji3][emoji3]

Sina cha kuongea nawewe....

Wasomi wengi sio wajivuni na wajuaji kama wewe... tumetulia tu....

Mjinga hudhani anajua....[emoji3][emoji3][emoji3]..

Shakespeare sijui alimaanisha nn?
Angalia unavyoendelea kudhihirisha ujinga wako pamoja na kujigamba kwamba una degree as if kuna mtu amekuuliza!!

Sasa hiyo degree ina maana gani kwako wakati unadai uchumi uli-slow kwa sababu ya infrastructure development as if hizo pesa zinazotumika haziwi accounted?!

Hiyo degree ina maana gani kwako unaposema GDP sio kipimo kizuri cha uchumi wakati hapa tunajadili masuala ya GNI? Btw, infrastructure development inaathiri vipi ukuaji wa GNI?

Kwamba unrecorded productions ya vijijini ni kikwazo... ina maana hiyo unrecorded productions ya vijijini imeanza baada ya JPM kuingia madarakani?

Ingawaje umejigamba eti unajua ila hupendi show off ulichofanya ni kudhihirisha ujinga wako na kuonesha hata hiyo degree yenyewe ni zile za matunda ya kukariri!
 
Pesa being accounted niliongelea kuhusu hali za watu kukosa pesa mifukoni na kuyumba kwa uchumi binafsi....

Punguza ulimbukeni...

TZ siku hizi degree tunauzia karanga... umebaki peke yako the analyst wa JF...
Unnecessary show off....

Endeleeni kusema chichiem hakuna wachomi...[emoji3][emoji3]

Naamini huna ajira rasmi... kinda fustrated like madafaka[emoji3][emoji3]
Angalia unavyoendelea kudhihirisha ujinga wako pamoja na kujigamba kwamba una degree as if kuna mtu amekuuliza!!

Sasa hiyo degree ina maana gani kwako wakati unadai uchumi uli-slow kwa sababu ya infrastructure development as if hizo pesa zinazotumika haziwi accounted?!

Hiyo degree ina maana gani kwako unaposema GDP sio kipimo kizuri cha uchumi wakati hapa tunajadili masuala ya GNI? Btw, infrastructure development inaathiri vipi ukuaji wa GNI?

Kwamba unrecorded productions ya vijijini ni kikwazo... ina maana hiyo unrecorded productions ya vijijini imeanza baada ya JPM kuingia madarakani?

Ingawaje umejigamba eti unajua ila hupendi show off ulichofanya ni kudhihirisha ujinga wako na kuonesha hata hiyo degree yenyewe ni zile za matunda ya kukariri!
 
Pesa being accounted niliongelea kuhusu hali za watu kukosa pesa mifukoni na kuyumba kwa uchumi binafsi....

Punguza ulimbukeni...

TZ siku hizi degree tunauzia karanga... umebaki peke yako the analyst wa JF...
Unnecessary show off....

Endeleeni kusema chichiem hakuna wachomi...[emoji3][emoji3]

Naamini huna ajira rasmi... kinda fustrated like madafaka[emoji3][emoji3]
Angalia unavyozidi kudhihirisha uzuzu wako!

Kwamba pesa being accounted uliongelea kuhusu hali za watu kukosa pesa mifukoni... kuna mahali nimeongelea kuhusu pesa mifukoni?!

Na hata kama ningekuwa nimeongelea, kwani huko kwenye infrastructure development watu hawalipwi?! Na kama wanalipwa, how come infrastructure development iathiri mifuko ya watu?! Pamoja na kujigamba kwako kwamba una degree wakati hakuna aliyekuuliza, what do you know aboout multiplier effect in the economy?

Kwamba siku hizi degree mnauzia karanga, ina maana kuuzia karanga ndo kunakufanya uwe zuzu usiyejua ulichofundishwa darasani?!

Degree yako kuuzia karanga kuna uhusiano gani na kukufanya ushindwe kuelewa kwamba infrastructure development haiwezi kusababisha watu kutokuwa na pesa mifukoni, sana sana, as a result of multiplier effect, kutasababisha watu kuwa na pesa mifukoni!!

Mimi kutokuwa na ajira rasmi kuna uhusiana vipi na nyie kutumia degree zenu kuuzia karanga?! Btw, how come nitakuwa na ajira rasmi kama unavyodai wakati Ikulu kuna Boya anayevuruga uchumi?

Hivi una akili kweli wewe?!

We baki tu kuimba mapambio lakini every time unavyojaribu kuthibitisha kwamba wewe ni msomi ndo kwanza unaendelea kuthibitisha ujinga wako! Mbaya zaidi, unahangaika ku-prove kitu ambacho hakuna aliyekuhoji ikiwa unacho!
 
Wanatamani wampigie simu pompeo, ili Tanzania tutolewe
[emoji23]
tapatalk_1593528776616.jpeg
 
Kwahivyo wivu wako wa kike ni kwa ajili ya Magufuli?[emoji3][emoji3][emoji3]... ana 5 more to go..
Mtayamba mafi[emoji3][emoji3][emoji3]

Sina cha kuongea nawewe....

Wasomi wengi sio wajivuni na wajuaji kama wewe... tumetulia tu....

Mjinga hudhani anajua....[emoji3][emoji3][emoji3]..

Shakespeare sijui alimaanisha nn?
Very stupid! Kumbe shida yote kisa kasemwa Magufuli?! Yaani Jiwe akisemwa unaumia kuliko hata anavyoumia Mama Jannet!! Au ni nyumba ndogo ya Jiwe wewe?!

Kuna mahali popote niliposema mimi ni msomi au unasumbuliwa na inferioty complex?

Btw, unadai huna cha kuongea na mimi, ulishawahi kuona na-quote posts zako wewe?! Every time naingia kwenye mijadala na wewe ni pale unaposhobokea posts zangu hasa unapoona JPM kapewa za uso!

Na ukweli ni kwamba, huwa sipendi kabisa mijadala na mazuzu aina yako sema kwavile huwa mnani-quote huku mara zote mkisindikiza na matusi juu, hapo nakosa namna na kulazimika kuwajibu!

That being said, if you stop quoting me, itakuwa umenifanyia favor moja kubwa sana kuliko kuishia kusema huna cha kuongea na mimi!!
 
Kwani shida ni nini? Hutaki Tanzania kuwa uchumi wa hati au vipi? Uchumi kukua haujawahi kumaanisha wananchi watakuwa na hela mfukoni. Ndio maana nimekutolea mfano marekani ambayo ni giant kwa uchumi lakini bado kuna watu wanaishi maisha duni ndani ya hiyo nchi ambapo nilitegemea wananchi wote wangefurahia maisha. Na kiuhalisia nchi yoyote ambayo inafikia level ya uchumi wake kuanza kuwa katika level hiyo lazima wananchi wapige kazi kiuhakika ili maisha yaende vinginevyo watakuwa maskini wa kutupwa. Fuatilia Afrika ya kusini ambayo ni Giant wa Afrika kiuchumi kama wananchi wake wanapata hizo huduma zote unazozitaja. Nafikiri unakumbuka kwa nini walianza kuwafukuza waafrika wenzao na kuwadhuru wakati nchi inaaminika ina uchumi mzuri na unaokuwa kwa kasi.


Kuhusu kuniomba au kukuomba chochote hiyo ni wewe unaesema na ni msimamo wako wala mimi sikufika huko. Kwa mimi nafikri kuna kazi imefanywa mpaka kufika hapo.
Kuligana na maelezo yako marefu nini sasa kinatufanya tuingie kwenye uchumi wa kati na wakati kiuhalisia siyo kweli? huduma za msingi zote hapo kijijini kwenu mnapata? tuongee kitaalamu na siyo kishabiki
 
Ukiwa huna insurance marekani wanatibiwaje? Only ICU utapokelewa bure na ukitoka bill yako itafuata.

Foleni ya hospitali za bure USA sijui masaa mangapi[emoji3][emoji3] hutoamini..

Na bongo hospitali hakuna dawa wakati wenzetu hospitali unaambulia cheti kajinunulie mwenyewe huko...

Hayo maji bei mbaya...

Barabara shida ipo na msongamano upo ndio maana wanazijenga kila siku... hazijawahi kuwa comfortable as u might think. Huko vijijini za vumbi zipo na zinatope..

Usisahau kuwa kuna za kulipia nyingi sio bure

Shule bure ila kama za kata bongo kwa maana ya utoaji elimu (majengo safi)... wenye uwezo wanatafuta maeneo yenye shule nzuri.. maskini ni kayumba kama kawa... drugs na kukosa walimu na vitabu kama tz.

Huo umeme sio bure..

Infwakt unaongelea nchi la kibepali hivyo kutolalamika kunatokana na kununua...

Kwetu kuna element ya ujamaa .. bei ziwe chini/huduma ikitegemea subsidizes
Usinidanganye mkuu mimi siyo kilaza kama unavyoamini, kama sisi tunalingana huduma za jamii na Marekani au nchi za Ulaya kwanini tunaenda kuomba kwao misaada?
 
Ungebisha kitu specific ningekuelewa boss..

Oprah alitukanwa kujenga shule South wakati US wana starve...

Hiyo misaada ni biashara zao za dhambi... iba billions warudishie elfu 10 tena mkopo ambao nao una riba kubwa. WB na IMF haziko kusaidia mkuu...
Usinidanganye mkuu mimi siyo kilaza kama unavyoamini, kama sisi tunalingana huduma za jamii na Marekani au nchi za Ulaya kwanini tunaenda kuomba kwao misaada?
 
Sisomi pumba zako... you are da schupidiest ever

Jf itaanza kulipa wanaoandika matakataka marefu kama wewe... good job..

Itaokoa ukosefu wako wa ajira[emoji3]

Www.jinga.com

Very stupid! Kumbe shida yote kisa kasemwa Magufuli?! Yaani Jiwe akisemwa unaumia kuliko hata anavyoumia Mama Jannet!! Au ni nyumba ndogo ya Jiwe wewe?!

Kuna mahali popote niliposema mimi ni msomi au unasumbuliwa na inferioty complex?

Btw, unadai huna cha kuongea na mimi, ulishawahi kuona na-quote posts zako wewe?! Every time naingia kwenye mijadala na wewe ni pale unaposhobokea posts zangu hasa unapoona JPM kapewa za uso!

Na ukweli ni kwamba, huwa sipendi kabisa mijadala na mazuzu aina yako sema kwavile huwa mnani-quote huku mara zote mkisindikiza na matusi juu, hapo nakosa namna na kulazimika kuwajibu!

That being said, if you stop quoting me, itakuwa umenifanyia favor moja kubwa sana kuliko kuishia kusema huna cha kuongea na mimi!!
 
Kuandika sana sio busara... ni ukosefu wa ajira[emoji3][emoji3]

Minyumbu mijinga sana
Angalia unavyozidi kudhihirisha uzuzu wako!

Kwamba pesa being accounted uliongelea kuhusu hali za watu kukosa pesa mifukoni... kuna mahali nimeongelea kuhusu pesa mifukoni?!

Na hata kama ningekuwa nimeongelea, kwani huko kwenye infrastructure development watu hawalipwi?! Na kama wanalipwa, how come infrastructure development iathiri mifuko ya watu?! Pamoja na kujigamba kwako kwamba una degree wakati hakuna aliyekuuliza, what do you know aboout multiplier effect in the economy?

Kwamba siku hizi degree mnauzia karanga, ina maana kuuzia karanga ndo kunakufanya uwe zuzu usiyejua ulichofundishwa darasani?!

Degree yako kuuzia karanga kuna uhusiano gani na kukufanya ushindwe kuelewa kwamba infrastructure development haiwezi kusababisha watu kutokuwa na pesa mifukoni, sana sana, as a result of multiplier effect, kutasababisha watu kuwa na pesa mifukoni!!

Mimi kutokuwa na ajira rasmi kuna uhusiana vipi na nyie kutumia degree zenu kuuzia karanga?! Btw, how come nitakuwa na ajira rasmi kama unavyodai wakati Ikulu kuna Boya anayevuruga uchumi?

Hivi una akili kweli wewe?!

We baki tu kuimba mapambio lakini every time unavyojaribu kuthibitisha kwamba wewe ni msomi ndo kwanza unaendelea kuthibitisha ujinga wako! Mbaya zaidi, unahangaika ku-prove kitu ambacho hakuna aliyekuhoji ikiwa unacho!
 
Ungebisha kitu specific ningekuelewa boss..

Oprah alitukanwa kujenga shule South wakati US wana starve...

Hiyo misaada ni biashara zao za dhambi... iba billions warudishie elfu 10 tena mkopo ambao nao una riba kubwa. WB na IMF haziko kusaidia mkuu...
Tuache ushabiki wa kijinga sisi bado sana huduma zetu ni duni, kama Marekani na Ulaya tunalingana nao tumewahi kuwapa misaada kama wao wanavyotoa, nashauri udanganye wajinga wenzako huko mkuu.
 
Back
Top Bottom