Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Katika ulimwengu wa saa na habari za kurekodi. One two Microphone check maana yake ni kufanya jaribio la kurekodi kuona kama mitambo yote iko sawa
 
One two = tarehe 12
Microfone check = kipaza atakachotumia kitawekwa mambo.
Hayo mambo yatasukuma hadu tarehe 12 Leo.
 
Mashavu yamekushuka.

Jifunzeni kuacha ujuaji.
Atakaeteuliwa kusimamia Mirathi ataendelea nae mpaka kieleweke! Hii sio kesi ya jinai so akuna kitakacho haribika dawa ya Deni ni kulipa tu akuna mbadala! Mirathi ya Uncle Membe (RIP) ikitoka tu tunaendelea nae. Mazishi Jumanne Kijijini Kwake tujumuike kumzika Kiongozi na ndugu yetu
 
Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Hili suala wahusika wasilichukulie poa, this is a testament that Magufuli/ Sukuma gang is still alive and kicking in Spite of their GODFATHER sleeping six feet under somewhere in CHATTLE!
Mjomba inabidi aanze kupiga RAMLI!
 
JF weka mbali n watoto mkuu... Ni kama Dark web now days
 
Uliwahi andika ktk Uzi Ule Kuwa Anapofariki Rais akiwa madarakani kuwa Nchi Huwa inakuwa ktk Hali ya hatari Kwa kipindi kisichojulikana.

Ulipuuzwa kama kawaida ya wadanganyika.
 
Mpk sasa iv nani ni mdogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…