Chaguo ni Tundu lisu lakini kazi ni vipi Tundu lisu atapenya kwenye mitego ya Naibu Rais Bashite na kikundi chake.Siamini kama CHADEMA hii itafanya tena kosa la kuleta MAOTEA ya CCM (au matawi yake) awe Membe au mwingine yeyote.
TUMESHAMALIZA kukisafisha chama kwa gharama kubwa sana, kwa kweli sitegemei kabisa tuletewe tena utani wa kukichafua.
Ikitokea sitaunga mkono ujinga huo. Amen.
Mzee wewe upo sayari ipi? au upo mwenzini haupo Duniani? Kama upo Duniani iweje umejitoa fahamu kiasi hicho?
ππππKumbe yale yakikuwa makosa? Mbona tuliwaambia mkatokwa na mapovu?
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Ninakubaliana na wewe katika hiyo hoja ya fursa ya kipekee iliyojitokeza safari hii ya kuiondoa CCM madarakani.Kuing'oa CCM madarakani mwaka huu, na sio mwaka mwingine, ni hitaji la kila mtazania mwenye akili timamu na anayeishi kwa kujitegemea mwenyewe, na si kwa kurushiwa makombo na CCM. Ndani na nje ya CCM kuna hitaji kubwa la kukiondoa CCM madarakani ifikapo Oktoba 2020 kupitia sanduku la kura. yapo mazingira yanayomtofautisha Membe na Lowasa, ingawa inaweza kuwa vigumu kueleweka kwa wengi. Lakini, ilmradi waliodhamiria kukiondoa madarakani CCM mwaka huu ni pamoja na wanaCCM wenyewe, hata kama atakuwa Membe potelea pote ilimradi mpango ni kuking'oa chama katili na wakatili wake!
ππππ
Pole BOY. Lissu onlyChadema party decision Makers doesn't want a poor candidate like Tundu Lisu for the presidential post!! Take it or leave it
Chadema was started by Rich people not poor people like Lisu
Lisu in chadema he is just a parasite ,consumer of Chadema money not producer or provider!! Ask how much he has contributed to Chadema financially and how much he has consumed!!!
Tundu Lisu is a liability to the party he has consumed more than what he has contributed !!!
Peni bwana,Chadema waliingia makubaliano na wenzao ktka vpngl hv;Ninakubaliana na wewe katika hiyo hoja ya fursa ya kipekee iliyojitokeza safari hii ya kuiondoa CCM madarakani.
Itakuwa ni udhaifu tu wa vyama vya upinzani ikishindikana kuiondoa mara hii.
Kazi yetu ni kupambana na huu ukandamizaji.Tusiukwepe. Ni Lissu tu.Chaguo ni Tundu lisu lakini kazi ni vipi Tundu lisu atapenya kwenye mitego ya Naibu Rais Bashite na kikundi chake.
Alafu wewe inaonekana unampenda sana Musiba na Le MutuzWatetezi wa CCM wapo gheto kwa cyprian Musiba na Le mutuz wanavuta Bangi kisha kukariri ujinga wao kisha kuja kusumbua watu mitandaoni, tizama utetezi wao wote unafanana kwa kuwa walimu wao ni vilaza watupu, wale CCM wachache wanaojitambua wamegoma kwenda kukariri ujinga Huko
Mpishi huyu bwana unakoroga tu propaganda....angalia mbona SUFURIA imetoboka lakini...Dereva wake hawezi kuja baada ya chadema kugundua akina cyprian Musiba walipeleka Bajeti kwa Naibu Rais wapewe bilion moja wampe Dereva wa lisu milion 500 amsariti Lisu wajipe milion 400 cha juu wapate kutengeneza propaganda kibao juu ya mbowe na kuichafua chadema, hakuna mwanachama wa chadema hajui njama hizo na wanajua chadema imekuwa mtaji wa madalali wa siasa huko CCM, kila dalali wa siasa hutumia chadema kama kisingizio kula pesa za CCM:
Hata chiswaheli unacho shida kumbe? Si uandikage cha kwenu tu.Nimeeleka sisahihishi
Kuna wanaume na watoto wa kiume, na kuna watoto wakiume wenye tabia za kike au usenge ndani yake. Ni mara kadhaa wewe na genge lako umekuwa mtetezi wa ujinga unao endelea ndani ya cdm. Leo unajifanya kutoa maoni kama sio mwanacdm. Mwaka 2015 walituharibia chama, wengi tuliamua kutokupenda upinzani na kujiweka pembeni na siasa. Hatupendi yanayofanywa na ccm ila hatuoni mpinzani wa kweli mwenye kusimamia sera zake.Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.
CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.
Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
FactsππππππWaafrica na hasa Watanzania tunashida na tuahitaji msaada
Tunahitaji ukombozi na ukombozi tunaouhitaji sio wa kubadirisha Chama, hiyo haitatusaidia, ukombozi wetu ni akiri ya kuona mbali na kukingojea hicho cha mbali licha ya kwamba kabla ya kukifikia kile cha mbali hapa katikati tunaweza kupitia mateso makali, lakini tu tukipate kile cha thamani kiletacho ukombozi wetu kamili
Mkuu, inaonyesha umesahau tena, 2015 tuliimba nyimbo hizihizi, kwamba hata kule CCM watakuwa wamekichoka Chama Chao, tutamweka Lowasa ilimradi Tu, tunawatoa CCM
Tukaingia ulingoni tukiwa na turufu hiyo ya watu lundo kutoka CCM, lakini kilichotokea kila mtu ni shahidi
Leo tena unakuja na ngonjera ileile? Hivi mmelogwa? Unamsema Membe, ambaye hata ule umarufu wake haufikii hata robo ya Lowasa?
Membe, hafikii hata umarufu wa Lisu?
Tukijua kwamba kuchukua Dola ni mipango na shabaha mathubuti?
Yesu, Baada ya kufanya huduma yake Kwa muda, aliwauliza wanafunzi wake kuwa, hivi! Watu wananisemaje huko mitaani? Aliuliza hivyo ili kutathimini namna gani jamii inamchukulia,
Inawezekana hata hiyo tathimini nyie hamfanyii kazi mnajiendea Tu kama nyumbu
Membe ni Nani?? Membe mbele ya upepo mkali wa JPM, Mtajiona kama mapanzi mbele ya jabali JPM
Chiswaheli Ndio lugha ganiHata chiswaheli unacho shida kumbe? Si uandikage cha kwenu tu.
Kumbuka ccm inaungwa mkono wa watu wasiojua kusoma, mbumbu, wajinga, wapiga makofi na wanaosapoti kila ujinga wa miaka zaidi ya 50. So sidhani kama wanaweza kuandika kiingereza ππππ€£π€£π€£.Huyo jamaa anacheza mind games, uzi wenye maudhui kama haya uliletwa asubuhi hapa jukwaani kwa lugha ya kiswahili, kisha ukaondolewa. Naona huyu kauleta kwa lugha ya kiingereza, lakini wote wanaoleta uzi wenye maudhui haya ni wanaccm. Bila kujali ni ukweli au uongo. Tunawakanya viongozi wa cdm kutokurudia kosa la Lowassa, kwa utetezi wa aina yoyote ile. Lisu ndio chaguo letu, na iwapo atawekwa jela, ni bora hata tumpigie kura akiwa jela kwa njama za ccm. Tujikite zaidi kudai tume huru ya uchaguzi, kuliko kuokoteza hao wazee wa ccm kwa mtindo ule ule.
Wait and see!!Habari ya kutunga tu, ukaona utumie kiingereza ili kuipa uzito but unajidanganya, hakuna wakumdanganya hapa.
Tuambie hicho kikao kilifanyika lini na wapi na wakina nani waliohudhuria?
Hivyo viingereza vyenu vya sources close to.... go with it to hell.
Kwi kwi kwi eti sisi CCM hatujasoma...eti sisi CCM hatujui KIINGEREZAππKumbuka ccm inaungwa mkono wa watu wasiojua kusoma, mbumbu, wajinga, wapiga makofi na wanaosapoti kila ujinga wa miaka zaidi ya 50. So sidhani kama wanaweza kuandika kiingereza ππππ€£π€£π€£.
Hili bandiko litakuwa la wanacdm wenye mashaka na wasiopenda membe aje ili kuficha aibu ya mwaka 2015.
Hili ni bandiko la CDM kwa 100% coz ndio wasomi pekee hapa nchini.
Hii thread ni Lumumbavteam wameiweka. Wanaogopa Lissu asipithshwe maana ndio mwisho waoI hope Chadema wamekutana naye kubadilishana naye mawazo tu na si vinginevyo!