For those who are close to power, this is a wake up call!! Mama should not hesitate to take action whenever duty calls otherwise any delays could be costly!! Sio wote walio karibu nae wanamtakia mema!!e, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?
Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.
Vipi hapo boosKila kiongozi wa serikali atakayebainika kumsaidia Musiba "tutashighulika" naye
Busara hizo [emoji119][emoji119]Ngoja niupe muda wakati
Hakimu atajitoaHapana. Kwa Sasa mahakama ndio inayopiga mnada kwa kutumia Court Broker.
Mwandishi amefanikiwa nadhani kufikia leo sa 2 asubuhMtoa mada unamuharibia Musiba asisamehewe. Kwanza , unaitisha mahakama isifanye kazi yake. Pili, unataka kumuonesha Membe Kuna watu wakubwa zaidi yake.
Shkamoo Jasusi.
Nimeelewa hapo kwenye "ONE TWO MICROPHONE CHECK".
Leo ni tarehe 12 (ONE TWO). Ahsante sana.
Lakini hapo kwenye "MICROPHONE CHECK" sijaelewa vizuri Kaka Jasusi.
Hii ni aina ya NOTIFICATION ama?
MICROPHONE CHECK?
ONE TWO MICROPHONE CHECK?
TAREHE 12 KIPAZA SAUTI KINADEDISHWA. [emoji50]
Ama, MICROPHONE maana yake ni TAARIFA YA HABARI?
Tarehe 12 TAZAMA TAARIFA YA HABARI, MTU ANADEDISHWA.
Musiba haingii hata robo ya Membe. Au udogo unaupima kwa lipiMpk sasa iv nani ni mdogo?
AiseeeeNilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
Haaaaah!! Mwanangu hawa jamaa kumbe ni kweli wanauwana?Shkamoo Jasusi.
Nimeelewa hapo kwenye "ONE TWO MICROPHONE CHECK".
Leo ni tarehe 12 (ONE TWO). Ahsante sana.
Lakini hapo kwenye "MICROPHONE CHECK" sijaelewa vizuri Kaka Jasusi.
Hii ni aina ya NOTIFICATION ama?
MICROPHONE CHECK?
ONE TWO MICROPHONE CHECK?
TAREHE 12 KIPAZA SAUTI KINADEDISHWA. [emoji50]
Ama, MICROPHONE maana yake ni TAARIFA YA HABARI?
Tarehe 12 TAZAMA TAARIFA YA HABARI, MTU ANADEDISHWA.
Mkuu hii Ngoma Bado mbichi, Hawa wana mitandao watamalizana.usishangae watoto wa mjini wakajibu mapigo kwa kuwalaza chini wawili au watatu kwa mpigo.Hapana chanjo za kovidi zimegandisha damu ....mtuhumiwa ni chifu aliye leta chanjo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umebaki wewe!Hahahaaa!! Bora alishuhudia JIWE kufa baadae YY kafaliki.Sema nilitamani nae BENJA ashuhudie JIWE kufa sema ikashindikana.
Ungehitaji sehemu maalumu ili uwe na nafasi kama ya Tumainiel endapo ungedadavua hivi kabla ya tukio la Leo. Hata hivyo, upo fit.Shkamoo Jasusi.
Nimeelewa hapo kwenye "ONE TWO MICROPHONE CHECK".
Leo ni tarehe 12 (ONE TWO). Ahsante sana.
Lakini hapo kwenye "MICROPHONE CHECK" sijaelewa vizuri Kaka Jasusi.
Hii ni aina ya NOTIFICATION ama?
MICROPHONE CHECK?
ONE TWO MICROPHONE CHECK?
TAREHE 12 KIPAZA SAUTI KINADEDISHWA. [emoji50]
Ama, MICROPHONE maana yake ni TAARIFA YA HABARI?
Tarehe 12 TAZAMA TAARIFA YA HABARI, MTU ANADEDISHWA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fatma ni mtu mdogo sana nadhani hana hata mpango wa kudai
Thubutuuuuuu, watoto wa kariakoo watabagazwaa na wa linguse nguse hadi waite maji mma.Mkuu hii Ngoma Bado mbichi, Hawa wana mitandao watamalizana.usishangae watoto wa mjini wakajibu mapigo kwa kuwalaza chini wawili au watatu kwa mpigo.
Kama move vile kumbe kweli.
Mkuu amini usiamini kuna watu wana midomo mibaya, wakisema yanakuwa kweli! Kwa kweli hata mimi kuanzia leo, natangaza rasmi kumheshimu Bwana Mkubwa TumainEl. Much respect to you brother!hii comment ni ya tarehe 30 April leo Membe Character mkuu anafariki. hakika JF ina mambo mazito
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha kale ka clip kake kalikovuja!Rahaaaaaa, afu mabao yote yamefungwa kwa free kick. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini kwa nini na yeye alifanya sherehe?Muulize TumainiEl anajua masuala ya intelligence kutoka ndani huko deep state family juu ya nini wanachofanyiana umafioso kwa kwenda Mbele hizo Gambino family ukizingua bila tahadhari unaingizwa kwenye Butcher, sasa wanachodai wao eti Mzee Membe wakati wa kifo Cha ankari Magu alifanya sherehe yaan jamaa ndio wameshikia hapo, wanasema kwamba km alifanya sherehe kifo Cha Magu basi na yeye wana haki ya kumuua na kumpoteza kabisa na mazima, according to deep state family members in JF