Waambie watamuona tu, na hiyo Corona waliyoiandaa itawarudia iwaue wenyewe.Cyprian Musiba kaandaa watu wawili wenaoumwa corona akifika Tundu lisu watawekwa nao jela wamuambukize wasingizie kaja na corona toka ulaya zipo njama lukuki za kumkwamisha Tundu lisu, CCM kwa gharama zozote hawataki kumuona Tundu lisu jukwaani kipindi chote cha kampeni.
Huna adabu na nchi na watanzania weye😂😂Kama chizi basi muacheni apeperushe bendera ya upinzani mwaka huu.
Mnamuogopa TUNDU LISSU kuliko hata mnavyokiogopa kifo. Tulieni tu Huyu ndo msiyempenda na ndo amekuja sasa.
Lumumba mnalo mwaka huu. Na kwa taarifa yenu ni kuwa msiyempenda TUNDU ANTIPAS LISSU ndo amekuja sasa.Uchaguzi wa mwaka huu membe ni karata nzuri sana kwa sababu zifuatazo
1. Lengo la chadema ni kupata viti vya wabunge na sio kusshinda urais
2. Membe hana makando kando kama wengine
3. Membe ana influence zaidi kuliko wagombea wengine
4. Tindu lissu sio karata nzuri kwa sababu karata yake ya risasi inaweza kuback fire.
5. Membe ana base kubwa ya watu wa kusini.
Ni kweli, hakuna sababu kumaliza nguvu kujadili huu ujinga wa kutunga.LOoo, hii ni JF kweli katika ubora wake!
Sawa, sio April mosi, lakini inashangaza sana kwa mtu kama wewe kujikuta unaingizwa porini tena mtu kilaza kama huyo aliyekupeleka huko!
Makala yenyewe ilivyoandikwa, lugha mbovu, hata hiyo tu isingekushtua hata kabla ya kumwangalia aliyeleta taarifa?
Kule kusoma 'Heading' tu ya habari yenyewe inakupa taarifa kamili ya yaliyomo ndani ya mada.
Nilikuwa naipita tu hadi nilipoona watu kama wewe mnazidi kuishabikia mada mfu kama hii. Ikanilazimu niache maoni yangu.
Chadema wamtumie kuwabeba huko kwenye mikutano yao lakini asiwe mgombea. Aongeze nguvu kwa Lissu Asante yake baadaeKama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.
CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.
Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
Acha kulialia....ww ni mmoja wa wale WATAKASA FEDHA wa zile Bureau de change?!!?Membe akiweza kuelezea haya vizuri nina hakika hata uchakachuaji wizi wa kura wakurugenziccm kutangaza washindi feki wataogopa, membe akijikita vizuri kuelezea mabaya ya CCM pasipo uoga nina imani ya Malawi yanaenda kutokea Tanzania, moja adai trilion 1.5 ambayo ilipelekea CAG kutolewa kafara, adai bilion 12 alizotafuna Ndungai peke yake, adai kibali cha kujenga Chato Airport adai idhini ya ununuzi wa Ndege. Ufanyike uchunguzi wa miradi yote mikubwa iliyofanyika kipindi hiki cha mtukufu na Naibu Rais, adai pesa cash, faini za mahakamaccm, madini yote vilivyokamatwa mipakani Bandarini Airport na kwingineko kote, adai vyote vyenye ufisadi ili watanzania watambue kuwa CCM ni ile ile ukoo wa panya hakuna malaika CCM wote ni wale wale kama wa zamani ingawa hawa wa sasa wanauma na kupuliza kidogo.
Miaka 5 hakuna nyongeza ya mshahara watumishi wa umma wametaabika mpaka kubuni mbinu za kisasa za kuiba ili wapate kujikimu, wizi unafanyika kwa mbinu ambazo watakuja kuzigundua miaka 6 ijayo kukiwa na Rais mwingine au hao hao endapo wataisigina katiba kama uganda.
Maendeleo ni lazima siyo Hisani za CCM siyo pesa binafsi inatoka mfukoni mwa CCM, maendeleo yanatokana na pesa za walipa kodi ambao wengi siyo wanachama wapenzi wa CCM, walipa kodi wengi ni watanzania wasio na vyama wala itikadi yeyote.
Kuing'oa CCM madarakani mwaka huu, na sio mwaka mwingine, ni hitaji la kila mtazania mwenye akili timamu na anayeishi kwa kujitegemea mwenyewe, na si kwa kurushiwa makombo na CCM. Ndani na nje ya CCM kuna hitaji kubwa la kukiondoa CCM madarakani ifikapo Oktoba 2020 kupitia sanduku la kura. yapo mazingira yanayomtofautisha Membe na Lowasa, ingawa inaweza kuwa vigumu kueleweka kwa wengi. Lakini, ilmradi waliodhamiria kukiondoa madarakani CCM mwaka huu ni pamoja na wanaCCM wenyewe, hata kama atakuwa Membe potelea pote ilimradi mpango ni kuking'oa chama katili na wakatili wake!Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.
CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.
Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
Duka moja la mchele likiiba mchele mnaenda kupora mchele kwenye maduka yote? na zile pesa ulichukua wewe inaelekea wewe ni mnufaika wa ile operation uliiba pesa nyingi sana hutaki warudishiwe kwa hofu ya kudaiwaA
Acha kulialia....ww ni mmoja wa wale WATAKASA FEDHA wa zile Bureau de change?!!?
Kwanza huyo Lisu akirudi namuonea huruma. Atapambana na kesi kila siku mahakamani. Waungane wapinzani wampe Membe, hii jaribu jaribu huwezi jua mkeka unaweza kutiki sababu CCM kipindi hiki wanajiona wameteka nchi ila kiukweli wananchi wameichoka hawaipendi na wanamaisha magumu. Uchaguzi mdogo vijijini wananchi waliwapotezea wanakuja na magari wanakatika watu wawili tu hamna mwananchi hata mmoja kila MTU maisha yamemkaba analalamika. Haya madege, madaraja, wakianza kujisifu CCM wananchi wote wanajua hayawasaidii kitu. DJ na Zitto watulie waamue kumpa ugombea Membe. Wapinzani hadi mda huu wanaogopa kujikusanya hata uwanjani kujadili mambo yao kisa utawala huu. Wampe huyo mzee ajaribu. Kipindi hiki cha jiwe ni Membe tu ndio anaweza akabweka lasivyo wajiandae kupata viti vitatu vya ubunge.
Miaka 5 hakuna nyongeza ya mshahara watumishi wa umma wametaabika mpaka kubuni mbinu za kisasa za kuiba ili wapate kujikimu, wizi unafanyika kwa mbinu ambazo watakuja kuzigundua miaka 6 ijayo kukiwa na Rais mwingine au hao hao endapo wataisigina katiba kama uganda.
Nikumbushe hv nyongeza za MISHAHARA kipindi Cha mh.kikwete kilikuwa kinaRANGE kiasi gn vile?!!!Miaka 5 hakuna nyongeza ya mshahara watumishi wa umma wametaabika mpaka kubuni mbinu za kisasa za kuiba ili wapate kujikimu, wizi unafanyika kwa mbinu ambazo watakuja kuzigundua miaka 6 ijayo kukiwa na Rais mwingine au hao hao endapo wataisigina katiba kama uganda.
Acha uzwazwa serikali haipori watu wake wee....serikali ya magufuli asiyetaka uonevu?!!!Duka moja la mchele likiiba mchele mnaenda kupora mchele kwenye maduka yote? na zile pesa ulichukua wewe inaelekea wewe ni mnufaika wa ile operation uliiba pesa nyingi sana hutaki warudishiwe kwa hofu ya kudaiwa
Uchaguzi wa mwaka huu membe ni karata nzuri sana kwa sababu zifuatazo
1. Lengo la chadema ni kupata viti vya wabunge na sio kusshinda urais
2. Membe hana makando kando kama wengine
3. Membe ana influence zaidi kuliko wagombea wengine
4. Tindu lissu sio karata nzuri kwa sababu karata yake ya risasi inaweza kuback fire.
5. Membe ana base kubwa ya watu wa kusini.
Wewe ndiyo zwazwa hizo kesi wanazobambikiwa wapinzani hufanywa kwa idd Amin dada?A
Acha uzwazwa serikali haipori watu wake wee....serikali ya magufuli asiyetaka uonevu?!!!
Waliokwenda NI Askari polisi....magufuli anawaogopa Askari polisi asiwakosoe huyu baba mwenye HURUMA?!! Thubutuu
Hii SI serikali ya IDD AMIN DADA na Mobutu kuku ngbendu wa zabanga😂😂😂
Yaani nilijamba kwa kukudharau....uliposema tu "ndani ya CCM Kuna hitajio la kuking'oa madarakani"......Kuing'oa CCM madarakani mwaka huu, na sio mwaka mwingine, ni hitaji la kila mtazania mwenye akili timamu na anayeishi kwa kujitegemea mwenyewe, na si kwa kurushiwa makombo na CCM. Ndani na nje ya CCM kuna hitaji kubwa la kukiondoa CCM madarakani ifikapo Oktoba 2020 kupitia sanduku la kura. yapo mazingira yanayomtofautisha Membe na Lowasa, ingawa inaweza kuwa vigumu kueleweka kwa wengi. Lakini, ilmradi waliodhamiria kukiondoa madarakani CCM mwaka huu ni pamoja na wanaCCM wenyewe, hata kama atakuwa Membe potelea pote ilimradi mpango ni kuking'oa chama katili na wakatili wake!
Au waende ccm wajiunge na wanaomwabudu binadamu mwenzaoKwa nini wajitoe? Wabaki humo humo kumpigia deki Membe barabara za lami.