myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
AiseeHuyu kuna mtu kaposti twitter alienda kula lunch naye siku 3 zilizopita nadhani ni Serena Hotel kwa mandhari ya nje. Membe alikuwa fiti tu. Aisee, alikuwa anajiamini namna hiyo hadi kuagiza chakula hotelini wakati anajua ana unfinished business na mtu hatari kama Musiba?
Hahahaa daah... kwa taarifa yako membe alimshinda Musiba Mahakamani wakati magufuli alikua madarakani, hukumu imekaziwa kipondi hiki tu.Hawakumshtaki kipindi kile kwa kuwa Musiba alikuwa anatumiwa na Magufuli kutukana watu, so alikuwa anamkingia kifua. Hakuna hakimu wala jaji angeweza kuwagusa team Magufuli na Sukuma Gang.
Lakini kama mahakama imemuonea mbona mwenyewe hajakata rufaa badala yake alikuwa anatuma watu kumuombea msamaha kwa Membe? Why?
Hatimaye umejitokeza kwa rangi yako halisiBahati nzuri ufundi wa MUNGU hautaishia kwa Membe tu, utaendelea...
Furaha ya leo ni ya kulazimisha tu kwa kuwa hakuna mtu aliyekuwa kwenye utumwa kwa Membe kuwa hai.
Nahisi ametangulizwa.Duh,imekuwa ghafla mno.Lakini alikuwa mwiba kwa establishment,hasa Magufuli,na ana mvuto zaidi kwa watu makini,ingawa alikuwa na makando kando yake hasa tuhuma za ufisadi.Mvuto wake inawezekana umechangia katika kifo chake.Nahisi pia Musiba ana mkono wake hapa kama ni kweli.Anyway R.I.P Membe,chenye mwanzo lazima kiwe na mwisho.Kama wamemtanguliza watamfuata
Hivi kama ile kitu imesharudi tena kwanini wanaohusika wanashindwa kuwaambia watu Angalau wachukue tahadhari hasa wale wa umri mkubwa na wale wenye underlying heath problems ??!!Aisee pole sana wahi matibabu
kuna mahali nilikuwa natumia rangi bandia??Hatimaye umejitokeza kwa rangi yako halisi
Basi waache wanaoshangilia washangilie. Wana Sababu zao kama wale walioshangilia kifo Cha JPM. Twendeni hivyo hivyo tutafika tu.Hakuna aliyeshangilia kifo chake, ila watu walishangilia kuondoka kwenye kongwa la mateso.
Magufuli alikuwa na mazuri yake lakini pia alikuwa na mabaya yake mengi sana hasa lilipokuja suala la haki za binadamu.
Kama kuna anayemtukana mtu basi hiyo ni tabia binafsi ya mtu na wala si watu wote ni watukanaji!!
Ambazo nazo zinakukataa. Unafikia hauna rangikuna mahali nilikuwa natumia rangi bandia??
Kuna wakati nasoma haya maneno nashindwa kuelewa jambo vizuri.. Tumaini,hivi unaona ni sawa mpaka leo tuwaseme vibaya akina Amin.Hakuna mtu anashangilia kifo cha mtu ila ktk hili ni SoMo kwetu hasa wale waliopo ona Magufuli amefariki wakaona ndio muda wakumnanga na kumsema...
Una hoja usikilizwe, kwanini Membe hakwenda Mzena hali ya kuwa ni mtumishi wa ile idara?Buriani Membe. Aliugua ghafla usiku au ilikuwa ni maradhi ya siku nyingi?
Lakini kwa umri wake miaka 70 huwezi kumwita kijana.
Halafu yenye ni kiongozi wa Kitaifa lakini hakwenda hospitali ya Mzena ingawa ipo equidistant na Kairuki kutoka pale nyumbani kwake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wanavojitilisha huruma km sio wao vileeee.Makinda wake wanalia tu humu kama mapaka yanataka kupandana[emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu ataamua na kuingilia katiMkwala wewe huwa huujui? Siasa hizo.
Mimi sina rangi.Ambazo nazo zinakukataa. Unafikia hauna rangi
kikubwa sasa ni kuomboleza tu, utajifariji na yoote ila ishatokeaWakati alidhulumu uchaguzi na kuingiza wabunge feki 19 Bungeni kwa rushwa ya ngono wakishirikiana yeye na Job Ndugai.
Hakuna kitu hapo mkuu,kwani Mahakama ziko chini ya nani na unamjua aliyem-kolimba Membe?Akili kichwani.Daah sasa itakuwaje?
Ndio maana Musiba hakuwahi kujitokeza kumuomba Marehemu Msamaha!!
Ila kama kesi imeshatokewa maamuzi wanasheria naombeni ufafanuzi utekelzaji wake unakuwaje?
Mkuu siyo shida tu bali atakuwa mgonjwa kabisa.Unataka chama gani kiingie madarakani ? Kama ni hv vya akina Chadema basi utakuwa na shida kubwa kwenye ubongo
Inategemea na kesi ya mahakama iliandikwa nani anadai.msimamizi wa mirathi anayo haki ya kudai wakati wakukusanya mali na madeni.