ndio wanaweza kununua bonds , meaning kwa shillingi yako at 6% interest they earn roughly shillingi tano plus interests , banks make money by multiplying your own deposits, mfano unaenda benki unaweka sh200000 , mmeaning on paper they have debt equivalents za sh 2000000 kutoka kwa pesa zako ww , ukikopa watakupa kulingana na deposits zako , na wankucharge interest , kama sio wizi wa wazi ni nni hicho.
sema katika shule nyingi hata za accounting watu hufunzwa kuhusu accounts tu , ila the creation and cycle of money ni somo limefichwa ,wengi wangejua revolt ingefanyika .