TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Kwa Lugha nyepesi kabisa na hili liweze kufahamika kwamba kwa namna yoyote ile utawala wa chama kile umefika ukomo, kwani hata huyu angekuwa kiongozi wa nchi, saizi taifa lingekuwa kwenye maombolezo.

Hizi ni ishara tu na kama kutakuwa kuna kulazimisha kubaki katika utawala baada ya miaka 40 ya kuanzishwa kwao na kutawala kwao basi tutasikia wengi wakiwahi viwanja.

Kwa wasomaji wa Biblia, kuanzia kitabu cha mwanzo mpaka ufunuo, tawala za watu mbalimbali wakiwemo kina Mussa, Suleiman na wengineo wengi zilikuwa ni miaka 40. Miaka 40 kwa nchi yetu na chama kile iliishia 2017 na ilipotokea kulazimisha mambo wote twajua yaliyotokea.

Asikiaye na Afahamu.
 
View attachment 2618772

Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.

Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.

Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Nchi ya kuuana tunaelekea kubaya
 
View attachment 2618772

Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.

Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.

Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Mungu ampokee mja wake
 
Wakati Msiba Ukiwa Chatle kwao ilikuwa sherehe. Kwao Ulikuwa wakati wa kugonga cheeers wakati Watanzania wengine wakilia kwa uchungu na kuvunja mageti ya Airport wakitaka kumuaga shujaa wao.
Kwao ulikuwa wakati wa kupanga mikakati ya kupora rasilimali za Nchi.
Kwao ulikuwa wakati wa kutamka maneno ya shombo, kejeli, vijembe na hata kufadhili uandishi wa Vitabu vya kufuta Legacy ya Mwanachatle.
Kwenu ulikuwa wakati wa Kuanza kuwasulubu wapenda heri wote waliokwamisha ajenda zenu.
Mlienda mbali zaidi mkatamka WAZURI HAWAFI.
Watanzania tuliwaona kwa macho na kuwaskia kwa maskio yetu. Kuna Vifo vikitokea nasisi wanyonge hatuna budi kuuulizana hawa watu si walisema Wazuri hawafi?? Imekuaje? Na badoooo



Labda ni kutokana Na matendo ya mtu alipokuwa hai,

Tuishi kwa kutendeana mema na haki.
 
Huwa wanaacha kwanza hadi muda wa kukata rufaa upite.
Rufaa kwa mtu ambae hakutokea kabisa mahakamani? Kumbuka musiba alidharau mahakama na hakuitikia wito, pia hukumu ilitoka toka mwaka jana na hakuna rufaa ilikatwa
 
View attachment 2618772

Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.

Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.

Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Wema huwa hawafi
Pumzika kwa amani
 
Wewe tulia, muhusika kaondoka. Familia wala haitaendelea na hili. Wao wanaachana nalo hili.Ninajua kuna kurithi wadai na wadaiwa.Ila kwa hili la kesi ya Musiba,Familia inaliacha linaondoka na aliyepeleka kesi.


Ghadhabu ya Mungu itafanya kazi yake!
 
View attachment 2618772

Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.

Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.

Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Anadai mtu fidia ya Billion 9 utadhani aliwasiliana na MUNGU
 
Hapo hakuna mba mba mba ni zamu yake imefika tu,
Hayo mengine ni hisia za walimwengu tu
 
Ila kusema ukweli, membe alikuwa anaumwa kitambo sema mambo ya pesa tu. Nakumbuka 2018 au 2019 nilikutana nae nmb pale lindi akiwa na gari yake flani ya kibabe hivii; alionekana dhaifu sana.

Nilikutana nae tena Dar, 2022 mwanzoni, alikuwa amedhoofu zaidi......kuna kitu kilikuwa kinamsumbua yule, trust me!!


Propaganda za kuzugia watu hizi au ?
 
Back
Top Bottom