Nchi ya kuuana tunaelekea kubayaView attachment 2618772
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.
Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.
Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Mungu ampokee mja wakeView attachment 2618772
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.
Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.
Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Wakati Msiba Ukiwa Chatle kwao ilikuwa sherehe. Kwao Ulikuwa wakati wa kugonga cheeers wakati Watanzania wengine wakilia kwa uchungu na kuvunja mageti ya Airport wakitaka kumuaga shujaa wao.
Kwao ulikuwa wakati wa kupanga mikakati ya kupora rasilimali za Nchi.
Kwao ulikuwa wakati wa kutamka maneno ya shombo, kejeli, vijembe na hata kufadhili uandishi wa Vitabu vya kufuta Legacy ya Mwanachatle.
Kwenu ulikuwa wakati wa Kuanza kuwasulubu wapenda heri wote waliokwamisha ajenda zenu.
Mlienda mbali zaidi mkatamka WAZURI HAWAFI.
Watanzania tuliwaona kwa macho na kuwaskia kwa maskio yetu. Kuna Vifo vikitokea nasisi wanyonge hatuna budi kuuulizana hawa watu si walisema Wazuri hawafi?? Imekuaje? Na badoooo
Rufaa kwa mtu ambae hakutokea kabisa mahakamani? Kumbuka musiba alidharau mahakama na hakuitikia wito, pia hukumu ilitoka toka mwaka jana na hakuna rufaa ilikatwaHuwa wanaacha kwanza hadi muda wa kukata rufaa upite.
Wema huwa hawafiView attachment 2618772
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.
Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.
Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Yahwe hawezi kumuadhibu Mwafrika kwa sababu yeye mwenyewe asili yake Afrika.Sasa kwa Mungu wote mnaingia kapu moja, hutaachwa kwa kuwa wewe ulikua mpagani
Wewe tulia, muhusika kaondoka. Familia wala haitaendelea na hili. Wao wanaachana nalo hili.Ninajua kuna kurithi wadai na wadaiwa.Ila kwa hili la kesi ya Musiba,Familia inaliacha linaondoka na aliyepeleka kesi.
Anadai mtu fidia ya Billion 9 utadhani aliwasiliana na MUNGUView attachment 2618772
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.
Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.
Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Jiwe yupo binguni aliombewa mpaka na mapadri.huyo alikataa kutubu Kwa kusamehe Acha aende kusulubiwa.Jiwe pia anasurubiwa huko
Hasira za niniSasa Musiba kifo cha Membe ndio kitaondowa jukumu ya mahakama?
Hizo pesa ni mirathi ya familia, maumivu ya Musiba yako palepale.
Akidai Mungu ataamua ugomvi
Kwa nn pahali salama? Matendo yake uliyajua mpaka useme pahali salama? Kulala pema peponi ni kazi ya MUNGU pekeeaisee, apumzike pahali salama huko aliko
Ila kusema ukweli, membe alikuwa anaumwa kitambo sema mambo ya pesa tu. Nakumbuka 2018 au 2019 nilikutana nae nmb pale lindi akiwa na gari yake flani ya kibabe hivii; alionekana dhaifu sana.
Nilikutana nae tena Dar, 2022 mwanzoni, alikuwa amedhoofu zaidi......kuna kitu kilikuwa kinamsumbua yule, trust me!!
kwenye msiba inabidi uwe mnafiki kidogoKwa nn pahali salama? Matendo yake uliyajua mpaka useme pahali salama? Kulala pema peponi ni kazi ya MUNGU pekee